Nimfanyaje huyu dada? Yamenikuta leo asbh

Amekudhalilisha vipi kwa jirani yako?

she was trying to captivate you in love, she believes to be the only one and very unfortunately she thought her dreams failed unknowingly!msamehe jamani hakujua huyo ni nani na alikuwa na matumaini makubwa sana!haya ndo maisha yetu, sidhani na sijui ni kwanini watu tunakuwa a mawazo ya haraka sana kabla ya kuwa na uhakika wa mambo!vilevile na wewe unaweza kuwa ulimuonesha sana mambo fulani yakamteka si unajua!au alikuwa frastruted akahis utakuwa kimbilio lake!mambo ni mengi!
 
Kiukweli mazungumzo yenu kwenye gari ndio yatakayotusaidia sisi ili tuweze kukushauri vilivyo,anyway it happen
 
Alijua keshapata buzi, tena buzi lina gari! bahati ilioje, hapo ni kama umempa za uso. Achana nae kwani anakupunguzia nini amwache akajaribu kwingine ndoano yake inaweza kunasa
 
wewe lift unawapa wanawake tu???
au wanaume huwaonagi wakihangaika na tabu ya usafiri,...??
pole nadhani ulitaka kutumia gari yako kama chambo cha kupatia wanawake.....na ukawapata kweli.....
kifupi,usimpe huyo dada lift tena ukimuona uchune atajifunza kusonya watu asiowajua,uchune kabisaaa kama hujamuona kwanza una mtu mwingine wa kupiga naye stori kwenye gari (jirani) incase boredom ndio inakusumbua....
and second,jifunze kutokana na hii experience ya kusonywa kuwa OPEN,huyu dada wa pili asije akapata bichwa kwa kuona mwenzie 'kaachia ngazi' hivyo kumpa false hopes yeye kawa 'promoted' mwambie wazi kilichotokea na unafanya hivyo kama msaada tu na si vinginevyo...ili na yeye asipate matumaini ya kukuzoa...
mwisho OA uwe unampe lift mkeo tu.......ukionyesha udhaifu kuna wanawake ni mapapa yapo kuwinda tu shaurilo....
 
duh mkuu nje ya mji siwezi hata kuchangia
nawezaingia choo cha kike mpwa nje ya mji malizaneni na anje ya maji
 
kama leo kakususia wewe kesho unataka umpe lift ya nini? sema na wewe una lako jambo. hebu funguka maana unatuminyia hapa kiasi tunashindwa kukupa mawazo muafaka.

Ndg naombeni ushauri maana najua kesho tena naweza kumkuta eneo lile lile na sijui nichukue uamuzi gani wa busara, msaada pliz!
 
Huyo kichwani hazipo sawa na ukimla utajuta....we mpotezee tu
 
Mimi najiuliza huyo dada anamfahamu huyo jirani yako?isije ikawa walishagombana??....jamani kukosa lift na mvua ndo zimeanza kunyesha..mbona kazi?????
 
Ushauri wa bure. Achana naye atakuletea balaa kama angekuwa mkeo je? Kwa nini akasirike naye ulikuwa unamsaidia tu unless katika mazungumzo yenu katika siku mbili tatu ulizompa msaada wa usafiri ulitamka kitu ambacho kilijenga matumaini kwake!!
 
Hivi ulisema nje ya mji upande gani vile? Maana kama namfaham vile huyo dada..
 
Gari yako, umenunua kwa hela yako unahangaika na hao viruka njiia wa nini. Piga mwenda usitoe lift kwani ana hisa kweye gari yako. Chunga sana what huyo angekuwa mkeo? Kuna vitu vingi hatutaki kuhoji ila huyo binti inaonekana umeshakula apple lake. Kwa heri!
 

Kwani amesema ana ma apple Caroline....?
 

You're genius bro.
 

Are you serious bro?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…