Nimezodolewa na manesi

Nimezodolewa na manesi

Usiwaamini sana hao manesi wewe mpokee mkeo kwa upendo na bashasha zote kwa kukuletea binti mzuri halafu akishapona mtakapo anza kuchakachuana basi wewe hapo ndipo upime OIL kama ipo ana haipo ndipo utajua ni kweli ulio ambiwa na manesi ana walikosea wakakupa habari za mgonjwa mwengine!

sorry BT, ANGALIZO: Kule huwa hawapimi OIL, ila wanaangalia kama KISAMVU kimetwangika kikaiva au bado.
 
yakinkuta ntaanza kuwakagua hao manesi kwanza kabla hawajanieleza upu upu wao...umesahau kama na miye ni DK....:israel::israel:

Wewe Utaanza kuwakagua manesi?? Mmmmhh haya bwana ndo ushauri wako huo?
 
Vijana tunahitaji kujua haki zetu na haki za walioko katika mikono yetu ya kiume.

nesi angeanza maelezo tu, angemwambia hayajanihusu usinigombeze mimi, au nitakushtaki kwa kutoa siri ya mgonjwa, ndio nesi angekoma
 
Wewe Utaanza kuwakagua manesi?? Mmmmhh haya bwana ndo ushauri wako huo?

Ntawakagua sana tu ili nijue wanapata wapi authority hiyo ya kutoa siri za 'wagonjwa' kwa asiyehusika..ina maana mambo yamekuwa so liberal, hivyo ntaomba kuwakagua kwanza kama 'wapo salama'....

afu Dena.....
 
:doh:Umenikumbusha tabia ya wapemba!!!Kama nimpemba au asili ya kiarabu usishangae kwani nilazima akutwe na bikra hivyo hakukosea ni mila nadesturi yao wewe endeleza shamba pale ulipolikuta lasivyo aliyelianzisha ataendelea kulilima kama wewe hutaki kulipalilia!!jifunze kutokana na makosa!!:smile-big:




:nono::nono::nono:duuuuuh huu ushauri nao balaa! lol

mkuu hao manesi inawezekana wamekariri tu watu wote hawako sawa kaka
hata kama mkeo kaonyesha dalili hizo wanazozifikiria hao manesi sio lazima iwe ndio hivyo ina wezekana ni maumbile tu
 
Ntawakagua sana tu ili nijue wanapata wapi authority hiyo ya kutoa siri za 'wagonjwa' kwa asiyehusika..ina maana mambo yamekuwa so liberal, hivyo ntaomba kuwakagua kwanza kama 'wapo salama'....

afu Dena.....

Nimefanyanini. Cha msingi hapo uliposema kuwa hawana ruhusa ya kutoa siri ya mgonjwa kuwakagua nooooo!!!!
 
Mke wangu mpenzi, nimemtoa kijijini.
Nimemuoa akiwa na bikira yake, hapo mwaka juzi mwishoni.
Mwaka huu Mungu akatusaidia, akabeba ujauzito.
usiku wa kuamkia leo kajifungua katoto kazuri ka kike.
Nilipoenda kumsalimia, nikapokelewa na manesi wenye hasira, wamenitukana sana na kunidhalilisha eti mi nimemuharibu mke wangu kwa kumwendea kinyume na maumbile.
Kwa kweli sijawahi kumfanya hivyo hata mara moja, na wala sina tabia hiyo.
Je nimfanye nini huyu mama watoto wangu?

Hahahah inawezekana si wee ila sisi shemejizo huenda tunatumia mlango wa KIA. Wala usijali kama vipi jaribisha na wewe uone!
 
Hommie kimaslai. Zaidi sio?

Pamoja na kuwa upo VIA MOBILE ambayo inaonyesha upo GHEST kama kawaida, nimekugongea senks kwa kulitambua hilo mapemaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Nimefanyanini. Cha msingi hapo uliposema kuwa hawana ruhusa ya kutoa siri ya mgonjwa kuwakagua nooooo!!!!


icho icho kidogo ulichofanya, kinatosha sana....mwaka huu "wakiniona nnabebwa si watauomba upofu"?:tape:

nambie kwa nn unakataa kwamba hawaruhusiwe kutoa siri za mgonjwa
 
Pamoja na kuwa upo VIA MOBILE ambayo inaonyesha upo GHEST kama kawaida, nimekugongea senks kwa kulitambua hilo mapemaaaaaaaaaaaaaaaa

icho icho kidogo ulichofanya, kinatosha sana....mwaka huu "wakiniona nnabebwa si watauomba upofu"?:tape:

nambie kwa nn unakataa kwamba hawaruhusiwe kutoa siri za mgonjwa

Sijakataa nimesema hilo ndo la msingi kuwa hawaruhusiwi kutoa siri za mgonjwa au nimeandika kikwetu Mkuu
 
Sijakataa nimesema hilo ndo la msingi kuwa hawaruhusiwi kutoa siri za mgonjwa au nimeandika kikwetu Mkuu

hahahaa umeandika kiwetu nikasoma kikwetu


haha sasa kumbe UMENIKATAKA kuwakagua eeh..orait orait......basi na wenyewe wasijelogwa kunaimbia maambo hayawahusu!
 
Mke wangu mpenzi, nimemtoa kijijini.
Nimemuoa akiwa na bikira yake, hapo mwaka juzi mwishoni.
Mwaka huu Mungu akatusaidia, akabeba ujauzito.
usiku wa kuamkia leo kajifungua katoto kazuri ka kike.
Nilipoenda kumsalimia, nikapokelewa na manesi wenye hasira, wamenitukana sana na kunidhalilisha eti mi nimemuharibu mke wangu kwa kumwendea kinyume na maumbile.
Kwa kweli sijawahi kumfanya hivyo hata mara moja, na wala sina tabia hiyo.
Je nimfanye nini huyu mama watoto wangu?

Hao manesi wamesema uongo, lakini inawezekana ni sababu ya ignorance yao. Kumbuka manesi wengi walioko katika hospitali zetu ni wale wanaoitwa 'wauguzi wasaidizi', na wote elimu yao ni finyu sana. Pili, hata yule nesi mwenye diploma ya unesi ni zao la wale waliofeli form four. Nakuhakikishia (nilishiriki utafiti mmoja wa mambo ya elimu mwaka 1995 ambao ulionesha kuwa zaidi ya 90% ya manesi walijiunga na kozi za unesi kwa sababu walifeli form 4 kwa division 4. Hakuna anayeingia unesi kwa kuchagua kwa hiyari, mfano huwezi kukuta mwenye division 2 au 3). Kwa hiyo wote hawa ni watu wenye uwezo duni sana wa kuelewa mambo. Udhaifu wao unaondolewa ama kufunikwa na madaktari ambao wanaingia kozi hizo kutokana na kufaulu vizuri darasani. Kwa hiyo usitegemee analysis yoyote ya maana kutoka kwa manesi. Nawaheshimu kwa kujitolea kwao, lakini hiyo ni kasoro yao kubwa.
 
Kukuongezea ni kwamba si rahisi kumtambua mtu aliyefanyiwa liwati kwa kumtazama huko chini, unless awe amefanya tendo hilo siku hiyohiyo. Nilisoma na jamaa mmoja wa Egypt alikuwa anaandika thesis yake kuhusu mambo ya criminalization of sex huko kwao. Kule Egypt liwati ni kosa linaloadhibiwa kisheria kwa wote aliyefanya na aliyefanyiwa. Alifanya utafiti wake kuhusu validity na reliability ya test zilizowekwa kisheria kwa ajili ya kuthibitisha ushahidi kuwa mtu ni shoga, na hizo huwa ni madaktari wanamtazama mtuhumiwa kwenye anus akiwa ameinama halafu wanamwambia asukume kama anataka kuny*. Alileta wanaume ambao wamekiri kuwa huwa wanaingiliwa, akasafiri nao kutoka UK hadi Egypt akaita majopo matatu tofauti ya madaktari wa Egypt wawapime. Matokeo yalishangaza. Kuna ambao walipasi kwa majopo yote matatu kuwa hawajawahi kufanyiwa hivyo! Wapo ambao jopo moja lilisema ni was*ng*, lingine likasema siyo. Na siku moja tukiwa tunajadili naye pale Ty Beck house tulipokuwa tunaishi wote, aliniambia hata watu wenye ugonjwa wa unaoitwa piles wanaweza kudhaniwa ni waseng* kwa kipimo hicho. Kwa kifupi conclusion yake ilikuwa kwamba hicho kipimo siyo valid wala reliable. Nimejaribu ku-search kama ali-publish ile thesis lakini sijaiona publication, nimemwandikia email akinitumia e-copy nitawawekea na nyie muione.

Huo uvumi umeenea sana hadi kinamama wanaenda labor wakiwa na hofu tayari, maana nina uhakika kuna wanaosemwa kwa abnormality zao ambazo hazijatokana na tendo hilo wanalotuhumiwa.
 
Back
Top Bottom