cheusimangala
JF-Expert Member
- Feb 27, 2010
- 2,585
- 498
yaani watu wako radhi waingiliwe kote kunakoingilika kisa wanatunza bikira.what the heck!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
:doh:Umenikumbusha tabia ya wapemba!!!Kama nimpemba au asili ya kiarabu usishangae kwani nilazima akutwe na bikra hivyo hakukosea ni mila nadesturi yao wewe endeleza shamba pale ulipolikuta lasivyo aliyelianzisha ataendelea kulilima kama wewe hutaki kulipalilia!!jifunze kutokana na makosa!!:smile-big:
yaani watu wako radhi waingiliwe kote kunakoingilika kisa wanatunza bikira.what the heck!!!
Kuna taaluma 3 muhimu katika nchi hii ambazo zimechakachuliwa na kugeuzwa kimbilio la waliofeli shuleni kwa uzembe:
- unesi (tpo of the list)
- uandishi wa habari
- ualimu wa primary school
Lazima zawadi yake itakuwa kubwa sana ........... lakini ni lazima watakuwa wanaufurahia maana wasinge ufanya.........yaani watu wako radhi waingiliwe kote kunakoingilika kisa wanatunza bikira.what the heck!!!
Mke wangu mpenzi, nimemtoa kijijini.
Nimemuoa akiwa na bikira yake, hapo mwaka juzi mwishoni.
Mwaka huu Mungu akatusaidia, akabeba ujauzito.
usiku wa kuamkia leo kajifungua katoto kazuri ka kike.
Nilipoenda kumsalimia, nikapokelewa na manesi wenye hasira, wamenitukana sana na kunidhalilisha eti mi nimemuharibu mke wangu kwa kumwendea kinyume na maumbile.
Kwa kweli sijawahi kumfanya hivyo hata mara moja, na wala sina tabia hiyo.
Je nimfanye nini huyu mama watoto wangu?
Lete ushahidi!kama umeoa zenj au mombasa hiyo mbona kawaida, watu wanatunza bikira za mbele kwa ku-sacrifice za nyuma.
Nikijua itanisaidia nini?
Umeshasema waliofeli shuleni kwa uzembe hivyo wana akili ila walizembea tu kidogo shuleni so wanaweza kufanya kazi vizuri kabisa acheni kutukana watu nyinyi na hao wanaopata degree za chupi je wewe umefundishwa primary na huyo aliefeli na umezaliwa na mkono wa huyo aliefeli tena bora aliefeli we umezalishwa na mkono wa mkunga ambae hajui hata kusoma na unaishi halfu unakuja kutoa kashfa hapa
mke wangu mpenzi, nimemtoa kijijini.
Nimemuoa akiwa na bikira yake, hapo mwaka juzi mwishoni.
Mwaka huu mungu akatusaidia, akabeba ujauzito.
Usiku wa kuamkia leo kajifungua katoto kazuri ka kike.
Nilipoenda kumsalimia, nikapokelewa na manesi wenye hasira, wamenitukana sana na kunidhalilisha eti mi nimemuharibu mke wangu kwa kumwendea kinyume na maumbile.
Kwa kweli sijawahi kumfanya hivyo hata mara moja, na wala sina tabia hiyo.
Je nimfanye nini huyu mama watoto wangu?
umesikia kwa nani!mi nasikiaga watu wanaojiafanya wanatunza bikira huwa wanatabia ya kutoa nyuma, sijui kweli ila ndio ninavyosikiaga jamani
Wewe Bujibuji wacha uongo na kudhalilisha wanawake hata kama huyo ni mkeo.
Umesikia wapi hicho kitu unachodai amefanyiwa mkeo?
Kama ulikuwa na nia ya kufurahisha jamii sasa inaonyesha jinsi ulivyokuwa huna ustaarabu hata kidogo. Tunaomba hizi topics nyengine zifutwe kabisa kwani hazina mantiki.
:embarrassed::embarrassed::embarrassed::embarrassed::embarrassed::embarrassed::embarrassed:Mke wangu mpenzi, nimemtoa kijijini.
Nimemuoa akiwa na bikira yake, hapo mwaka juzi mwishoni.
Mwaka huu Mungu akatusaidia, akabeba ujauzito.
usiku wa kuamkia leo kajifungua katoto kazuri ka kike.
Nilipoenda kumsalimia, nikapokelewa na manesi wenye hasira, wamenitukana sana na kunidhalilisha eti mi nimemuharibu mke wangu kwa kumwendea kinyume na maumbile.
Kwa kweli sijawahi kumfanya hivyo hata mara moja, na wala sina tabia hiyo.
Je nimfanye nini huyu mama watoto wangu?
Mke wangu mpenzi, nimemtoa kijijini.
Nimemuoa akiwa na bikira yake, hapo mwaka juzi mwishoni.
Mwaka huu Mungu akatusaidia, akabeba ujauzito.
usiku wa kuamkia leo kajifungua katoto kazuri ka kike.
Nilipoenda kumsalimia, nikapokelewa na manesi wenye hasira, wamenitukana sana na kunidhalilisha eti mi nimemuharibu mke wangu kwa kumwendea kinyume na maumbile.
Kwa kweli sijawahi kumfanya hivyo hata mara moja, na wala sina tabia hiyo.
Je nimfanye nini huyu mama watoto wangu?
shukuru MUNGU akutokea NYUMA ilo ndilo la maana uliza mademu bomba wa dar karibu wote watoto wanaokea nyuma
SIRI YAKO BEST
Kuna taaluma 3 muhimu katika nchi hii ambazo zimechakachuliwa na kugeuzwa kimbilio la waliofeli shuleni kwa uzembe:
- unesi (tpo of the list)
- uandishi wa habari
- ualimu wa primary school
umesikia kwa nani!