Nimezunguka Gongolamboto sokoni hakuna sukari, hivi hii nchi ina uongozi?

Nimezunguka Gongolamboto sokoni hakuna sukari, hivi hii nchi ina uongozi?

Bodhaa za mwendo wa kuruka karne hii kwa kweli?
Afrika lini wataamka
Nchi inakosa sukari? What a joke
Kwa sababu raia wengi ni mazuzu,mateja mazombie misukule
Sukarini bidhaa ya kawaida kabisa
Lakini tanzania sukari inafanywa kama dili sanaaaaa na wakubwa wao
Ndiyo wametengeneza mazingira hayo

Ova
 
Ndio maana wazungu waliachana na miwa kutoka kwa utumwani huko walikowapeleka maana imekuwa mbali na gharama pia
Kuna alievumbua mmea mmoja ambao ndio wanalima sasa hapa kwao na kutengeneza sukari
Sijui kwanini na sisi hatulimi sugar beats View attachment 2906592
Hiyo ndiyo dawa yao
Na wanaawachia miwa yao
Wadode nayo
Wapige nayo picha tu

Ova
 
Upumbavu ulianza pale walipoyaka BUNGE la kijani, wakawaondoa watu wenye akili wakaweka makapi ya kijani. Hamna kitu kabisa pale
 
Hiyo ndiyo dawa yao
Na wanaawachia miwa yao
Wadode nayo
Wapige nayo picha tu

Ova
Yaani ni zao zuri sana na haihitaji maji mengi kama miwa
Hao kilimo au chuo hicho wangejaribu kwani tuna ardhi ya kila aina hata kusini ingestawi vizuri sana huko

Basi tu kuna watu wanaangalia maslahi yao tu na sio ya nchi
 
Kwa matumizi ya nyumbani sukari huwa ina kazi gani muhimu sana? Ni chai ndo inasababisha iwe muhimu hivi? Naona kama tunaipa umuhimu sana.
 
Kwa sababu raia wengi ni mazuzu,mateja mazombie misukule
Sukarini bidhaa ya kawaida kabisa
Lakini tanzania sukari inafanywa kama dili sanaaaaa na wakubwa wao
Ndiyo wametengeneza mazingira hayo

Ova
Hayo unayoongea ni kweli kabisa mkuu, anaweza kutokea mtetezi na wa kuongea kumbe na yeye ana malengo yake
Sukari sio kitu cha kukosekana wala kuadimika
Na kweli wanalifanya jambo kubwa sana kwa manufaa yao ni majizi hayo
 
Back
Top Bottom