Nimezodolewa na manesi

Nimezodolewa na manesi

Nna uhakakika mkeo ni cdm tena mpiganaji! maana kamanda wa wapiganaji ni ex-pdr,can.Phd.s&love.a.a
 
Manesi walireact kwa kudhani ni mume ndio aliyemfanyia kitendo hicho. I think thats why wakamvaa yeye kama mhusika.

kwanza hapa maadili ya kazi hayakuzingatiwa

hata kama ana tatizo na ana fanya vitendo hivyo kweli, ni suala baina ya mgonjwa na daktari/mhudumu wake, sio kwenda kumwambia mume.

itifaki ya tiba haikuzingatiwa.
 
Ho huenda wamembadilisha mtoto sasa wanatafuta mazingira ya kuonekana mtoto huyo si wa kwako na kwamba mkeo si muaminifu! Mkeo unamjua vizuri kama ana tabia hiyo ungeshamjua toka zamani manesi!!!!!!! wasikie tu! kwa kutengeneza ishu. Wanaweza kubadili mtoto wa jinsia fulani toka hospitali ya Mwananyamala hadi Temeke na mzazi asijue, hapo usifanye haraka kutoa maamuzi badala ya kufurahia mtoto unakuwa ugomvi, be careful!
 
Nna uhakakika mkeo ni cdm tena mpiganaji! maana kamanda wa wapiganaji ni ex-pdr,can.Phd.s&love.a.a
Acha ujinga wewe hiyo ni soln gan unamsaidia jamaa,kuhusu tatizo lako mkuu huenda ni kweli mkeo alikuwa anafanya hivyo kipindi ni msichana ili kulinda bikra yake km atakuwa anokea maeneo ya znz au pwani mabinti wengi hufanya hivyo. Kaa naye mhoji km ni zamani bac muache as long as mtoto ni wako.
 
Msamehe tu!! alikuwa anakulindia mbele akijua ndipo unapopahitaji lol!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Pole sana! Kama bado unampenda itabidi umuombe akufundishe hako kamchezo ili uwe unamfanyia mwenyewe, vinginevyo vijana wataendelea kumfanyia tu, maana hako kamchezo hawaachagi kutokana fangasi wanaoambukizwa kwa ndani hivyo mfanyiwa hutaka kukunwa mara kwa mara. Na kwa kuwa huko mkono ni vigumu kufika, solution inakua ni jogoo tu.
 
Nikijua itanisaidia nini?

Umeshajua kwamba anafanya hivyo kutokana na manesi kukwambia kwamba umemuharibu Mkeo na wewe unadai hujawahi kugusa tigo hata siku moja, na hili inaelekea litakukosesha sana raha katika ndoa yako. Je, usipomuuliza mwenzio ni nani anayefanya naye shughuli hiyo nzito na hivyo kutokujua kulikoni...je kutokujua itakusaidia nini!?

Chochote kile ambacho kina/kitakukosesha raha na una uwezi wa kukifuatilia ili ujue ukweli wake basi ni lazima ukifuatillie badala ya kuishi katika maisha ya ndoa ambayo kila siku huna raha kwa sababu ya mitusi (si ajabu ya nguoni) ambayo ulivurumushiwa na manesi.
 
Mkuu pole sana, unajua katika mahusiano ya kimwili ndani ya ndoa wahusika hawaweki mambo hadharani, kwa mfano wapo wanaume wengi tu ambao wanapenda hako kamchezo ka mgongoni hata hivyo hawawezi kukafanya kwa wake zao kwa hofu ya kuharibu ndoa. Kwa upande mwingine wapo wanawake wengi pia wanaoendekeza hako ka mchezo, hata hivyo hawawezi kuwaambia waume zao wawafanyie.

Kinachofanyika, kila mmoja anapohitaji mgongo huenda nje ya ndoa kufanya hako kamchezo hivyo hata wewe usishangae kuna jamaa anakupigia bila haya, tambua kuwa huyo binti inawezakane ka mchezo kakaanzia bush, huko nako kamefika! Msamehe mkeo kwa vile ulikumkuta akiwa hivyo, uliapa kuishi naye kwa raha na shida. Halafu kumbuka alichounganisha Mungu mwanadamu asikitenganishe!
 
Pole sana! Kama bado unampenda itabidi umuombe akufundishe hako kamchezo ili uwe unamfanyia mwenyewe, vinginevyo vijana wataendelea kumfanyia tu, maana hako kamchezo hawaachagi kutokana fangasi wanaoambukizwa kwa ndani hivyo mfanyiwa hutaka kukunwa mara kwa mara. Na kwa kuwa huko mkono ni vigumu kufika, solution inakua ni jogoo tu.
Huu ushauri siuafiki, kwani hakuna tiba kabisa ya hilo tatizo??
 
Mkuu, labda alikuwa anajisaidia haja ngumu, ikalegeza njia mbadala!
 
Mke wangu mpenzi, nimemtoa kijijini.
Nimemuoa akiwa na bikira yake, hapo mwaka juzi mwishoni.
Mwaka huu Mungu akatusaidia, akabeba ujauzito.
usiku wa kuamkia leo kajifungua katoto kazuri ka kike.
Nilipoenda kumsalimia, nikapokelewa na manesi wenye hasira, wamenitukana sana na kunidhalilisha eti mi nimemuharibu mke wangu kwa kumwendea kinyume na maumbile.
Kwa kweli sijawahi kumfanya hivyo hata mara moja, na wala sina tabia hiyo.
Je nimfanye nini huyu mama watoto wangu?

Pole sana mkuu nimeyasoma maelezo yako kwa makini, lakini pia nimeyasoma maelezo ya wachangiaji wengine. ushauri uliopewa na wachangiaji mwingine nauafiki mwingine naona kama ni mzaha.
Nimesene nina utalaamu wa kutosha kujibu swali lako. Hakuna uwezakano wowote na naomba nisisitize tena hakuna uwezokano wowote kwa mtalaamu yeyote kufahamu kama mama mjamzito alikuwa anashiriki matendo hayo au la, iwe wakati wa kujifungua au wakati mwingine wowote. Na tena makunga si kazi yao kuchunguza vitu hivyo na hawana ujuzi na utaalamu au vipimo vya kuchunguza hayo.
Na tena wakati wa kujifungua hakuna uhusiano wowote unaohusisha kutoka mtoto na njia ya haja kubwa japo ni viungo ambavyo vipo karibukaribu. Na tena hakuna hali imbayo hupata mama wakati wa kujifungua ambayo huwalazimu manesi wajaze pamba sehemu hiyo kama ulivyosema!
Nakushauri kama una ushahidi wa kutosha lalamika kwa mkuu wa hiyo hospitali kwa maandishi na dai fidia. otherwise wafungulie mashitaka kwa kosa la kukudhalilisha wewe na mkeo, kwa kitu ambacho hawawezi kukitolea ushahidi.
 
Aisee hilo ni tatizo, kama ni kweli ulimkuta na bikra halafu leo hii kafanya hivyo jua wazi huyo si muaminifu katika ndoa yenu. Nakushauri kwanza uhakikishe kama mtooto ni wako, pia mbane akueleze wazi alikuwa anafanya na nani mchezo huo, vinginevyo muache kama akimlinda fisadi huyo.
mimi nimeyasoma maelezo karibu ya Watu wote lakini maelezo yako yameniingia akilini ikiwezekana bujibuji ambane mke wake ili amueleze ni nani aliyekuwa anafanya nae huo mchezo halafu, ikiwezekana amsamehe ila kwa sharti moja kwanza aende

kumcheki huyo mtoto kwa kutumia kipimo cha (DNA) kuhakikisha kama ni kweli Bujibuji mtoto wake ikisha thibitisha kuwa huyo mtoto ni wake bujibuji ndipo amsamehe na huku akiwa anamchunguza Mke wake na huyo aliyekuwa anakula tigo ya mke wake bado anaendelea na huyo mke wake kiuhusiano ?

Kama bado Mke wake bujibuji anakula Uroda na huyo mwizi wa bujibuji atamkamata tu . Waswahili husema Mwizi siku zake ni 40 tu na ikifika siku ya 40 mwizi utamkamata tu. Kwa Ufupi Mkuu bujibuji msamehe kwa hilo kosa nakuomba .
[FONT=Arial, Helvetica, Geneva, SunSans-Regular, sans-serif]
Luka 16:
[/FONT] [FONT=Arial, Helvetica, Geneva, SunSans-Regular, sans-serif]18[/FONT] "Yeyote anayemwacha mke wake na kuoa mwingine, anazini; na yeyote anayemwoa mwanamke aliyepewa talaka, anazini.
 
tatizo sijui watu huwa wanasex na wapenzi wao huku wamefumba macho?????unatakiwa uwe makini na kila tendo mnalolifanya ndani ya tendo!kama ni mzoefu wa kuliwa tigo, ukiwa unapiga nje ndani lile tundu la tigo huwa lina respond kwa kufumba na kufumbua!na hata kama ukitaka kupitisha hata kidole unakuta mwanamke wala hashtuki na zaidi atajikausha kimtindo!ukifanya doogy style utagundua vizuri!
ha ha ha ha ha,Umepita Mulemule,yaani utamwona anazidi kukatika na mikao yake Mingi inaifanya tigo iwe exposed zaidi!! Sometimes unaweza ukam-test kabisa ukijifanya unaitaka halafu angalia reaction yake then Hukumu!! Mwanamke ambaye hajawahi kuliwa utaiona reaction kabisa seriously,mwingine anaweza akawa anaigiza yupo serious lakini Utashi utakuongoza kuona kama ana-fake!! Sio kazi Ngumu kujua kama mwanamke analiwa jicho,its very easy!!
 
Ndugu yangu ako kamchezo ameanza muda mrefu wewe huna kosa. Alikuwa anatoa nyuma huku anakuonyesha bikra yake ili uamini kuwa hajawahi kutoa kwa mtu yeyote hicho kinu kichake!! Pole sana ndugu yangu. Lakini nakusihi sana usimuache kwani mchezo huo ni fasheni kwa sasa kwa akina dada!!
 
Mimi nadhani si kweli kuwa alikuwa akiliwa huko kwa CM,maana angejua hivyo asingekubali kujifungua kwa njia ya kawaida angekimbilia kufanyiwa operation, lakini siku zote hizo ww ukila machine hajawahi hata kukuonyesha dalili za kutaka huko kwenye mlango wa heshima?
RE.
 
...mbinue umcheki marinda kama yapo au la,kama hamna ujue mke wako aliliwa zamani na yawezekana anaendelea japo wewe huusiki!alianzia huko kijijini,yawezekana alitunza bikira ya mbele lakini nyuma alikuwa anaachia!tabia hiyo ipo sana pia visiwani na mombasa,pole!!
 
...mbinue umcheki marinda kama yapo au la,kama hamna ujue mke wako aliliwa zamani na yawezekana anaendelea japo wewe huusiki!alianzia huko kijijini,yawezekana alitunza bikira ya mbele lakini nyuma alikuwa anaachia!tabia hiyo ipo sana pia visiwani na mombasa,pole!!

marinda tena??? Kudadadeki... Kweli mimi ni mshamba kabisa, labda buji anayafahamu hayo malinda
 
MSAMEHE
mwulize alikuwa anafanya nanan mchezo huu
tangu lin na kwanini?
..Wala usimuulize akitoka hospitali baada ya ku-recover vizuri na wewe omba mjadala utaanzia hapo...!!!
 
Kukuongezea ni kwamba si rahisi kumtambua mtu aliyefanyiwa liwati kwa kumtazama huko chini, unless awe amefanya tendo hilo siku hiyohiyo. Nilisoma na jamaa mmoja wa Egypt alikuwa anaandika thesis yake kuhusu mambo ya criminalization of sex huko kwao. Kule Egypt liwati ni kosa linaloadhibiwa kisheria kwa wote aliyefanya na aliyefanyiwa. Alifanya utafiti wake kuhusu validity na reliability ya test zilizowekwa kisheria kwa ajili ya kuthibitisha ushahidi kuwa mtu ni shoga, na hizo huwa ni madaktari wanamtazama mtuhumiwa kwenye anus akiwa ameinama halafu wanamwambia asukume kama anataka kuny*. Alileta wanaume ambao wamekiri kuwa huwa wanaingiliwa, akasafiri nao kutoka UK hadi Egypt akaita majopo matatu tofauti ya madaktari wa Egypt wawapime. Matokeo yalishangaza. Kuna ambao walipasi kwa majopo yote matatu kuwa hawajawahi kufanyiwa hivyo! Wapo ambao jopo moja lilisema ni was*ng*, lingine likasema siyo. Na siku moja tukiwa tunajadili naye pale Ty Beck house tulipokuwa tunaishi wote, aliniambia hata watu wenye ugonjwa wa unaoitwa piles wanaweza kudhaniwa ni waseng* kwa kipimo hicho. Kwa kifupi conclusion yake ilikuwa kwamba hicho kipimo siyo valid wala reliable. Nimejaribu ku-search kama ali-publish ile thesis lakini sijaiona publication, nimemwandikia email akinitumia e-copy nitawawekea na nyie muione.

Huo uvumi umeenea sana hadi kinamama wanaenda labor wakiwa na hofu tayari, maana nina uhakika kuna wanaosemwa kwa abnormality zao ambazo hazijatokana na tendo hilo wanalotuhumiwa.

jibu kako nimelipenda saana.Tumejibu pamoja hapoo Thanx alot
 
Back
Top Bottom