HorsePower
JF-Expert Member
- Aug 22, 2008
- 3,612
- 2,567
- Thread starter
- #101
wewe lift unawapa wanawake tu???
au wanaume huwaonagi wakihangaika na tabu ya usafiri,...??
pole nadhani ulitaka kutumia gari yako kama chambo cha kupatia wanawake.....na ukawapata kweli.....
kifupi,usimpe huyo dada lift tena ukimuona uchune atajifunza kusonya watu asiowajua,uchune kabisaaa kama hujamuona kwanza una mtu mwingine wa kupiga naye stori kwenye gari (jirani) incase boredom ndio inakusumbua....
and second,jifunze kutokana na hii experience ya kusonywa kuwa OPEN,huyu dada wa pili asije akapata bichwa kwa kuona mwenzie 'kaachia ngazi' hivyo kumpa false hopes yeye kawa 'promoted' mwambie wazi kilichotokea na unafanya hivyo kama msaada tu na si vinginevyo...ili na yeye asipate matumaini ya kukuzoa...
mwisho OA uwe unampe lift mkeo tu.......ukionyesha udhaifu kuna wanawake ni mapapa yapo kuwinda tu shaurilo....
Jestina, mimi sina hizo tabia unazofikiria za kumnyanyasa mtu kwa kutumia uwezo mdogo wa kiuchumi nilionao. Lifti huwa natoa kwa watu wote na jinsi zote, ila sikuwahi kupata changamoto kama hii. Na kwa taarifa yako mi huwa sitongozi mtu hovyo maana ninaheshimu imani na msimamo wangu. Ila nashukuru kwa ushauri kuwa nisimpe lifti tena. Nakushukuru