Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
duh :doh:.. msamehe.. ibaki story tu! kubali kshafa za manesi msitiri mkeo kutokana na hiyo aibu..
Hapo ulimaanisha faraja kweli au busara........... mi ningekaa kimya kwa mudaMhhh.....! Aidha, pole sana, na umuombe Mungu akupe nguvu na faraja kwa kipindi hiki kigumu....! Lakini nina shaka na ukweli wa tukio hili, kwa maana ingelikuwa ni mimi hata nisingekuwa na nguvu ya kuandika kama wewe ulivyoweza....! Lakini pia kaa chini, utulie kama mwezi bila kutoa maamuzi yoyote, hadi upate nguvu ya kufikiria juu ya tukio hili....!
Mke wangu mpenzi, nimemtoa kijijini.
Nimemuoa akiwa na bikira yake, hapo mwaka juzi mwishoni.
Mwaka huu Mungu akatusaidia, akabeba ujauzito.
usiku wa kuamkia leo kajifungua katoto kazuri ka kike.
Nilipoenda kumsalimia, nikapokelewa na manesi wenye hasira, wamenitukana sana na kunidhalilisha eti mi nimemuharibu mke wangu kwa kumwendea kinyume na maumbile.
Kwa kweli sijawahi kumfanya hivyo hata mara moja, na wala sina tabia hiyo.
ungewakomalia...hao manesi waache ujinga,
kama ni kinyesi kutoa wakati wa kujifungua ni jambo la kawaida,
ile myth kuwa ukifanya hivyo,basi ushatigoliwa ni ujinga,
kama umepiga lishe kabla ya kujifungua...ile force ya kupush mtoto lazima kinyesi kikutoke...
unless hii stori ni ya uongo,mie siamini mtu anaweza kukukomalia kisa umemtigo mkeo,
hii si kuact professionally,
yes tigo ni moja ya starehe and i believe up to 20% of us tunapractise hii kitu :behindsofa:
:behindsofa:
:smile-big::smile-big:
Nilipoenda kumsalimia, nikapokelewa na manesi wenye hasira, wamenitukana sana na kunidhalilisha eti mi nimemuharibu mke wangu kwa kumwendea kinyume na maumbile.
Kwa kweli sijawahi kumfanya hivyo hata mara moja, na wala sina tabia hiyo.
Je nimfanye nini huyu mama watoto wangu?
:tape::tape::tape::tape:
hivi kwa nini hamtaki kukubali kuwa manesi wengi ni vihiyo?
na wewe umeshtukia eeeee, but kanasisimua sana, ni kama vile ndio yamekutokea sasa unatakiwa ufanye maamuzi yaliyo sahihi, very challenge kwa maisha ya sasa.... ila kweli yanatokea haya jamanieti Luv Bujibuji si anatuchakachua na hii story mbona kama ya kutunga vile?
Bujibuji huo ni uzembe mkubwa, haiwezekani ukashindwa kujua mkeo kama alikuwa anagawa tigo yake nje!ukiwa unasex na mkeo kama huwa analiwa tigo nje utajua tu, there are some signs..........we vipi bana bujibuji acha uzembe!
Mke wangu mpenzi, nimemtoa kijijini.
Nimemuoa akiwa na bikira yake, hapo mwaka juzi mwishoni.
Mwaka huu Mungu akatusaidia, akabeba ujauzito.
usiku wa kuamkia leo kajifungua katoto kazuri ka kike.
Nilipoenda kumsalimia, nikapokelewa na manesi wenye hasira, wamenitukana sana na kunidhalilisha eti mi nimemuharibu mke wangu kwa kumwendea kinyume na maumbile.
Kwa kweli sijawahi kumfanya hivyo hata mara moja, na wala sina tabia hiyo.
ungewakomalia...hao manesi waache ujinga,
kama ni kinyesi kutoa wakati wa kujifungua ni jambo la kawaida,
ile myth kuwa ukifanya hivyo,basi ushatigoliwa ni ujinga,
kama umepiga lishe kabla ya kujifungua...ile force ya kupush mtoto lazima kinyesi kikutoke...
unless hii stori ni ya uongo,mie siamini mtu anaweza kukukomalia kisa umemtigo mkeo,
hii si kuact professionally,
yes tigo ni moja ya starehe and i believe up to 20% of us tunapractise hii kitu :behindsofa:
:behindsofa:
:smile-big::smile-big:
Roselyne, wenzio hawataki, .......ati mbona siri ya ndani waitoa nje..........:smile:
Ndg kumbuka manesi wengi ni wa kuchakachuliwa na kwa sababu hako kamchezo ka tigo kameeneo mdomoni kwa sana kama mafisadi wa tanzania kutoka sisiem kwa hiyo jaribu kumwona Daktari wa akina mama atakusaidia kuchunguza isije kuwa ni ugonjwa au alikuwa katoa tu ya kawaida maana huwa inatokea kwa akina mama wengi wapojifungua.Kwa hiyo kwa sababu ya hao manesi feki walipoona kinyesi basi wakakimbilia tigoliced,usichukue maamuzi ya haraka kabisaMke wangu mpenzi, nimemtoa kijijini.
Nimemuoa akiwa na bikira yake, hapo mwaka juzi mwishoni.
Mwaka huu Mungu akatusaidia, akabeba ujauzito.
usiku wa kuamkia leo kajifungua katoto kazuri ka kike.
Nilipoenda kumsalimia, nikapokelewa na manesi wenye hasira, wamenitukana sana na kunidhalilisha eti mi nimemuharibu mke wangu kwa kumwendea kinyume na maumbile.
Kwa kweli sijawahi kumfanya hivyo hata mara moja, na wala sina tabia hiyo.
Je nimfanye nini huyu mama watoto wangu?
yakinkuta ntaanza kuwakagua hao manesi kwanza kabla hawajanieleza upu upu wao...umesahau kama na miye ni DK....:israel::israel: