Official Fisherman JF-Expert Member Joined Dec 20, 2010 Posts 560 Reaction score 110 Dec 6, 2011 #141 Kwa kuwa nia yako ilikuwa ni kumsaidia tu na tayari amekataa msaada wako, we mpotezee. Kwani ukiamua kumsaidia ombaomba kwa kumpa pesa afu akaikataa, utahuzunika au utajiondokea na kumsahau?
Kwa kuwa nia yako ilikuwa ni kumsaidia tu na tayari amekataa msaada wako, we mpotezee. Kwani ukiamua kumsaidia ombaomba kwa kumpa pesa afu akaikataa, utahuzunika au utajiondokea na kumsahau?