Nimfanyaje huyu dada? Yamenikuta leo asbh

Nimfanyaje huyu dada? Yamenikuta leo asbh

Mbona mkuu HP hiyo kesi imeisha toka pale alipozira na kukataa kupanda gari!...au nini unataka zaidi ya hilo?kama lifti ulitoa kwa huruma yako,mpewaji sasa haitaji wewe unatafuta kitu gani kingine?....au mkuu kuna kitu zaidi ya lifti ambacho unaona utapoteza kutokana na hilo tukio?.....yeye kapotezea then wewe potezea zaidi yake....hakuna kesi hapo kiongozi.
Ndo kinachonishangaza anaomba ushauri wa nini? au ndo keshamzimikia anajua ndo kashamkosa hivyo!
 
Jamani, huko jirani zako hakuna wanaume?
wewe unaona huruma kwa wanawake tu?

You will reap what you have sown!

Soma signature yangu!
 
Ndg naombeni ushauri maana najua kesho tena naweza kumkuta eneo lile lile na sijui nichukue uamuzi gani wa busara, msaada pliz!


binafsi nimekuelewa mkuu.pengine hujawahi kumpenda huyu dada ila alijiaminisha kuwa hueda one day YES.....kwa kifupi achana nae na usimpe lift tena ....wakati anafunga mlango na kusonya ndo alikuwa anajimaliza........kaa nae mbali...hakuongezi humuongezi.....wema usizidi uwezo mkuu......
 
Mbona mkuu HP hiyo kesi imeisha toka pale alipozira na kukataa kupanda gari!...au nini unataka zaidi ya hilo?kama lifti ulitoa kwa huruma yako,mpewaji sasa haitaji wewe unatafuta kitu gani kingine?....au mkuu kuna kitu zaidi ya lifti ambacho unaona utapoteza kutokana na hilo tukio?.....yeye kapotezea then wewe potezea zaidi yake....hakuna kesi hapo kiongozi.
hapa umenena mkuu....!!
 
na wewe ulimchelewesha siku ya kwanza lift na kuomba mzigo,hata kama leo kasusa umeshalamba!hakuna kuleta egoli
 
Keshamsonya jirani yako.... Keshazira... Bado unawaza ukimkuta kesho utafanyaje??? Are you into her???? If not ukimkuta kesho timua vumbi; kwanza hana manners, na wala hasatili kupewa nafasi kuwa girlfriend hata kama upo upo. Binti gani anasonya strangers?? What if alomsonya ni dadako???

Hao ndio wanawake wakiolewa wanawatia ngumi wakwe zao. Mungu amekuonyesha her true color; kama ulikuwa umeanza ku fall zinduka; hakufai.

Ndg naombeni ushauri maana najua kesho tena naweza kumkuta eneo lile lile na sijui nichukue uamuzi gani wa busara, msaada pliz!
 
achana naye hakuna tena kumpa lift mpumbavu huyo! HANA ADABU!
 
hii ni noama mno kaka angalia wasije pasua vioooo maana
 
Umesema wewe ndiye ulimuonea huruma na kuamua kuwa unampatia lift wala yeye hakuwahi kukuomba. Sasa haitaji tena lift wewe ya nini kuumiza kichwa!
 
Dawa ya bishoo kuwa bishoo zaidi yake, mfungie vioo, piga na tinted kabisa!



Il Gambino.
 
Back
Top Bottom