Nimfanyaje huyu binti..

Nimfanyaje huyu binti..

mazee, mnanihukumu sana..lakini hamna tabu..nachuja vinavyonifaa na kuvifanyia kazi..umri wangu ni 29..so i am matured eneough..huwaga nakwenda kusali na si vingine.. ila huyu dogo , amefanya ni utaratibu wake kuja kukaa na mimi, mpaka umenishangaza sana..ikabidi niufikishe kwa critical thinkers kwa ushauri na si hukumu..wakati mwingine nakuwa na vyangu lakini kwanini hakai mahali pengine popote isipokuwa ninapokaa mimi tu?? hilo ndo swali..the first time we seated together ilikua ubatizo wa mtoto wa kaka yake from what i saw..then nkajua imeishia hapo..the next sunday.. i saw her , she came straight to my seat..nkajua kawaida..then the next sunday and another and another..nkaona alaa kumbe huu ushakua utamaduni? na mara nyingi hapa church kwetu wanaokaa pamoja ni wenye ndoa tuu..sasa hii itaanza kuleta picha gani..kuwa she is my wife???

Kama huna mpango nae, si ubadili tu ratiba ya kwenda chachi na seat ya kukaa??
 
Watakaoitwa ni wengi,ila wateule ni wachache.we naona kanisani waenda kupoteza muda tu.
 
............................................................................................................
 
Hivi jamani mlitaka akatafute mpenzi bar? Mapenzi huanza popote pale as long you are both committed and sincere na sio kuchezeana tu. Kuwa jasiri na mweleze unavyojisikia.
 
Wadau, nimfanyaje huyu binti, tunasali kanisa moja, ila anapenda sana kuja kukaa pale ninapo kaa mimi kila mara wakati wa misa, atategea kuona nakaa wapi atakuja kukaa hapo hapo, na mara nyingi hupenda kushare na mimi vitabu vyake vya nyimbo na neno.

Hivi ni viashiria gani..anataka nimtongoze ama anjisikia vizuri tu kukaa na mimi..jumapili iliyopita nilifikiri atachelewa lakini kaja muda uleule, na kanifuata moja kwa moja kukaa na mimi..ni mzuri tu..ila najiuliza mara mbili mbili kama ni sahihi kutupa ndoano nisije jutia bure..msaada tutani

kijana huyo mtoto kakupenda tu
 
Mkali wa kitaa, achana na hayo mambo ya kufikiria mahusiano ya kimapenzi, most of the time try tofocus on some other things meeen, jsut make her yo comrade.
 
Wadau, nimfanyaje huyu binti, tunasali kanisa moja, ila anapenda sana kuja kukaa pale ninapo kaa mimi kila mara wakati wa misa, atategea kuona nakaa wapi atakuja kukaa hapo hapo, na mara nyingi hupenda kushare na mimi vitabu vyake vya nyimbo na neno.

Hivi ni viashiria gani..anataka nimtongoze ama anjisikia vizuri tu kukaa na mimi..jumapili iliyopita nilifikiri atachelewa lakini kaja muda uleule, na kanifuata moja kwa moja kukaa na mimi..ni mzuri tu..ila najiuliza mara mbili mbili kama ni sahihi kutupa ndoano nisije jutia bure..msaada tutani.


anapenda unavyosali vizuri, alelluya
 
Mkuu mie nakushauri nenda misa ya pili kama umezoea kwenda ya kwanza au vice vesa, hapo utakuwa umesolve tatizo if at all hayupo akilini.

Unadhani this simple calculation hajui......? Ni basi tu kuwa kajamaa nako kanapendelea hii hali........kajamaa kana ubongo sinful!
 
Ila hamna ishu ya kushangaza kama mshkaji yupoo soreus afnye mambo tuu kwaajili ndoa nyingi mkitokeana labda iwe siri ukipandamo kanisa likistukia unatengwa ila mkikamilisha mipango mnarudishwa kundini kiaina so angalia kama haupo soreus mzeee
 
Back
Top Bottom