Nichumu Nibebike
JF-Expert Member
- Aug 28, 2016
- 8,658
- 15,793
Ha haaa! This idea came Yesterday in the middle of the party. The place was full of people kiasi kwamba ilikuwa ni ngumu kusogeza mguu bila ya kumkanyaga mwenzio.
Basi wakati wahudumu au wadada wanapita kwenda toilet, kwa kuwa nilikuwa nimekaa karibu na kinjia, niliambulia kadhia ya kushikwa shikwa bega au mapaja na walevi ambao walihitaji support ya kujiwezesha kutembea wima.
Kiukweli wazo likanijia kuwa hii ndio nafasi ya kutengeneza pesa kama mwanasheria Fatma Karume.
Yule mwanadada kanifundisha kuwa kumbe ukishikwa shikwa na kuzongwa zongwa na kundi kubwa la watu hiyo inakuwa ni nafasi nzuri ya kutengeneza pesa?
Sasa kesho juma tatu na mimi naamkia mahakamani kudai haki yangu.
Kwa nini watu wanizonge zonge na kunishika shika bila ridhaa yangu eti tu kwa kisingizio kuwa tuko overcrowded?
Kesho wahandisi wa habari tukutane Kisutu. Baada ya kufungua mashitaka nitaitisha press conference...
Basi wakati wahudumu au wadada wanapita kwenda toilet, kwa kuwa nilikuwa nimekaa karibu na kinjia, niliambulia kadhia ya kushikwa shikwa bega au mapaja na walevi ambao walihitaji support ya kujiwezesha kutembea wima.
Kiukweli wazo likanijia kuwa hii ndio nafasi ya kutengeneza pesa kama mwanasheria Fatma Karume.
Yule mwanadada kanifundisha kuwa kumbe ukishikwa shikwa na kuzongwa zongwa na kundi kubwa la watu hiyo inakuwa ni nafasi nzuri ya kutengeneza pesa?
Sasa kesho juma tatu na mimi naamkia mahakamani kudai haki yangu.
Kwa nini watu wanizonge zonge na kunishika shika bila ridhaa yangu eti tu kwa kisingizio kuwa tuko overcrowded?
Kesho wahandisi wa habari tukutane Kisutu. Baada ya kufungua mashitaka nitaitisha press conference...