Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habari zenu wanajamvi natumaini ni wazima wa afya. Jamani leo yamenikuta mwenzenu nikiwa namuaga kwa d*nda zito My nyumba ndogo wangu shemeji yangu wa kiume akaniona na kuniambia ya kuwa sio vizuri ninachokifanya na kuondoka zake na kwenda kumuambia dada yake ya kuwa ameniona,bac kidume kufika nyumbani nikakutana na kesi,mie nikakataa kuwa hakuniona na wala cna demu nje,ikabidi aitwe na kuulizwa anakubali kaniona na mie nakataa ya kuwa hakuniona na wala ckufanya hiyo kitu,mpaka sasa sijalala napigiwa kelele natishwa,nafinywa,napigwa na mito yaani vurugu humu ndani amani ishaanza kutoweka na My wife wangu kawa mkali ajabu. Je? Nimfanyeje shemeji yangu huyu.
Da Dena unatetea maradhi????????
wewe unaona tatizo ngoma tu ambayo hata ukipata haufi kesho,na hizo hosp bills uliambiwa ukiwa na ukimwi peke yake ndio utapaswa kuzilipa,vipi kuhusu malezi ya watoto ambao wazazi wametalakiana kwa upumbavu wa shemeji unafikiri wao hawana haki ya kuishi na wazazi wao wawili,tufikiri kabla hatujatenda na tuachane na mambo ya watu hata kama ni kakako au dadako hayatuhusu.
Mie najiweka pembeni kabisa, kweli umekosa lakini huyo shemeji yako nae mmmhhh ana kiherehere kwani dada yake hayajui hayo siku zote?? Hata kama umekosa angekufata akwambie nyie wote wanaume manatakiwa kuzungumza kiume sasa yeye mbio kwa dada YATAMSHINDA na huo ni umbea hata kama anasema kweli inahuuuuu????? Mambo ya ndoa za watu waachie wenyewe kha???? Dume zima mdomo waaa hana haya huyo mtoto wa mama nini??? Mwanaume anakuwa hana siri hata kama ni mbaya kiasi gani???
Habari zenu wanajamvi natumaini ni wazima wa afya. Jamani leo yamenikuta mwenzenu nikiwa namuaga kwa d*nda zito My nyumba ndogo wangu shemeji yangu wa kiume akaniona na kuniambia ya kuwa sio vizuri ninachokifanya na kuondoka zake na kwenda kumuambia dada yake ya kuwa ameniona,bac kidume kufika nyumbani nikakutana na kesi,mie nikakataa kuwa hakuniona na wala cna demu nje,ikabidi aitwe na kuulizwa anakubali kaniona na mie nakataa ya kuwa hakuniona na wala ckufanya hiyo kitu,mpaka sasa sijalala napigiwa kelele natishwa,nafinywa,napigwa na mito yaani vurugu humu ndani amani ishaanza kutoweka na My wife wangu kawa mkali ajabu. Je? Nimfanyeje shemeji yangu huyu.
Saa nyingine una akili wewe ndo maana nakupenda
Habari zenu wanajamvi natumaini ni wazima wa afya. Jamani leo yamenikuta mwenzenu nikiwa namuaga kwa d*nda zito My nyumba ndogo wangu shemeji yangu wa kiume akaniona na kuniambia ya kuwa sio vizuri ninachokifanya na kuondoka zake na kwenda kumuambia dada yake ya kuwa ameniona,bac kidume kufika nyumbani nikakutana na kesi,mie nikakataa kuwa hakuniona na wala cna demu nje,ikabidi aitwe na kuulizwa anakubali kaniona na mie nakataa ya kuwa hakuniona na wala ckufanya hiyo kitu,mpaka sasa sijalala napigiwa kelele natishwa,nafinywa,napigwa na mito yaani vurugu humu ndani amani ishaanza kutoweka na My wife wangu kawa mkali ajabu. Je? Nimfanyeje shemeji yangu huyu.
Dah, wanaume??????
Sina hata cha kushauri manake mi naona umekosa, wakati wewe huoni kama umekosea!!!!!
Kuna saa huwa nkuzimikia sana kwa huo ushauri! Mwanaume ukiona mnakaa pembeni mnaongea! Sasa huyu dada yake akiachika atmlaumu nani maana kelele zikizidi sana maamuzi yanaweza yakawa ya ghafla. Hata mtoto wa kiume akimwona babaye huwa anamezea kiana ingawa hawezi kumwambia dingi ACHA hizo mzee!
Hapo wewe ndio mwenye kosa achana na nyumba ndogo!
Dah huu ushauri haujatulia, sasa kama sio mtu wa kujiexpress inakuwaje?mpe tigo alafu muombe abadilishe msimamo!hahahaha
Ahahahahaaah!!! Kumbe nyumba ndogo zina umuhimu hivi!Hapana bana asiache,
Nyumba ndogo zinaishepu nyumba kubwa kule kwenye nyumba ndogo unapata starter kwenye nyumba kubwa unakata kiu.
Dah huu ushauri haujatulia, sasa kama sio mtu wa kujiexpress inakuwaje?
Ahahahahaaah!!! Kumbe nyumba ndogo zina umuhimu hivi!