Ms R
JF-Expert Member
- Jan 19, 2023
- 8,853
- 19,587
HowKwani aupo comfortable
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HowKwani aupo comfortable
hahhahaha nimepata katoto ka advance hapa hom aiseee aiseee mkuu sio mda taleta ushuhuda hapa.Nishaanza mitongozo huko, usiniharibie
Nia yako mimi niku attack alafu unipe ban..Vishu Mtata ambia huyu mdogo ako, nikiwa na umri alio nao nilisha kuwa na kwangu.
wakati yeye aki jaza server kwa upuuzi, Haina haja ya kuni diss ili aoneshe makuzi
Unajua nini huyu intell kwanza atuambie kwanini alikua kimya kwa miezi kazaa alikua wapi na anafanya nn.Poor Brain njoo ujibu tuhuma huku
Nyombi bomb...Poor Brain ni dogo fulani noma kiroho Safi, mh !!.
shida kuni diss ili asikike, sio sahihi.
nime andika Uzi, una weza kwenda kusoma na uka fahamu.Unajua nini huyu intell kwanza atuambie kwanini alikua kimya kwa miezi kazaa alikua wapi na anafanya nn.
Baada ya kujibu ndo tutaendelea na hoja
Njo hapa Intelligent businessman
Weww umenichokoza..Jobless_Billionaire tusubiri diss track 😂
mbona taarab nyingi we kima..Nyombi bomb...
Una lap kama bambo..
Zombi es 2kiz taku shoot kama rambo...
Uwezo wako bado kijana nenda ukalime..
Hapa bongo hapakufai blaza nenda tarime...
😁😁😁😁
Mkuu huyu jamaa nilishawahi kumkanda mpaka akaja pm et anaomba msamahaHawezi huyo. Hii punch uliyomtupia haina comeback. Poor kameet na Intelligent
mi Nina muda wa kukuaminisha sasa 😆 🤣, ka hujui nili kuwa wapi.Sema ukweli ulikua wapi...? Unataka kutuaminisha mambo yako hapa...
Kuna laki 1 hapa, weka hiyo pm chap Jobless_Billionaire aione 😆🤣.Mkuu huyu jamaa nilishawahi kumkanda mpaka akaja pm et anaomba msamaha
Halafu ni battle sio buttle dogo, huko shule mli enda kusomea ujinga.Kwanza naomba buttle na wewe nataka nikufundishe kitu beyond human abilities
Anataka ganda la ndizi, story za kula tunda kimasikhara zimemharibu kijana wetu PSL godHuyu jamaa anataka mashangazi alafu ataki kufanya kazi sasa hii jau mkuu 😁😁😁😁
Mkuu huyu jamaa nilishawahi kumkanda mpaka akaja pm et anaomba msamaha
Jibu hii kwanza, tofauti na hapo you're just c sucker😆😂. Poor BrainKuna laki 1 hapa, weka hiyo pm chap Jobless_Billionaire aione 😆🤣.
uki shindwa, then hata uwepo wako ni batili
Akiiweka nitagKuna laki 1 hapa, weka hiyo pm chap Jobless_Billionaire aione 😆🤣.
uki shindwa, then hata uwepo wako ni batili
Hilo neno nimejaribu kulitafuta kwenye dictionary silipati aisee.Halafu ni battle sio buttle dogo, huko shule mli enda kusomea ujinga.