Leo nimejiimu mapema nikamwone Mgonjwa Hospitali ya wilaya ya Nyamagana Mwanza ..
Cha ajabu nimezuiliwa na walinzi kwamba mtu anayeruhusiwa kuingia ni Mwenye chakula cha mgonjwa tuu ili kuepuka maambukizi ya ebola
Swali langu limekuja je serikali imeshatoa tamko kwamba dude hili limefika au la... na kama ni kweli hizi hatua kwel ni za kupambana na maambukizi ama kuzua taharuki tuu maana najua Ebola ni another issue
Ngoja kwanza, umejitazame kwenye kioo, inawezekana unaonyesha unakila dalili za ugonjwa huu hatari ndio maana askari wakakutilia shaka pengine upo nao.