SweetyCandy
JF-Expert Member
- Sep 17, 2022
- 3,109
- 6,323
- Thread starter
- #121
NAni amewahi nipenda mieUkipendwa pendeka 😉 😎
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NAni amewahi nipenda mieUkipendwa pendeka 😉 😎
Mtoto wa mufti na kulewa wapi na wapi!?🤣🤣🤣Sijalewa Bado hapo
Ndo nipo chupa ya kwanza
Sina mie geresa hadi nimpendaye kaniita geresa siwezi kutambulishwa ukweniPole sana, una godoro?
Hiyo ya juuKichwa ipi hiyo,? Kua specific kichwa ipi hiyo, maana kichwa zangu zote mbili ni kubwa
WEwe ndio michulawa ??Mh ila wewe ase
HapanaWEwe ndio michulawa ??
Si tulikubaliana kuwa lamomy ni komando madafu anaeuza juisi ya miwa pale ubungo? Kidume hicho oh! We Kalaga baho weMm niko na babe wangu Lamomy
Sheikh anaandikaga tu humu mambo ya -OH lakini sidhani kama anaonjaMtoto wa mufti na kulewa wapi na wapi!?
Mpaji Mungu ashatuharibia ustadhat wetu.😭😭😭
Mambo mazuri hayataki haraka sheikh wangu😂😂😂
Mpaji Mungu unapishana na mishahara ya TANAPA, BOT, TRA huku
Pisi kali yule, sijaona hapa JFSi tulikubaliana kuwa lamomy ni komando madafu anaeuza juisi ya miwa pale ubungo? Kidume hicho oh! We Kalaga baho we
Uwe unanitag mapema umenistua mida ya denja shanyoosha fito kurudi homeUnapishana na gari ya mshahara 🤣🤣🤣🤣
si nimalize kwanza kuvuna mazao ya shamba, pamoja na majani kwaajili ya mang'ombe kwanza,
Mm mpaka nimeiscreen save! Mana duh! Bonge ya toto tlatlah kasahau mpka kilichomleta mjini.Pisi kali yule, sijaona hapa JF
Nasikia umekimbia jiji letu mkuusi nimalize kwanza kuvuna mazao ya shamba, pamoja na majani kwaajili ya mang'ombe kwanza,
na kisha niwapange vizuri hawa wananchi jimboni kwaajili uchaguzi halafu sasa ndio niangalie hiyo maneno baadae🐒
Aisee hilo dili lingekuja kwangu ningekodi hata boda na angeenda kulipiaMambo mazuri hayataki haraka sheikh wangu
Mkongwe unakosa utu na utulivuAisee hilo dili lingekuja kwangu ningekodi hata boda na angeenda kulipia
😉😉😉
Pole sana...Sina mie geresa hadi nimpendaye kaniita geresa siwezi kutambulishwa ukweni