DJ SEPETU
JF-Expert Member
- Apr 17, 2017
- 8,413
- 12,336
Wasalaamu!
Nina wachumba wanne tofauti Na nipo katika hatua za mwishoni kufunga ndoa January.
Sasa Nina wachumba wanne ambao wote waliomba niwaone nami nikawaahidi kuwaoa!
Lengo ninaogopa kukosea sana maana sitaki kuoa Na kuacha!
Wanawake wenyewe Na sifa zao ni hizi nisaidieni kubaini mke mwema!
Wa kwanza!
Ni mtoto Wa kinyarwanda miaka 20.
Ana umbile namba 8,elimu cheti cha maendeleo ya jamii.mpole ila hapendi utani utani,in short very serious!
Anapenda dini ila ana amri amri tu,hupenda kwenda kanisani tu ambako ni mwana kwaya,ananishauri niache u DJ eti sio kazi! Nitafute kazi.
Wa pili ni mwarabu nusu mixture,ana bonge la shepu,chura ya kufa mtu,ila anapenda chapaa sana,yani akija ghetto lazima aondoke Na misimbazi!
Nilimbikiri mm mwenyewe akiwa Na miaka 18,anasema ataniroga ikiwa nitaoa mwingine!
Pia huniagiza vitu vidogo vidogo sokoni naona kero!
Wa tatu ni dada mmoja mnyaturu Wa singida nilizaa nae mtoto nikiwa chuo!
Huyu niliwahi kudaka mawasiliano yenye utata ktk simu yake nikapiga chini ila mtoto namuhudumia 100%.
Yeye ni nesi.
Wa NNE ni single mother, ana miaka 25 nilikutana naye club ana degree Na anafanya kazi NSSF,ametokea kunipenda sana Na nikimwambia naona mwingine anaweza akazimia!
Ushauri wakuu.
Nina wachumba wanne tofauti Na nipo katika hatua za mwishoni kufunga ndoa January.
Sasa Nina wachumba wanne ambao wote waliomba niwaone nami nikawaahidi kuwaoa!
Lengo ninaogopa kukosea sana maana sitaki kuoa Na kuacha!
Wanawake wenyewe Na sifa zao ni hizi nisaidieni kubaini mke mwema!
Wa kwanza!
Ni mtoto Wa kinyarwanda miaka 20.
Ana umbile namba 8,elimu cheti cha maendeleo ya jamii.mpole ila hapendi utani utani,in short very serious!
Anapenda dini ila ana amri amri tu,hupenda kwenda kanisani tu ambako ni mwana kwaya,ananishauri niache u DJ eti sio kazi! Nitafute kazi.
Wa pili ni mwarabu nusu mixture,ana bonge la shepu,chura ya kufa mtu,ila anapenda chapaa sana,yani akija ghetto lazima aondoke Na misimbazi!
Nilimbikiri mm mwenyewe akiwa Na miaka 18,anasema ataniroga ikiwa nitaoa mwingine!
Pia huniagiza vitu vidogo vidogo sokoni naona kero!
Wa tatu ni dada mmoja mnyaturu Wa singida nilizaa nae mtoto nikiwa chuo!
Huyu niliwahi kudaka mawasiliano yenye utata ktk simu yake nikapiga chini ila mtoto namuhudumia 100%.
Yeye ni nesi.
Wa NNE ni single mother, ana miaka 25 nilikutana naye club ana degree Na anafanya kazi NSSF,ametokea kunipenda sana Na nikimwambia naona mwingine anaweza akazimia!
Ushauri wakuu.