Kijana Msomali
Member
- May 10, 2012
- 92
- 71
Asha, Mariam na Jenny ni wadada hapa kazini maeneo flani katikati ya Jiji hili la karaha (Bongo Dar-Es-Salaam).
Asha yuko risk management department,Mariam yupo Operations na Jenny nipo nae Credit Department. Hao mabinti kila mmoja ana sifa za kipekee.
SIFA KUU ZA ASHA
1.Ana Miaka 21 - Binti Kigoli
2.Urefu Wake ni about 5'6
3.Ni Slim But Mgongo umetanuka kwa uzuri kabisa. You know What I Mean..lolz
4.Kabila lake ni Mmachame - Kitu Cheupee
5.Mpole ila anaonekana ana wivu sana - B'Coz Akiniona na Chat Na Maduu Wengine Kwa Canteen Huwa Ananipotezea
SIFAA KUU ZA MARIAM
1.Ana Miaka 24
2.Urefu Wake ni about 5'4
3.Sio Mnene Sio Mwembamba - Size Ya Kati
4.Ana Miguu mizuri
5.Ana Hips Za Ukweli - Akivaa Jeans ziko za Friday - Watu Mate Huwatoka Tiririi
6.Ni Muongeaji Sana - Nikiwa Nae I Dont Feel Bored
7.Kabila Lake Ni Mpemba - Lafudhi na Sauti Yake Ya Kubana Huwa Inaniachaga Hoi!!
SIFA KUU ZA JENNY
1.Umri wake ni Miaka 27
2.Rangi yake ni maji ya kunde -
3.Kitu kimeenda hewani about 5'9 akivaa heels huwa tunalingana - am about 6'2
4.Ana Usafiri Binafsi - So Huwa Hanisumbui Sumbui Na Lifti Kama Asha
5.Ana umbo lenye mvuto - Yaani hata kuelezea inakua shida.
6.Anapenda Starehe Sana - Kila WeekEnd Anataka Tutoke At My Own Money (Kwake Cost-Sharing Ni Issue) - Sometimes Huwa Nadanganya Naumwa ama Niko Shamba
So, wadau wa MMU msaada jamani nimpende nani?