Ndo kinachonishangaza anaomba ushauri wa nini? au ndo keshamzimikia anajua ndo kashamkosa hivyo!Mbona mkuu HP hiyo kesi imeisha toka pale alipozira na kukataa kupanda gari!...au nini unataka zaidi ya hilo?kama lifti ulitoa kwa huruma yako,mpewaji sasa haitaji wewe unatafuta kitu gani kingine?....au mkuu kuna kitu zaidi ya lifti ambacho unaona utapoteza kutokana na hilo tukio?.....yeye kapotezea then wewe potezea zaidi yake....hakuna kesi hapo kiongozi.
Ndg naombeni ushauri maana najua kesho tena naweza kumkuta eneo lile lile na sijui nichukue uamuzi gani wa busara, msaada pliz!
mmh...bwagamoyo kuna nini tena huko...!!??....just curious...
Ndg naombeni ushauri maana najua kesho tena naweza kumkuta eneo lile lile na sijui nichukue uamuzi gani wa busara, msaada pliz!
hapa umenena mkuu....!!Mbona mkuu HP hiyo kesi imeisha toka pale alipozira na kukataa kupanda gari!...au nini unataka zaidi ya hilo?kama lifti ulitoa kwa huruma yako,mpewaji sasa haitaji wewe unatafuta kitu gani kingine?....au mkuu kuna kitu zaidi ya lifti ambacho unaona utapoteza kutokana na hilo tukio?.....yeye kapotezea then wewe potezea zaidi yake....hakuna kesi hapo kiongozi.
Ndg naombeni ushauri maana najua kesho tena naweza kumkuta eneo lile lile na sijui nichukue uamuzi gani wa busara, msaada pliz!
aaanhaaaa...ndo maaaaanaaa...!!Nasikia watu hua wanawekana sawa.
Akishaendewa huko hatoi lift tu mpaka funguo za gari anakabidhi.
Leta story nzima hapa mzee......leta maongezi ya kwenye gari.