Nimfanyaje huyu house girl wangu

Nimfanyaje huyu house girl wangu

Asanteni sana kwa maoni yenu ila kumwambia mama ukweli naona ni ngumu sana, nahisi nitazua mengine zaidi. Infact leo nimejifanya kumweleza kwamba nimesoma kwenye JF kuwa kuna mtu amepost thread hii. Aisee alikuwa mkali kweli so I dont know her reaction kama nikimwambia ni mimi.
 
Usimwonee aibu, wala usimwogope na wala hata usimfukuze kaz. YES!! The only thing to do ni kumtreat kama hosegal, over. Kma unamtuma kaz hafanyi, anaonyesha dharau mkalipie. Anapaswa kujua who are u 2her. Wewe ni mwajir wake anapaswa kukuheshm no matte what. Nivigum sana kumwambia mkeo ulichomfanyia kwa kuwa eti unamtreat kwa kutokukuheshm. Najua ulichofanya ni matatz yetu wanaume, bt be care. USIRUDIE TENA. Hii k2 ni rahc sana kumvunjia mtu heshma ktk jamii. Be care.
Heshima? Una maana gani? Mbona yeye hakujiheshimu wala hakumheshimu?
 
jamani hakuna mtu aliyeuliza huyu bint alikuwa na miaka mingapi kabla haja do chochote,kwan yawezekana ni U-18 na aki expose out anakula 30 jail au ana Babu Seya kabisa hasa wakijua ni anasapoti vidole viwili. kuna watu wengi sana humu jaman,wengine ni usalama wa taifa..
 
Natamani kumwambia mkeo huo ukaribu ulio nao kwake kwa sasa ni wa unafki na c wa kweli.
 
...bora alikufungulia h/gal,nahisi hata angefungua mamako ungemwomba....hata me nakunywa ila sio **** a kama wewe,yanayotokea sasa huyo binti anahaki,najaribu kufiri kama mngekuwa wawili tu,kaka ulikuwa unafungwa kwa ubakaji,take it from me!!!anza upya,tafuta namna ya kumfukuza,likitokea lolote basi atakua keshaondoka na huna budi kulinywa...
 
Mbona tunanyoosha vidole vingi kwa jamaa wakati ameshajitambua , toeni ushauri bana<br />
kama kusalitiwa mbona wengi tu humu mmeshasalitiwa na mkasamehe<br />
OKOENI NDOA HIYO, WATOTO NDO WAHANGA WA KWANZA na wala sio huyu jamaa
<br />
<br /
Mnatafuta dhahma halafu mnasingizia watoto watateseka alipokuwa anammendea huyo bint hakujua ana watoto? Na bint angemkubalia angejuta baada ya pombe kuisha au angeshangilia ushindi akaja kujisifu alivyo mjanja? Ameshalikoroga alinywe tu kwa kumuomba radhi bint na wala si kumfukuza kazi maana mkosaji atakuwa anamhukumu victim wa makosa yake which is not fair.
 
Msisingizie pombe ni umalaya wenu ebooo mbona wengine tunakunywa na hatufanyi upuuzi kama huuu
MR, kweli huyu ndugu ni wazi hili alikuwa amelidhamiria siku nyingi ila alishindwa jinsi ya kulianzisha akayatwika ili ionekane si yeye bali ni kile kinywaji alichokunywa kwa kuzidisha...
 
We una mamlaka bana,kama mzee mwenye nyumba.Timulia mbali huyo,anakunyima furaha na amani bureeeeeeeeeeeeee
 
<
PHP:
br />
 <br /
Mnatafuta dhahma halafu mnasingizia watoto watateseka alipokuwa anammendea huyo bint hakujua ana watoto? Na bint angemkubalia angejuta baada ya pombe kuisha au angeshangilia ushindi akaja kujisifu alivyo mjanja? Ameshalikoroga alinywe tu kwa kumuomba radhi bint na wala si kumfukuza kazi maana mkosaji atakuwa anamhukumu victim wa makosa yake which is not fair.[/QUOTE
]

Du !!! ennie , si tumefundishwa tusamehe 7 mara 70 jamani !
 
Asanteni sana kwa maoni yenu ila kumwambia mama ukweli naona ni ngumu sana, nahisi nitazua mengine zaidi. Infact leo nimejifanya kumweleza kwamba nimesoma kwenye JF kuwa kuna mtu amepost thread hii. Aisee alikuwa mkali kweli so I dont know her reaction kama nikimwambia ni mimi.

...Naombea kweli afungue JF asome haya uloyaandika!
 
Wandugu kwema?<br />
Jamani mimi ni mdau wa humu siku nyingi sana ila nimekutwa na makubwa mwenzenu.<br />
<br />
Siku tatu zilizopita mke wangu alikuwa amelala hospitali akimuuguza ndugu yake. Baada ya mimi kuwa huru basi nakaamua kutandika maji ile kisawasawa. Nilirudi majira ya saa tisa usiku nikiwa niko bati. Nilivyofika nyumbani dada akanifungulia mlango. Akili yangu ikanituma nimuombe dada penzi. Yule dada akawa mkali sana, nikajaribu kumlazimisha kwa kumshika akaning'ata mkono na kukimbilia chumbani kwake.<br />
<br />
Basi nikaogopa watoto wasije wakaamka kwani walikuwa wamelala na bibi yao yaani mama yangu. Huyu dada sasa hivi namwona aibu na ninaogopa asije akamwambia wife. Shida ninayoipata nikamsalimia haitiki, nikimtuma kitu hafanyi kwa kweli ananidharau sana. Pia inabidi niwe karibu na wife mda wote kwani naogopa asije akamwambia.<br />
<br />
Nimeomba ushauri kwa baadhi ya marafiki wengine wananiambia nikitaka niwe salama eti nihakikishe natembea nae na wengine wananiambia nimshawishi mama twumfukuze kazi.
<br />
<br />
 
we nawe umezidi we ndo wale wanaume ambao.hata mke akiondoka kwenda kusalimia tu unaoa mwanamke mwingine.haya na huyo h'girl angekuwa mdebwedo.c ungekuwa ushaleta mekubwa? Jiheshimu
 
Gudua kuwa Huyo H Girl ANA HESHIMA KWA MUNGU NA MBELE YA MKEO NA WEWE HUNA HESHIMA KWA MUNGU WALA MBELE YA MKEO! Sina ushauri wa kukupa! Am off!!
 
Tafuta nafasi uongee na huyo housegirl. Jishushe na umwombe msahamaha kwa yaliyotokea. Nina imani atakusamehe! Halafu siku nyingine usitumia nafasi yako/cheo chako kutaka kulamba mabinti za watu. Fuata procedures zote za kutongoza!
 
Ndugu yangu fukuza kazi haraka huyo atakuharibia kwa wife.
 
Tafuta nafasi uongee na huyo housegirl. Jishushe na umwombe msahamaha kwa yaliyotokea. Nina imani atakusamehe! Halafu siku nyingine usitumia nafasi yako/cheo chako kutaka kulamba mabinti za watu. Fuata procedures zote za kutongoza!

Mh naona kama ni ngumu sana nayo
 
HTML:
Mh naona kama ni ngumu sana nayo

Naona umejifunga Bomu chini ya hiyo kiuno yako na soon litalipuka ukifanya mchezo.
halafu haya mambo hukutakiwa kujaribu huku ukijua kuna wengine waliolala ndani.
Halafu mpaka urudi huo muda ulikuwa tayari umejiandaa kukalamba hako katoto kwa hiyo usisingizie Pombe.
halafu kumla beki tatu kuna taratibu zake, ulitakiwa kwanza uje hapa uombe ushauri namna ya kumla bila kuleta madhara nyumbani.
Siku nyingine usirudie, ila kwa sasa kuwa mpole hiyo habari itaisha yenyewe kilaini.
 
Mkuu kwanza kabisa wewe ni mkatili sana na pili huna adabu kwakumzalilisha mkeo na H/g wako kwa unyama ulomfanyia umemuoba kakunyima ukambaka kwanguvu kakushinda sasa unatafuta njia ya kumfukuza kazi kwa kosa ulomfanyia hebu kaa ufkiri sana kama umefanikiwa kumfukuza na ukasevu kwa mkeo je kwake atakuwa amekusamehe na kwa mungu utasamehewa? kikubwa mkuu muombe msamaha huyo binti na umheshim kweli na kama ukiona vipi kabla hajamwambia mkeo inabidi umuweke chini mkeo nakumuomba msamaha kuwa ulilewa na ukataka kumbaka mschana wa kazi.
 
angalia airee na hiyo kilauri yako inavoku2ma vby ucje mrukia hta mamako ukadhan kabinti chuchu sa 6.kwa nn upombeke ivo?.zidi kumwomba msamaha acje kuvurugia,na akikupa uroda unaeza nogewa then ukaharibu familia.ka vp arudi kwao we c ndo baba mwenye nyumba.okoa aibu hyo tena mbele ya mamako.
 
Back
Top Bottom