NIMR ni kimeo, haina faida kwa nchi, ifutwe tu

NIMR ni kimeo, haina faida kwa nchi, ifutwe tu

... wanapewa grants na mabeberu halafu wanaelekezwa maeneo ya kufanya tafiti based on beberu's interests! Tunapigana vita vikali sana, sio vya kiuchumi tu Mkuu.
hamna kitu kama hiko. research huwa inaanzishwa na taasis yenyewe. halaf wanatafuta wadau wa ku support.
wale ni support tu, sio ku control nn wafanye.

Ni taasis yenyewe haiko vizuri ndio maana.
 
Mkuu kwemaaa?, una ushahidi na ubachokisema? NIMR kwa upande Wa suala ka kutokomeza malaria nchini naona kama wsmejitahidi sana,ni asilimia ndogo imebaki.
Hakuna ilichofanya NIMR kwenye eneo hilo zaidi ya kudesa kazi zinazofanywa na mpango wa malaria ambao uko wizara ya afya.
Kazi ya kuzuia malaria hata sisi lay people tunajua cha kufanya: kutumia chandarua, kupuliza dawa ya mbu ndani, kufukia madimbwi yote na kupuliza dawa za kuua viluwiluwi.

Tunawaona watu wanaopita mitaani kwetu kupuliza dawa, na wala siyo wa NIMR. Nimeenda Zanzibar mara kadhaa nao wanasema malaria kule ishatokomezwa, na wala siyo kwa juhudi za NIMR, ni wataalamu wa afya wengine tu.
 
Upo sahihi, hicho kijiji sio mbali na kijijini chimbuka la kwetu. Nimelipenda jina kutokana na maana yake zaidi kuliko sehemu husika. Mimi humu mostly ni Mtega matwi tu.
Hahahaha, kwahiyo Itegamatwi ni nyumbani kwenu?
 
Umesimuliwa ukakimbilia kuja kubandika bango humo kana kwamba una akili sana kumbe bure tu.

Kama huna uwezo wa kujua taaluma halisi za watu ni ngumu sana kwa ninyi wanasiasa uchwara kuelewa nini maana ya usalama wa nchi na raia wake. Ninaweza kuwa nataaluma yangu halisi lakini ili niweze kuingia mahali fulani ninasomea taaluma nyingine wezeshi kuingia ndicho kilichopo lakini wewe unatupigia kelele kama mtoto mdogo aliyezaliwa leo ambaye ni sharti aliye kuthibitisha ni mzima na ana afya ya kuhisi mazingira yanayomzunguka kwa muda huo sio rafiki.

Rekebisha tabia hiyo kubagaza wanataaluma. Kama ulisomea HGL, HGK, HGE nk lakini hukujiongeza kusomea vitu vingine usiwaonee nongwa wenzio.
Hapo ndio umeandika nini?

Kwahiyo wewe ni miongoni mwa wale wasiokuwa na taaluma ya tiba mliojazana NIMR na kuigeuza kuwa genge la wadesaji na wapiga dili? Kafanye kazi ya taaluma yako kama tunavyofanya sisi wengine, utaheshimika. Hebu ona mlivyodharaulisha NIMR sasa imekuwa kikosi cha wachekeshaji wanaowaambia watu kuwa juice ya tangawizi na pilipili kichaa inatibu corona!

Wewe uliyejiongeza na kuvamia ajira za kudandia huko NIMR umechangia nini kwenye medical research? Wewe ni "research scientist" wa kitu gani, una taaluma gani?

Wataalam wa Muhimbili, Jakaya Kikwete, MOI na ile hospitali ya Dodoma ya Benjamin Mkapa wanafanya operesheni kubwakubwa za moyo na figo, na sasa wamechangia kupunguza idadi ya wagonjwa wanaopelekwa nje kwa shida hizo. Wewe huko NIMR na sociology yako uliyojiongeza umechangia nini zaidi ya ufujaji tu wa fedha za umma kwenye tafiti zisizokuwa na tija? Medical Research gani mlizofanya, hebu orodhesha hapa na faida zake kwa nchi.
 
Umesimuliwa ukakimbilia kuja kubandika bango humo kana kwamba una akili sana kumbe bure tu.

Kama huna uwezo wa kujua taaluma halisi za watu ni ngumu sana kwa ninyi wanasiasa uchwara kuelewa nini maana ya usalama wa nchi na raia wake. Ninaweza kuwa nataaluma yangu halisi lakini ili niweze kuingia mahali fulani ninasomea taaluma nyingine wezeshi kuingia ndicho kilichopo lakini wewe unatupigia kelele kama mtoto mdogo aliyezaliwa leo ambaye ni sharti aliye kuthibitisha ni mzima na ana afya ya kuhisi mazingira yanayomzunguka kwa muda huo sio rafiki.

Rekebisha tabia hiyo kubagaza wanataaluma. Kama ulisomea HGL, HGK, HGE nk lakini hukujiongeza kusomea vitu vingine usiwaonee nongwa wenzio.
Mkuu uko NIMR kwa mgongo wa history?

Povu kama hili ni rare kuliona kwa professionals.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
Duh!!.Kchumbari[emoji23]
Ahsante,tunashukuru kwa matusi yako[emoji23]

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mtanzania nwenzetu kavurugwa huyo
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mtanzania nwenzetu kavurugwa huyo
Sasa ile siyo kachumbari halafu inauzwa 15k.

Huu wizi wakitaasisi
 
Kwanza head of institute ni marine biologist anafanya nn pale juu?
Mtu wa marine inamuweka kwenye health? seriously.
Hata urais wa taifa letu unatakiwa kusomea siasa kivukoni kwanza taaluma yako haitakiwa kwenye urais taaluma zetu hazielekezwi kwenye kazi husika.
 
Uongozi wa kisiasa hausomewi mkuu
Kama taifa tunaweza kutengeneza hili la sivyo tutaendea kuboronga tujenge tabia ya kutulia katika fani zetu tutakapotulia katika fani hapa ndipo tutapata akina da vinci wapya na wagunduzi wapya
 
Kama taifa tunaweza kutengeneza hili la sivyo tutaendea kuboronga tujenge tabia ya kutulia katika fani zetu tutakapotulia katika fani hapa ndipo tutapata akina da vinci wapya na wagunduzi wapya
Uongozi ni kipaji siyo taaluma
 
Ifutwe na kazi zake tukupe wewe na familia yako?
Ukiona hivyo ujue jamaa wanafanya kazi nzuri.
 
Back
Top Bottom