Nimezodolewa na manesi

Nimezodolewa na manesi

yaani watu wako radhi waingiliwe kote kunakoingilika kisa wanatunza bikira.what the heck!!!
 
:doh:Umenikumbusha tabia ya wapemba!!!Kama nimpemba au asili ya kiarabu usishangae kwani nilazima akutwe na bikra hivyo hakukosea ni mila nadesturi yao wewe endeleza shamba pale ulipolikuta lasivyo aliyelianzisha ataendelea kulilima kama wewe hutaki kulipalilia!!jifunze kutokana na makosa!!:smile-big:

Kaka Kiiza wacha kutukana watu na makabila yao, wacha ujinga kabisa kabisa.

Na uwaombe radhi Wapemba kwa ujinga wako huo.
 
Wewe Bujibuji wacha uongo na kudhalilisha wanawake hata kama huyo ni mkeo.

Umesikia wapi hicho kitu unachodai amefanyiwa mkeo?

Kama ulikuwa na nia ya kufurahisha jamii sasa inaonyesha jinsi ulivyokuwa huna ustaarabu hata kidogo. Tunaomba hizi topics nyengine zifutwe kabisa kwani hazina mantiki.
 
Kuna taaluma 3 muhimu katika nchi hii ambazo zimechakachuliwa na kugeuzwa kimbilio la waliofeli shuleni kwa uzembe:
  • unesi (tpo of the list)
  • uandishi wa habari
  • ualimu wa primary school
 
Kuna taaluma 3 muhimu katika nchi hii ambazo zimechakachuliwa na kugeuzwa kimbilio la waliofeli shuleni kwa uzembe:
  • unesi (tpo of the list)
  • uandishi wa habari
  • ualimu wa primary school

Umeshasema waliofeli shuleni kwa uzembe hivyo wana akili ila walizembea tu kidogo shuleni so wanaweza kufanya kazi vizuri kabisa acheni kutukana watu nyinyi na hao wanaopata degree za chupi je wewe umefundishwa primary na huyo aliefeli na umezaliwa na mkono wa huyo aliefeli tena bora aliefeli we umezalishwa na mkono wa mkunga ambae hajui hata kusoma na unaishi halfu unakuja kutoa kashfa hapa
 
yaani watu wako radhi waingiliwe kote kunakoingilika kisa wanatunza bikira.what the heck!!!
Lazima zawadi yake itakuwa kubwa sana ........... lakini ni lazima watakuwa wanaufurahia maana wasinge ufanya.........
 
Mke wangu mpenzi, nimemtoa kijijini.
Nimemuoa akiwa na bikira yake, hapo mwaka juzi mwishoni.
Mwaka huu Mungu akatusaidia, akabeba ujauzito.
usiku wa kuamkia leo kajifungua katoto kazuri ka kike.
Nilipoenda kumsalimia, nikapokelewa na manesi wenye hasira, wamenitukana sana na kunidhalilisha eti mi nimemuharibu mke wangu kwa kumwendea kinyume na maumbile.
Kwa kweli sijawahi kumfanya hivyo hata mara moja, na wala sina tabia hiyo.
Je nimfanye nini huyu mama watoto wangu?

kama umeoa zenj au mombasa hiyo mbona kawaida, watu wanatunza bikira za mbele kwa ku-sacrifice za nyuma.
 
Umeshasema waliofeli shuleni kwa uzembe hivyo wana akili ila walizembea tu kidogo shuleni so wanaweza kufanya kazi vizuri kabisa acheni kutukana watu nyinyi na hao wanaopata degree za chupi je wewe umefundishwa primary na huyo aliefeli na umezaliwa na mkono wa huyo aliefeli tena bora aliefeli we umezalishwa na mkono wa mkunga ambae hajui hata kusoma na unaishi halfu unakuja kutoa kashfa hapa

Mkunga ambaye hajasoma ni tofauti sana na mtu aliyepelekwa shule akafeli. Huyo ambaye hata shule hajaiona lakini bado ana ujuzi wa ukunga ni wa kuheshimiwa sana. Lakini aliyepelekwa shule halafu akafanya madudu ni wa kudharauliwa tu, kwa hilo sirudi nyuma.

Pili, miaka niliyosoma primary school mimi hakukuwa na hao walimu waliofeli form four. Watu waliokuwa wanasomea ualimu ni wale waliofaulu tu. Na hata ilipoletwa UPE, waliokuwa wanachaguliwa kwa kazi hiyo ni wale waliomaliza darasa la saba na kufaulu (tofautisha kufaulu na kuchaguliwa kuingia form 1. Enzi zetu hakukuwa na shule za kata, kwa hiyo wengi tu walikuwa wanafaulu lakini hawakupata nafasi za elimu ya sekondari). Watu ninaowaponda mimi hapa ni wale waliopata nafasi za kusoma sekondari wakazichezea wakafeli halafu sasa wanajazana kwenye hizo profession nilizotaja.

Halafu unasema 'wakazembea kidogo', unamaanisha nini 'kidogo'? Mtu anayezembea 'kidogo' anapata division 4? Sasa yule aliyezembea sana anapata nini? Acha kutetea uzezeta.
 
mke wangu mpenzi, nimemtoa kijijini.
Nimemuoa akiwa na bikira yake, hapo mwaka juzi mwishoni.
Mwaka huu mungu akatusaidia, akabeba ujauzito.
Usiku wa kuamkia leo kajifungua katoto kazuri ka kike.
Nilipoenda kumsalimia, nikapokelewa na manesi wenye hasira, wamenitukana sana na kunidhalilisha eti mi nimemuharibu mke wangu kwa kumwendea kinyume na maumbile.
Kwa kweli sijawahi kumfanya hivyo hata mara moja, na wala sina tabia hiyo.
Je nimfanye nini huyu mama watoto wangu?

mi nasikiaga watu wanaojiafanya wanatunza bikira huwa wanatabia ya kutoa nyuma, sijui kweli ila ndio ninavyosikiaga jamani
 
Wewe Bujibuji wacha uongo na kudhalilisha wanawake hata kama huyo ni mkeo.

Umesikia wapi hicho kitu unachodai amefanyiwa mkeo?

Kama ulikuwa na nia ya kufurahisha jamii sasa inaonyesha jinsi ulivyokuwa huna ustaarabu hata kidogo. Tunaomba hizi topics nyengine zifutwe kabisa kwani hazina mantiki.

unaona kilichokufurahisha? Hebu toa ushauri. Au mkewe ni dada yako?
Punguza jazba.
 
Mke wangu mpenzi, nimemtoa kijijini.
Nimemuoa akiwa na bikira yake, hapo mwaka juzi mwishoni.
Mwaka huu Mungu akatusaidia, akabeba ujauzito.
usiku wa kuamkia leo kajifungua katoto kazuri ka kike.
Nilipoenda kumsalimia, nikapokelewa na manesi wenye hasira, wamenitukana sana na kunidhalilisha eti mi nimemuharibu mke wangu kwa kumwendea kinyume na maumbile.
Kwa kweli sijawahi kumfanya hivyo hata mara moja, na wala sina tabia hiyo.
Je nimfanye nini huyu mama watoto wangu?
:embarrassed::embarrassed::embarrassed::embarrassed::embarrassed::embarrassed::embarrassed:
 
Mke wangu mpenzi, nimemtoa kijijini.
Nimemuoa akiwa na bikira yake, hapo mwaka juzi mwishoni.
Mwaka huu Mungu akatusaidia, akabeba ujauzito.
usiku wa kuamkia leo kajifungua katoto kazuri ka kike.
Nilipoenda kumsalimia, nikapokelewa na manesi wenye hasira, wamenitukana sana na kunidhalilisha eti mi nimemuharibu mke wangu kwa kumwendea kinyume na maumbile.
Kwa kweli sijawahi kumfanya hivyo hata mara moja, na wala sina tabia hiyo.
Je nimfanye nini huyu mama watoto wangu?

shukuru MUNGU akutokea NYUMA ilo ndilo la maana uliza mademu bomba wa dar karibu wote watoto wanaokea nyuma
SIRI YAKO BEST
 
Bros pole sana maana nikiimagine aibu uliyoipata laaa, itabid akuambie ukweli maana siri imefichuka ana lala na mtu nje ya ndoa. la ulimtoa kijijini sasa ameingia mjini.

wenzangu mwanamke aliyetembea na vi boyfi ni bora kuliko mgeni kabisa katika mambo. atakuwa amechoka
mambo ya kuwa na aliye bikira yamepitwa miaka hii

pole lazima akuelezee kama una house boy mlinzi anzia hapo kuchunguza atakuwa mtu wa karibu na mtoto anaweza asiwe wako

pole sitaki imagine ila ndio ushauri wangu
 
Upolisi
Askari Jeshi na usalama wa Taifa.

Wote ni ma zamwamwa walioshindwa shule
Kuna taaluma 3 muhimu katika nchi hii ambazo zimechakachuliwa na kugeuzwa kimbilio la waliofeli shuleni kwa uzembe:
  • unesi (tpo of the list)
  • uandishi wa habari
  • ualimu wa primary school
 
Back
Top Bottom