Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Kwahiyo sukari iko chini ya mbunge?Gongolamboto mbunge ni nani?
Mbunge yuko Chini ya sukari 🐼Kwahiyo sukari iko chini ya mbunge?
Sema wakazi wa Gongolamboto na sio watanzania.Watanzania msitegemee maendeleo kwa akili hizi za hawa viongozi wenu.
Ok. Kwahiyo huko kwenu iko tele na munauziwa kwa bei elekezi?Sema wakazi wa Gongolamboto na sio watanzania.
Hivi kwa nini unakaa Gongolamboto hadi ukose sukari ilhali kuna maeneo yaliyochangamka huku Goba sukari tele?
Maadamu ndege ina mafuta ya mama wa kizimkazi kuzunguka dunia nzima hayo mambo ya sukari tutajua wenyeweDaaaaahh
Issue ndogo ya sukari ilipaswa kutatuliwa na kiongozi wa ngazi ya katibu mkuu wa wizara au Mkurugenzi wa bodi ya sukari basi.
Lakini serikali yote iliingiza miguu yote na kuambulia kusombwa na maji. Sasa sukari hakuna kabisa.
Watanzania msitegemee maendeleo kwa akili hizi za hawa viongozi wenu.
Kiongozi mkuu wa usimamizi wa sera za nchi Waziri mkuu alisema mpaka Ramadhani sukari itakuwa ya kutosha. Vichekesho kweli.
Sasa Ramadhani na sukari vina uhusiano gani?
Sukari imeenda wapi? Kiongozi upo wewe Mkuu wa kaya peleka sukari nyumbani 😆😆Daaaaahh
Issue ndogo ya sukari ilipaswa kutatuliwa na kiongozi wa ngazi ya katibu mkuu wa wizara au Mkurugenzi wa bodi ya sukari basi.
Lakini serikali yote iliingiza miguu yote na kuambulia kusombwa na maji. Sasa sukari hakuna kabisa.
Watanzania msitegemee maendeleo kwa akili hizi za hawa viongozi wenu.
Kiongozi mkuu wa usimamizi wa sera za nchi Waziri mkuu alisema mpaka Ramadhani sukari itakuwa ya kutosha. Vichekesho kweli.
Sasa Ramadhani na sukari vina uhusiano gani?
Ipo tele huku, mambo ya bei elekezi hatuyajui huku sisi tunanunua 5k per kg hatuna malalamiko.Ok. Kwahiyo huko kwenu iko tele na munauziwa kwa bei elekezi?
Duuuuh Mbunge wa wapi huyo aliechini ya Sukari?Mbunge yuko Chini ya sukari 🐼