NIMR na Wizara ya Afya mmeshindwa kabisa kufanya tafiti na kupata tiba sahihi ya tatizo la macho kuvimba na kuwa mekundu?

NIMR na Wizara ya Afya mmeshindwa kabisa kufanya tafiti na kupata tiba sahihi ya tatizo la macho kuvimba na kuwa mekundu?

kichongeochuma

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2024
Posts
1,669
Reaction score
2,864
Kuna haja gani ya kuwa na Wizara ambayo heileti solution? Kama hadi sasa hakuna muongozo wa Wizara kuhusiana na tatizo hili, matokeo yake watu wanajipaka tuu madude yasiyoeleweka na kupelekea wengine kupata upofu.

Hata ukienda hospitali wanakwambia hatuna maelekezo hivyo mkanawe tuu!

Hii ni fedheha, maana ni zaidi ya miezi minne sasa tangu shida hii ianze kwa Watanzania.
 
NIMRI toka kipindi cha Corona watunyweshe juice ya pilipili,tangawizi na vitunguu tuunguze koo,siwaelewi kabisa hadi leo.
Wanakula kodi zetu bure!
 
tupo site tupo site kuwa mtulivu.

ndo tunamalizia hapa soon.
 
Kuna haja gani ya kuwa na Wizara ambayo heileti solution? Kama hadi sasa hakuna muongozo wa Wizara kuhusiana na tatizo hili, matokeo yake watu wanajipaka tuu madude yasiyoeleweka na kupelekea wengine kupata upofu.

Hata ukienda hospitali wanakwambia hatuna maelekezo hivyo mkanawe tuu!

Hii ni fedheha, maana ni zaidi ya miezi minne sasa tangu shida hii ianze kwa Watanzania.
Duh 🙄 !!
Wengine wanakula Bata tu !
 
Back
Top Bottom