Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 6,346
- 14,546
Habari za Asubuhi wakuu
Leo nimejiimu mapema nikamwone Mgonjwa Hospitali ya wilaya ya Nyamagana Mwanza ..
Cha ajabu nimezuiliwa na walinzi kwamba mtu anayeruhusiwa kuingia ni Mwenye chakula cha mgonjwa tuu ili kuepuka maambukizi ya ebola
Swali langu limekuja je serikali imeshatoa tamko kwamba dude hili limefika au la... na kama ni kweli hizi hatua kwel ni za kupambana na maambukizi ama kuzua taharuki tuu maana najua Ebola ni another issue
Naomba kuwasilisha
Leo nimejiimu mapema nikamwone Mgonjwa Hospitali ya wilaya ya Nyamagana Mwanza ..
Cha ajabu nimezuiliwa na walinzi kwamba mtu anayeruhusiwa kuingia ni Mwenye chakula cha mgonjwa tuu ili kuepuka maambukizi ya ebola
Swali langu limekuja je serikali imeshatoa tamko kwamba dude hili limefika au la... na kama ni kweli hizi hatua kwel ni za kupambana na maambukizi ama kuzua taharuki tuu maana najua Ebola ni another issue
Naomba kuwasilisha