Nimezodolewa na manesi

Nimezodolewa na manesi

Pole sana Bujibuji, maneno hayo yaweza kua kweli pia yawezakua si kweli, ushauri wangu ni huu wewe usimuulize wala usimgombeze mkeo na uchungunzi uanze wewe mwenyewe kwa kufanya hivi, siku moja wakati mna do jifanye umepitiwa then peleka kule kwingine utagundua kama hua anafanya dhambi hiyo au alisha wahi kufanya utajua tu kwa mwanamke anaejiheshim a ambae hajawahi kufanya uchafu huo atashtuka sana na game siku hiyo litaishia hapo hapo na atalia sana kwakutaka kumvunjia heshima na ugomvi huo unaweza kua wa muda mrefu na atakua makini sana siku ingine mnapo make love, atakua akiingiza mwenye hatakuruhusu tena uweke wewe na atakuogopa sana hata ukimgusa nyuma, lakini kama hua anafanya au alikua akifanya uchafu huo na akaweza kukuficha usigundue fanya hivo utamuona ametulia tu na anajifanya hajagundua lolote, hapo utapata ukweli na utapata jinsi ya kumuuliza pia utajua cha kufanya. JESUS IS MY HOME BOY.
 
unaona kilichokufurahisha? Hebu toa ushauri. Au mkewe ni dada yako?
Punguza jazba.

Mimi sina jazba ila naona huu ujinga mwengine ni wa kudhalilishana. Na hakuna kilichonifurahisha ila nyinyi mulioanza ku'label' watu wa jamii fulani kwamba hii ndiyo tabia yao.
 
Umeshasema waliofeli shuleni kwa uzembe hivyo wana akili ila walizembea tu kidogo shuleni so wanaweza kufanya kazi vizuri kabisa acheni kutukana watu nyinyi na hao wanaopata degree za chupi je wewe umefundishwa primary na huyo aliefeli na umezaliwa na mkono wa huyo aliefeli tena bora aliefeli we umezalishwa na mkono wa mkunga ambae hajui hata kusoma na unaishi halfu unakuja kutoa kashfa hapa
si hivyo tu, anatakiwa kujua kila mtu kapewa na mungu kipaji chake na kapangiwa maisha yake, huyo anaetukana anatakiwa kutambua watu tunaishi kwa kutegemeana bila nesi jambo moja lisinge tendeka na bila wali vilevile, mbo wapo wengi wamemaliza vyuo wakajikita kwa busness usitukane watu wewe pengine utazaa watoto wa tatu wakwanza nesi wapili mwalim, na watau mwandishi wa habari.
 
ni manesi wa hospitali gani hiyo??????????

siku hizi vitendo hivyo ni kama fasheni jijini..........na hao manesi wengi wanashiriki....

huwezi kuacha mke kwa sababu ya maneno ya manesi.....
zungumza nae kwanza ujue ukweli..............
 
Very true
ni manesi wa hospitali gani hiyo??????????

siku hizi vitendo hivyo ni kama fasheni jijini..........na hao manesi wengi wanashiriki....

huwezi kuacha mke kwa sababu ya maneno ya manesi.....
zungumza nae kwanza ujue ukweli..............
 
Ndani ya kila post yako kuna kitu chako cha kweli, buji huenda haya mambo yamekukuta kiukwelikweliii
 
Ungejua mapema ina maana hata dog style hukuaply? maana ile haijifichi bana au ndio mambo ya giza nene?
 
Mke wangu mpenzi, nimemtoa kijijini.
Nimemuoa akiwa na bikira yake, hapo mwaka juzi mwishoni.
Mwaka huu Mungu akatusaidia, akabeba ujauzito.
usiku wa kuamkia leo kajifungua katoto kazuri ka kike.
Nilipoenda kumsalimia, nikapokelewa na manesi wenye hasira, wamenitukana sana na kunidhalilisha eti mi nimemuharibu mke wangu kwa kumwendea kinyume na maumbile.
Kwa kweli sijawahi kumfanya hivyo hata mara moja, na wala sina tabia hiyo.
Je nimfanye nini huyu mama watoto wangu?
Lakini Bra na wewe si ulimegua ya mbele?sasa shida iko wapi??umemwaga ugali wamemwaga mboga!!maisha yanasonga.
 
Ndani ya kila post yako kuna kitu chako cha kweli, buji huenda haya mambo yamekukuta kiukwelikweliii

mkuu naona umeamua kufufua sred za bujibuji zilizokufa,,,, kwa kweli hata mi naona kuna kitu kwa bujibuji sio bure...!
 
POLE SANA BRO.MAISHA NI MTIHANI SIKU ZOTE HATA VITABU VINASEMA JE HUYO SHEM WA WAPI AU KABILA GANI MAANA KUNA KAMCHEZO KTK MAKABILA FULANI
cONQUEST-NDOA NDOANO TUANGALIE UZURI NAO MASHAKA BORA KAMA ASHA NGEDERE MIAKA ITAKATIKA LAKINI UZURI WA TOSHA NOMA
POLE KAKA UKUBWA DAWA:shut-mouth:
 
POLE SANA BRO.MAISHA NI MTIHANI SIKU ZOTE HATA VITABU VINASEMA JE HUYO SHEM WA WAPI AU KABILA GANI MAANA KUNA KAMCHEZO KTK MAKABILA FULANI
cONQUEST-NDOA NDOANO TUANGALIE UZURI NAO MASHAKA BORA KAMA ASHA NGEDERE MIAKA ITAKATIKA LAKINI UZURI WA TOSHA NOMA
POLE KAKA UKUBWA DAWA:shut-mouth:

Bujibuji ana vituko sana, unaweza kukujibu huyo waifu kabila lake mkristo
 
Mke wangu mpenzi, nimemtoa kijijini.
Nimemuoa akiwa na bikira yake, hapo mwaka juzi mwishoni.
Mwaka huu Mungu akatusaidia, akabeba ujauzito.
usiku wa kuamkia leo kajifungua katoto kazuri ka kike.
Nilipoenda kumsalimia, nikapokelewa na manesi wenye hasira, wamenitukana sana na kunidhalilisha eti mi nimemuharibu mke wangu kwa kumwendea kinyume na maumbile.
Kwa kweli sijawahi kumfanya hivyo hata mara moja, na wala sina tabia hiyo.
Je nimfanye nini huyu mama watoto wangu?

Mkuu utaona akina dada wengi humu ndio wanaowaponda hao manesi, najua ni kwa nini na siwalaumu kwa hilo, lakini ukweli unabaki palepale kwamba kwa watumiaji wa TIGO inakuwa shughuli kweli kipindi cha kujifungua na manesi wanakumbana sana na hiyo hali; kwa kuwa hili limeshatokea mkuu, huna haja ya kupiga kelele-utajiaibishe bure wewe binafsi na kumuaibisha mkeo ambaye ni mama wa watoto wako, mihimu ni kumuweka kitako ajue umeshajua na aachane na huo mchezo!
 
na wewe hospitali gani hiyo unapeleka mkeo?? hayo mambo yamanesi kuweka siri za wagonjwa yalishapigwa chini na ungeripoti ungeona moto

BTW, muonje na wewe mkeo kama unahisi analiwa huko nyuma
 
na wewe hospitali gani hiyo unapeleka mkeo?? hayo mambo yamanesi kuweka siri za wagonjwa yalishapigwa chini na ungeripoti ungeona motoBTW, muonje na wewe mkeo kama unahisi analiwa huko nyuma
sina imani naye hata kidogo, usiku kucha ananichafulia hewa kwa ushuzi wa yusufu (kikimyakimya style)
 
usiamini sana maneno ya hao manesi
huyo ni keo na wewe ndiye unamjua vizuri kuliko wao
wana uhakika gani na hayo wanayoyasema?wamempimaje?

inawezekana vitu vyake vingine vinavyopita huko ni vikubwa sana ndio maana wanaona kama Bujibuji amemwingilia kimaumbile, wangempima kwanza
:doh:Umenikumbusha tabia ya wapemba!!!Kama nimpemba au asili ya kiarabu usishangae kwani nilazima akutwe na bikra hivyo hakukosea ni mila nadesturi yao wewe endeleza shamba pale ulipolikuta lasivyo aliyelianzisha ataendelea kulilima kama wewe hutaki kulipalilia!!jifunze kutokana na makosa!!:smile-big:
Alifurahia bikra ya mbele, kumbe ya nyuma haipo
 
Mke wangu mpenzi, nimemtoa kijijini.
Nimemuoa akiwa na bikira yake, hapo mwaka juzi mwishoni.
Mwaka huu Mungu akatusaidia, akabeba ujauzito.
usiku wa kuamkia leo kajifungua katoto kazuri ka kike.
Nilipoenda kumsalimia, nikapokelewa na manesi wenye hasira, wamenitukana sana na kunidhalilisha eti mi nimemuharibu mke wangu kwa kumwendea kinyume na maumbile.
Kwa kweli sijawahi kumfanya hivyo hata mara moja, na wala sina tabia hiyo.
Je nimfanye nini huyu mama watoto wangu?

Tatizo usimfanye kitu, ulikuwa humpi vyakula vyenye virutubisho choo.
 
ebana eeeh,hivi visa vingine huwa mnavumiliaje?ningeshamfyeka mtu shingo
 
Back
Top Bottom