Maalim Jumar
JF-Expert Member
- Dec 28, 2010
- 1,259
- 118
Ndugu zangu members wa JF!
Hili nimefikishiwa ni tatizo lake huyo X...jamaa anahitaji msaada...ameenda kwa wataalam...wengi kati yao wakamwambia ati ana Jinn mahaba.
Nilimkatalia kwa uelewa wangu.
Sasa amesema kwa huyo anaempenda lakin hapendwi..ati yupo radhi akikubaliwa kwa gharama yeyote atatoa...maana jamaa anajiweza kipesa..ni mtu anae jituma katika mihangaiko ya kupata mkate wake..na huduma muhimu hapa jijini.
Itakua ana tatizo gani?
Tumsaidieje?
Naamini hili tatizo mijini hua ni kubwa kuliko vijijini.
Nimemuwakilisha....karibuni wakuu!
Hili nimefikishiwa ni tatizo lake huyo X...jamaa anahitaji msaada...ameenda kwa wataalam...wengi kati yao wakamwambia ati ana Jinn mahaba.
Nilimkatalia kwa uelewa wangu.
Sasa amesema kwa huyo anaempenda lakin hapendwi..ati yupo radhi akikubaliwa kwa gharama yeyote atatoa...maana jamaa anajiweza kipesa..ni mtu anae jituma katika mihangaiko ya kupata mkate wake..na huduma muhimu hapa jijini.
Itakua ana tatizo gani?
Tumsaidieje?
Naamini hili tatizo mijini hua ni kubwa kuliko vijijini.
Nimemuwakilisha....karibuni wakuu!