Nimfanye nn shemeji yangu huyu?

Nimfanye nn shemeji yangu huyu?

Habari zenu wanajamvi natumaini ni wazima wa afya. Jamani leo yamenikuta mwenzenu nikiwa namuaga kwa d*nda zito My nyumba ndogo wangu shemeji yangu wa kiume akaniona na kuniambia ya kuwa sio vizuri ninachokifanya na kuondoka zake na kwenda kumuambia dada yake ya kuwa ameniona,bac kidume kufika nyumbani nikakutana na kesi,mie nikakataa kuwa hakuniona na wala cna demu nje,ikabidi aitwe na kuulizwa anakubali kaniona na mie nakataa ya kuwa hakuniona na wala ckufanya hiyo kitu,mpaka sasa sijalala napigiwa kelele natishwa,nafinywa,napigwa na mito yaani vurugu humu ndani amani ishaanza kutoweka na My wife wangu kawa mkali ajabu. Je? Nimfanyeje shemeji yangu huyu.

Mpige denda naye pia!
 
wewe unaona tatizo ngoma tu ambayo hata ukipata haufi kesho,na hizo hosp bills uliambiwa ukiwa na ukimwi peke yake ndio utapaswa kuzilipa,vipi kuhusu malezi ya watoto ambao wazazi wametalakiana kwa upumbavu wa shemeji unafikiri wao hawana haki ya kuishi na wazazi wao wawili,tufikiri kabla hatujatenda na tuachane na mambo ya watu hata kama ni kakako au dadako hayatuhusu.

Saa nyingine una akili wewe ndo maana nakupenda
 
Mie najiweka pembeni kabisa, kweli umekosa lakini huyo shemeji yako nae mmmhhh ana kiherehere kwani dada yake hayajui hayo siku zote?? Hata kama umekosa angekufata akwambie nyie wote wanaume manatakiwa kuzungumza kiume sasa yeye mbio kwa dada YATAMSHINDA na huo ni umbea hata kama anasema kweli inahuuuuu????? Mambo ya ndoa za watu waachie wenyewe kha???? Dume zima mdomo waaa hana haya huyo mtoto wa mama nini??? Mwanaume anakuwa hana siri hata kama ni mbaya kiasi gani???

Kuna saa huwa nkuzimikia sana kwa huo ushauri! Mwanaume ukiona mnakaa pembeni mnaongea! Sasa huyu dada yake akiachika atmlaumu nani maana kelele zikizidi sana maamuzi yanaweza yakawa ya ghafla. Hata mtoto wa kiume akimwona babaye huwa anamezea kiana ingawa hawezi kumwambia dingi ACHA hizo mzee!
 
Habari zenu wanajamvi natumaini ni wazima wa afya. Jamani leo yamenikuta mwenzenu nikiwa namuaga kwa d*nda zito My nyumba ndogo wangu shemeji yangu wa kiume akaniona na kuniambia ya kuwa sio vizuri ninachokifanya na kuondoka zake na kwenda kumuambia dada yake ya kuwa ameniona,bac kidume kufika nyumbani nikakutana na kesi,mie nikakataa kuwa hakuniona na wala cna demu nje,ikabidi aitwe na kuulizwa anakubali kaniona na mie nakataa ya kuwa hakuniona na wala ckufanya hiyo kitu,mpaka sasa sijalala napigiwa kelele natishwa,nafinywa,napigwa na mito yaani vurugu humu ndani amani ishaanza kutoweka na My wife wangu kawa mkali ajabu. Je? Nimfanyeje shemeji yangu huyu.

there is nothing you can do zaidi ya kumvuta chamber siku moja na kumwambia hivi vitu vipo tu, halafu mtoto wa kiume kama yeye huo ni umbea ambao unaweza kumdhuru hata huyo dada yake

ila mkuu ukishakubali kuoa stick with what u have!! hizo nyumba ndogo achana nazo man hamna kipya huko nje unakoenda
 
Habari zenu wanajamvi natumaini ni wazima wa afya. Jamani leo yamenikuta mwenzenu nikiwa namuaga kwa d*nda zito My nyumba ndogo wangu shemeji yangu wa kiume akaniona na kuniambia ya kuwa sio vizuri ninachokifanya na kuondoka zake na kwenda kumuambia dada yake ya kuwa ameniona,bac kidume kufika nyumbani nikakutana na kesi,mie nikakataa kuwa hakuniona na wala cna demu nje,ikabidi aitwe na kuulizwa anakubali kaniona na mie nakataa ya kuwa hakuniona na wala ckufanya hiyo kitu,mpaka sasa sijalala napigiwa kelele natishwa,nafinywa,napigwa na mito yaani vurugu humu ndani amani ishaanza kutoweka na My wife wangu kawa mkali ajabu. Je? Nimfanyeje shemeji yangu huyu.

Yaani umeoa dada ake na huyo shemeji nae anakaa kwako unamlisha, analala anaamuka anakula ugali wako.

Basi na yeye umuoe kwa nini anakuwa na wivu?

Kama vp mtimue hapo si kwako, mfulumishe na umwambie kabisa mkeo kuwa huyu shemeji ni tatizo.
 
Kuna saa huwa nkuzimikia sana kwa huo ushauri! Mwanaume ukiona mnakaa pembeni mnaongea! Sasa huyu dada yake akiachika atmlaumu nani maana kelele zikizidi sana maamuzi yanaweza yakawa ya ghafla. Hata mtoto wa kiume akimwona babaye huwa anamezea kiana ingawa hawezi kumwambia dingi ACHA hizo mzee!

Ha ha ha ha umenifanya nicheke kwa nguvu hapo red kumbe saa nyingine huwa naharibu sasa uwe unani PM nikiharibu basi sio useme hadharani bana
 
Hivi unaona ni sifa na haki yako kuwa na nyumba ndogo?

Ningekuwa mke wako ungeshahesabu huna mke.
 
Hapo wewe ndio mwenye kosa achana na nyumba ndogo!
 
Hapo wewe ndio mwenye kosa achana na nyumba ndogo!

Hapana bana asiache,

Nyumba ndogo zinaishepu nyumba kubwa kule kwenye nyumba ndogo unapata starter kwenye nyumba kubwa unakata kiu.
 
Hapana bana asiache,

Nyumba ndogo zinaishepu nyumba kubwa kule kwenye nyumba ndogo unapata starter kwenye nyumba kubwa unakata kiu.
Ahahahahaaah!!! Kumbe nyumba ndogo zina umuhimu hivi!
 
Dah huu ushauri haujatulia, sasa kama sio mtu wa kujiexpress inakuwaje?

unasahau rais wako alisema ukitaka kula sharti uliwe? sasa yeye si kaenda kula nje. akubali na yeye aliwe...hehehe! Yeye anategemea nini tena? yani anataka tumpe ushauri wa kudanganya au nini? sometimes nashindwa kuelewa watu!
 
Shemeji alifanya makosa kwenda kumweleza dadake japokuwa inauma kuona tukio kama hilo
alipaswa kumshirikisha huyo bwana na kumshauri kubadili tabia
we mwanaume umeoa unafanya mambo kama hayo hadaharani kwa kumtambia nani
zaidi ya kujidhalilisha
kaa chini tafakari kwa makini utambue kosa lako
itakuwa rahisi kuelewa namna ya kumwomba mkeo msamaha
usipotambua kosa lako itakuwa vigumu kuomba msamaha
Ulimchagua kuwa mkeo mwenyewe ukasema huyu ndie ninaye mpenda mpe heshima yake
 
kaka umelikoroga damu ni nzito kuliko maji cha msingi hapa kubali yaishe,mwite shemeji yako kwanza umuombe yeye msamaha,na kumuomba muongozane mpaka kwa dada yake,akusaidie kumuomba dada msamaha maana inavyo onyesha bado hujakubali kosa wakati ni kweli umelitenda,mwisho achana na hiyo nyumba ndogo itakuvurugia familia,na hili la nyumba ndogo ndilo linalo sababisha wababa wengi tushindwe kuwajibika kwa watoto wetu,tunasaulika kama tupo mfono kili award kila msanii na mshukuru mama! ina maana wamezaliwa na mama tu?
 
Back
Top Bottom