Jobless_Billionaire
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 3,106
- 8,101
Kama kweli vileMkuu huyu jamaa nilishawahi kumkanda mpaka akaja pm et anaomba msamaha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama kweli vileMkuu huyu jamaa nilishawahi kumkanda mpaka akaja pm et anaomba msamaha
Chapa ilale tembea, single mother ni wakumaliza haja zako si wakushea naye maisha!Wee jamaa ushatembea na wangapi..?
Maana unaonekana legend kaka
Kwanza usiweke ndoa kama kipaumbele sana maana aneoa ni wewe sio yeye.Weka mkuu maana nishazama hapa na naona kabisa kutoboa ni ngumu na ukichek kwa sasa nahitaji mliwazo kutoka kwa wadada
Nini maana ya kuomba ushauri halafu majibu unayo tayari na unayang'ang'ania?Sasa mkuu hata wewe unakutana na mtu kama huyo na umempenda na unaona kabisa kwa mienendo yake awezi rudia matapishi..
How you can say to find evidence of his ex
Duuh wee jamaa kwanza umefanya nianze kufatilia content zako zingine...Kwanza usiweke ndoa kama kipaumbele sana maana aneoa ni wewe sio yeye.
Gharama za kila siku anaetoa ni wewe,,
Mibinjuko kwa bed anaejituma ni wewe.. unless una show mbovu na hauna 6+ Inches..
We date nae tu lakini milango usiifunge wala,, acha milango wazi hata kwa miaka mitano then utajua mengi..
Kwao wakitaka kukutambua chukua laki mbili na mshenga mwende mkampose binti huyo kisha rudi kaa tulia..
Kama yeye ni kichwa maji lazima ataanza kukuonyesha ile sura mbovu kama anayo yaani tabia ya ufeministi..
Kumbuka mwanamke huwa haachwi kisa anachepuka bali anaachwa kisa katuonesha kuwa anachepuka...(Hii ni point ya dharau na ni kick start button kwa ladies wengi) even at 50+ A lady may want to go.
Kwao hawana Legitimacy ya kukupress umuoe huyo binti kisa unaishi nae maana wao wana dosari tayari ya kushindwa kumlea na kumlinda mpaka amepata leakage( mtoto) akiwa hana ndoa kamili so they are sore loosers on that battle.. watulie kupiga dua tu ili Jah abless uwaondolee hiyo aibu.
After five to six years of good examination ukiwa pleased nae,, Now you are good to go for her intensively yaani unashuka kama Eagle unaclear doubts zote kwake..
Kwa huo muda wa miaka sita,,
1,, Apate muda wa subira kuiwin ndoa
2,, Utakuwa umeyafahamu vyema mahusiano yenu katika angle tatu
Kwanza mahusiano yake na Mume wake ambae sio rasmi(baba mtoto)
Pili mahusiano yake na mama yake juu ya mustakabali wenu wa maisha
Tatu mahusiano yake na mtoto wake je muda wote fikra kaziwekeza kwa mtoto wake kuliko maisha yenu? Yaani 75 au 80 percent kabeba mtoto yule licha ya ninyi kupata mtoto au watoto pamoja.
3,, No any woman is born with previllege to get marriage,, She has to settle and grind har wishes to earn it.
Sasa hapa unaona wako hakugrind wishes zake lakini bado unataka umpe zawadi ya ndoa kizembe hivyo..
She has to wait and wait untill she fully deserves it (Marriage should not be a go get for loose women, same as loose Men)
Bitches are busy telling hustling men, "Tafuta hela" But successful men are not asking bitches, "Uliangushia wapi bikra?"
Men wako na kauoga tangu wakiwa broke mpaka wanafanikiwa they dont get guts to judge and classify women..
They go for any, that's a pity..
Why compromise with someone who judged you harshly at your lower key moments?
Ishi nae, pika pakua, lakini usifunge milango untill she fully deserves it.
By Sonko Bibo to Poor Brain ( Akili Finyu).
Sawa 26 kipajiNini maana ya kuomba ushauri halafu majibu unayo tayari na unayang'ang'ania?
Anyway - make sure you're doing the right thing.
Ahsante mkuu,, na karibu pia..Duuh wee jamaa kwanza umefanya nianze kufatilia content zako zingine...
Daaah upo vzri sana na unajua kuchambua mambo kwa kina zaidi hilo tuu nikupe hongera 🙏🙏🙏🙏🙏
Kingine mkuu kwa haya uliyo nipa hapa unaonaje ukaweka uzi mkuu ili iwe faida kwa wengine wengi zaidi maana hili ni tatizo la wengi
Daaah hatari sana...Ahsante mkuu,, na karibu pia..
Kuhusu uzi nadhani Mods kuna baadhi ya informations hawaruhusu vijana wazipate. Kwanini nasema hivi?
Mosi,, Mods kupitia mamlaka yao wamekuwa wanageuza Tittle kwa makusudi kabisa na unaweza ukadhani kuwa labda ni accidentally kwa mara ya kwanza lakini ni makusudi kabisa..
Siwezi sema nia ama dhima yao ni ipi hasa ya kuminya baadhi ya nyuzi yaani wanafanya Information manipulation.
Pili,, watafuta huo uzi na kuupoteza hapa jukwaani baada ya muda tu, hii ni ile ubabe sasa kuwa hatutaki watu wapate hiki kilichoandikwa humu..
Na umezingatia taratibu zote za kiuandishi hapo..
Tatu,, Watauvuruga uzi wako, yaani usisimame kama mono article. Hapa utaona wanauchanganya kwenye uzi wa mtu mwingine na kuuweka kama comment mle ndani ya mada..
Kuna jambo halipo sawa mahali,, Jamii yetu inaongozwa isielekee kwa ma-critical thinkers bali kwa shallow thinkers.
....It's no longer the home of great thinkers as it used to be.
Kuoa kuna positive energy kwenye utafutaji,, Kinafsi maana unakuwa na goals to archieve.Daaah hatari sana...
Mkuu naomba uniambie kitu kuhusu maisha ya ndoa kwa sisi vijana wapambanaji maana tunashauriwa sana tuoe na ukiangalia hali ya uchumi ndio hvo.
Lakini familia zina tuaminisha kuwa utakapooa uchumi unaweza kukua zaidi ya hapa ...
Hii imekaaje mkuu kwa mtazamo wako..
😀😀😀😀😀😀 Wewe kuna watu wanakutafuta alafu😁😁😁
Si unaiona DP.
Ngoja niwape Location 😆😆😀😀😀😀😀😀 Wewe kuna watu wanakutafuta alafu