Nimfanyaje huyu dada? Yamenikuta leo asbh

Kwa kuwa nia yako ilikuwa ni kumsaidia tu na tayari amekataa msaada wako, we mpotezee. Kwani ukiamua kumsaidia ombaomba kwa kumpa pesa afu akaikataa, utahuzunika au utajiondokea na kumsahau?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…