Nimezidi kuumia baada ya kuona Mamelodi amepangwa na Esperance nusu fainali. Yanga ilikuwa inaenda fainali, hata kushinda kombe

Nimezidi kuumia baada ya kuona Mamelodi amepangwa na Esperance nusu fainali. Yanga ilikuwa inaenda fainali, hata kushinda kombe

Johnny Sack

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2017
Posts
8,984
Reaction score
19,288
Screenshot_20240407-080142.png



Nimeona draw ya nusu fainali ya CAFCL nimezidi kuumia. Mamelodi ambaye ndio kapewa nafasi yetu amepangwa na timu dhaifu ya Esperance.

Kwa tuliyoitazama Esperance ilivyokuwa hatua ya makundi na robo fainali, huu ni mteremko kwa Mamelodi.

Mamelodi anaenda kushinda nje ndani na kutinga fainali kwa mserereko. Inaniuma sana sababu nafasi hii ilikuwa ya Yanga.

Na kwa ninavyoziona timu zikizobaki, Ahly alivyocheza vibaya na Simba, Mazembe tuliyoipiga nje ndani mwaka jana, Yanga ingeweza kushinda hata kombe lenyewe hili na kutinga kombe la Dunia.
 
View attachment 2956107


Nimeona draw ya nusu fainali ya CAFCL nimezidi kuumia. Mamelodi ambaye ndio kapewa nafasi yetu amepangwa na timu dhaifu ya Esperance.

Kwa tuliyoitazama Esperance ilivyokuwa hatua ya makundi na robo fainali, huu ni mteremko kwa Mamelodi.

Mamelodi anaenda kushinda nje ndani na kutinga fainali kwa mserereko. Inaniuma sana sababu nafasi hii ilikuwa ya Yanga.

Na kwa ninavyoziona timu zikizobaki, Ahly alivyocheza vibaya na Simba, Mazembe tuliyoipiga nje ndani mwaka jana, Yanga ingeweza kushinda hata kombe lenyewe hili na kutinga kombe la Dunia.
Sasa kwa nini haikushinda iende hiyo fainali?
 
UWE UNAFICHA UJINGA WAKO HAKUNA HATA SIKU MOJA DROO YA NUSU FAINALI.

Nyie kweli hamna akili kwani Droo imepangwa Jana au juzi.

Mbona Mashabiki wa Yanga Hatuna akili kiasi hiki hadi inasikitisha. Na tunajidhalilisha.

Draw ilipangwa Siku ya Jumanne Tarehe 12 March 2024.
Wewe unakuja Kushangaa leo.
 
Yanga ndio alikuwa anachukua ubingwa mwaka huu ila ndio hivyo tumeshadhulumiwa.
Hapana ubingwa bado ila Yanga ni timu inayokuja vizuri...
Hata kutolewa japo ni Kwa dhuluma lakini hii itupe chachu ya kuandaa timu Bora zaidi...

Msimu uliopita Yanga ilikua timu nzuri ya kubeba kombe la Shirikisho lakini msimu Yanga ni Bora zaidi tumepungukiwa Tu namba Tisa anayejielewa kama Mayele sema tumekua Bora kwenye playing style na tumepata wachezaji wenye high quality Kwa level ya Africa tupo tier 1 sema tunamiss uzoefu flani hivi kama ule wa TP Mazembe...

Msimu ujao najua tutakua Bora zaidi hivo kuingia nusu Fainali wala hatutatumia nguvu
 
View attachment 2956107


Nimeona draw ya nusu fainali ya CAFCL nimezidi kuumia. Mamelodi ambaye ndio kapewa nafasi yetu amepangwa na timu dhaifu ya Esperance.

Kwa tuliyoitazama Esperance ilivyokuwa hatua ya makundi na robo fainali, huu ni mteremko kwa Mamelodi.

Mamelodi anaenda kushinda nje ndani na kutinga fainali kwa mserereko. Inaniuma sana sababu nafasi hii ilikuwa ya Yanga.

Na kwa ninavyoziona timu zikizobaki, Ahly alivyocheza vibaya na Simba, Mazembe tuliyoipiga nje ndani mwaka jana, Yanga ingeweza kushinda hata kombe lenyewe hili na kutinga kombe la Dunia.
Mpira hauko hivyo!! Hata siku moja, mala ngapi huwa Michuano ikianza Ahly huonekana unga unga mwana lakini mwishoni anakuwa bingwa!!?
 
Mpira hauko hivyo!! Hata siku moja, mala ngapi huwa Michuano ikianza Ahly huonekana unga unga mwana lakini mwishoni anakuwa bingwa!!?
Sema game ya Mazembe na National Al ahly haitakua ya kinyonge nadhani ndo itakua game Bora zaidi kwenye CAF msimu huu...

Kama ulibahatika kuona game ya Jana Kati ya TP Mazembe na Petro Utanielewa ....
 
kwanini hawajaeka mameloids wacheze na Al ahly?
Utagundua wameshapanga kablaaa fainal iwe Mameloids vs Al ahly....
 
Young Africans tutulie tu matokeo hayabadili, tujipange msimu ujao
Mpira unachezwa kila siku, misimu ijayo tutakuwa tumejiimarisha

Siku ya ubingwa wa CAF ipo
Na inshallah

Young Africans tutakuwa bingwa
 
IMG_9625.jpeg



Draw ilipangwa kitambo huko tarehe 12 march jumanne saa kumi

Msindi kati Esperance de tunis na Asec mimosa atacheza na mshindi kati ya Yanga na Mamelody.


Na mshindi kati ya simba na Alhly alipangwa acheze na mshindi kati ya Tp mazembe na Petro Atletico.


Hata hili hamjui
BAADHI YA MEMBERS WA JF WANASIKITISHA SANA SIKU HIZI
 
View attachment 2956107


Nimeona draw ya nusu fainali ya CAFCL nimezidi kuumia. Mamelodi ambaye ndio kapewa nafasi yetu amepangwa na timu dhaifu ya Esperance.

Kwa tuliyoitazama Esperance ilivyokuwa hatua ya makundi na robo fainali, huu ni mteremko kwa Mamelodi.

Mamelodi anaenda kushinda nje ndani na kutinga fainali kwa mserereko. Inaniuma sana sababu nafasi hii ilikuwa ya Yanga.

Na kwa ninavyoziona timu zikizobaki, Ahly alivyocheza vibaya na Simba, Mazembe tuliyoipiga nje ndani mwaka jana, Yanga ingeweza kushinda hata kombe lenyewe hili na kutinga kombe la Dunia.
Unasahau mapema Ahly alikufanya nini mechi mbili ,unafikiri mpira ni mathematics alivyocheza na simba atacheza na yanga.
 
Back
Top Bottom