NIMR ni kimeo, haina faida kwa nchi, ifutwe tu

NIMR ni kimeo, haina faida kwa nchi, ifutwe tu

Wapi au posti namba ngapi nimesema hakuna mtu ambaye hajasomea mambo ya afya anaweza kufanyakazi muhimbili ?
Usijipe umuhimu na kukimbilia kujitangazia ushindi kama Trump wakati mchakato bado.

Ahahaaa, huna hoja yoyote ya maana zaidi ya kupoteza muda, post number #91



Muhimbili unaweza kuruhusiwa kutembelea ndugu zako maabara kisa eti "sio kwa ubaya" kwani hakuna sehemu za public? Hivyo ndivyo utaratibu ulivyo katika hospital hiyo na wanaohudimwa hapo wanaweza kujisikia salama kama wakijua kuna watu baki tu wazururaji wasiohusika na chochote wanaranda randa hadi kwenye sehemu nyeti kama maabara zinazochakata sampuli zao na pharmacy zinazotoa dawa zao?
Ndio maana nikakwambia wewe huna hulijualo, Mimi nilikuwa mradi wa Ukimwi wa Mkapa, nilienda pale Muhimbili Official kikazi, sio kutembelea ndugu dogo, soma uelewe.

Yaani kubishana na wewe ni kupoteza muda na energy buree. Jifunze Kujifunza ndipo Utajua kuwa Hujui.

Adios Amigos!
 
NIMR wanafanya kazi nzuri ila kwasababu vitu wanavyofanya siyo vya level yako ya intelligence unahisi hawafanyi kitu. Research inasaidia kusuluhisha matatizo na kuleta ugunduzi. Hapa issue ni visibility, wanapaswa kuuambia umma mafanikio yao. Nina question uwezo wako wa akili,huwezi kushawishi taasisi ya utafiti ifutwe, kama ni performance wawekewe malengo na wayatimize. Unashawishi taasisi ya utafiti ifutwe ili tuanzishe taasisi ya kukuza utamaduni na kulinda historia? Leo kwa mara ya kwanza nimesoma upumbavu mwingi sana ukiwa sehemu moja.
 
Tatizo ambalo lipo kwenye taasisi zetu za utafiti ni low funding, serikali inatakiwa itoe 6% ya GDP iende kwenye utafiti, badala yake pesa kibao wanapewa viongozi wa kisiasa na kiserikali kama posho, gari, marupurupu, mishahara mfano wale wagonga meza. Badala yake watafiti wanabaki wakiwa hawana la kufanya hata kama ana kitu cha kufanyia utafiti, anakaa ofisini na kupiga miayo. Kwenye nchi zilizoendelea mbali na serikali sekta binafsi inajihusisha na ku-fund research ambazo zitawasaidia kupata products, mfano kwenye upande wa sekta ya afya, madawa, chanjo na vifaa tiba. Mfano, kampuni la madawa linaweza kutoa hadi billions of money kwenye taasisi ya utafiti, mfano chuo kikuu kwa ajili ya kupata aina mpya ya dawa, chanjo au technology ambayo watapata hati miliki na kuuza kwa faida kubwa....
 
Hiyo number 3. Usipuuze mkuu, wanaweza kuwa kitengo maalum TISS, hawa jamaa kila mahali wanaingia hata kama wamesomea linguistic!
hii ndio shida ya mataifa yaliyochagua kufata sera za ujamaa. kujaza mashushu kila kona ili wapeleke umbeya kwa watawala.

sasa hao TISS waliosomea linguistic hapo ofisi za nimr wanafanya kazi gani kama sio uchawa na kuwabughudhi watafati wa masuala ya medical research?.

ni upuuzi mtupu
 
hapa tunaaminishwa eti hii ni vita ya kiuchumi hlf hakuna kinachofanyika huku madaktari, wauguzi na manesi wako ktk hali tete uko mahospitalini maana wao kukutana na bacteria na mavirus ndo sehem ya kaz yao.

tuache siasa iletwe chanjo wapewe hawa kwanza kabla hawajapukutika.
 
Tatzo la NIMR ni kutokukubali kuendana na wakati yani kwenye upigaji ndo wako vizuri hasa kwenya uendeshaji wa miradi ya malaria, kichocho, na matende hapo huwa ni kula hela tu, ila kwenye tafti ni blaa blaa tu
 
Mkuu wapo, lakini tiss ni kama kiraka, anaingia popote wakati wowote, labda kama hujui utendaji wao,

Hawa jamaa sio lazima upelekwe mahali kwa professional yako, nope!

Mimi kuna jamaa namfahamu kasomea mifugo lakini mara namkuta bandari, mara namkuta mahotel makubwa as worker, mara namkuta pale JNIA, mara namkuta NEC, mara namkuta NIDA, juzi nimechoka nilimkuta muhimbili, sasa jiulize ana professionals zote hizo mkuu?!
Ndio maana walitumia kipimo cha corona kupima oil chafu ya gari, mapapai na mengineyo.
 
Nakumbuka mwaka flani tuliwapa NIMR pesa ili wakatafiti cases za cholera mtaani. It was more of an assessment na sio “research” as such. Professor ndio alitaka kulead hiyo assessment

Hii ndio NIMR yetu.
 
Hii hapa posti namba 91 yote "Kwenye sehemu nyeti kama hospitali hata wasemaji na watu idara ya mawasiliano lazima wawe background ya masuala ya afya ya binadamu, kama haiko hivyo Muhimbili hili ni tatizo, sasa mtu wako wa mifugo ambaye hajasoma hata PR atafanya kazi gani Muhimbili kama cover yake? halafu bank teller sio kazi professional, hata kidato cha nne anaweza kuwa bank teller. Unachojaribu ni kurukia na kuunganisha hoja zisizo na mashiko tu"

Sasa ni wapi katika hiyo posti inasema watu wote wanaofanya kazi hospitali lazima wawe madaktari au wamesomea mambo ya afya.
Hukuelewa kwamba hiyo posta ilikuwa inazungumzia watu wa idara ya mawasiliano?
Mpaka leo hufahamu kuna kazi ili uwe msemaji wake lazima uwe na uzoefu wa hizo kazi au unafikiri kila aliyesomea PR anaweza kuwa msemaji popote? Najadiliana na mlevi wa gongo au mtu mwenye uwelewa angalau wa mambo basic! Unakatisha tamaa sana na aina yako ya ufikiri na kuunganisha mambo.
Ahahaaa, huna hoja yoyote ya maana zaidi ya kupoteza muda, post number #91




Ndio maana nikakwambia wewe huna hulijualo, Mimi nilikuwa mradi wa Ukimwi wa Mkapa, nilienda pale Muhimbili Official kikazi, sio kutembelea ndugu dogo, soma uelewe.

Yaani kubishana na wewe ni kupoteza muda na energy buree. Jifunze Kujifunza ndipo Utajua kuwa Hujui.

Adios Amigos!
 
Nakumbuka mwaka flani tuliwapa NIMR pesa ili wakatafiti cases za cholera mtaani. It was more of an assessment na sio “research” as such. Professor ndio alitaka kulead hiyo assessment

Hii ndio NIMR yetu.
Unategemea nini kwa sociologist .. tena wakipata Phd wanataka waitwe Dr..... Imefika kipindi hiki taasisi waajiri na madaktari... Zamani MDs walikuwa wanawapiga vita ... Sijui sasa hivi pakoje pale
 
Wapi au posti namba ngapi nimesema hakuna mtu ambaye hajasomea mambo ya afya anaweza kufanyakazi muhimbili ?
Usijipe umuhimu na kukimbilia kujitangazia ushindi kama Trump wakati mchakato bado.

Muhimbili unaweza kuruhusiwa kutembelea ndugu zako maabara kisa eti "sio kwa ubaya" kwani hakuna sehemu za public? Hivyo ndivyo utaratibu ulivyo katika hospital hiyo na wanaohudimwa hapo wanaweza kujisikia salama kama wakijua kuna watu baki tu wazururaji wasiohusika na chochote wanaranda randa hadi kwenye sehemu nyeti kama maabara zinazochakata sampuli zao na pharmacy zinazotoa dawa zao?
Dogo ebu kua basi..we unadhani wanao lipa mshahara pale muhimbili ni madaktari..wanao endesha IT ni manesi..kua na akili hizi ni taasisi zinachukua watu wa taaluma mbalimbali ili kuwezesha utoaji wa huduma.

#MaendeleoHayanaChama
 
Hii hapa posti namba 91 yote "Kwenye sehemu nyeti kama hospitali hata wasemaji na watu idara ya mawasiliano lazima wawe background ya masuala ya afya ya binadamu, kama haiko hivyo Muhimbili hili ni tatizo, sasa mtu wako wa mifugo ambaye hajasoma hata PR atafanya kazi gani Muhimbili kama cover yake? halafu bank teller sio kazi professional, hata kidato cha nne anaweza kuwa bank teller. Unachojaribu ni kurukia na kuunganisha hoja zisizo na mashiko tu"

Sasa ni wapi katika hiyo posti inasema watu wote wanaofanya kazi hospitali lazima wawe madaktari au wamesomea mambo ya afya.
Hukuelewa kwamba hiyo posta ilikuwa inazungumzia watu wa idara ya mawasiliano?
Mpaka leo hufahamu kuna kazi ili uwe msemaji wake lazima uwe na uzoefu wa hizo kazi au unafikiri kila aliyesomea PR anaweza kuwa msemaji popote? Najadiliana na mlevi wa gongo au mtu mwenye uwelewa angalau wa mambo basic! Unakatisha tamaa sana na aina yako ya ufikiri na kuunganisha mambo.
Wewe unachosha sana unakiwango kidogo.sana. cha ufikiri sina haja kupoteza energy kubishana na layman, umeeleza.mwenyewe hapo juu kuwa muhimbili kuna watu wenye fani mbalimbali kuanzia IT, Uhasibu nk. Sasa kwa ufahami wako mdogo unadhani wote hao wamesomea medical?! Kuna mpaka madereva kibao kule ndani hawana background yoyote ya medical acha ubishi wakishamba bwana mdogo, sina muda wa kubishana kishamba, wewe muhimbili unapasikia tu radioni , Mimi nimeingia pale nikiwa kama sehemu ya mradi Fulani kwa miaka zaidi ya mitano, so huwezi kunifundisha kitu, huna ujualo, jifunze kukubali kujifunza,na hao tiss unaowasikia kwa watu sisi tuko nao huku na wengine ndugu zetu tunaelewa utendaji wao, hatuadithiwi kama wewe, kuanzia wanaokaa pale kota za nyuma ya ikulu, mpaka kule kwenye kota zao nyingine nyuma ya hospital ya kairuki mission, mikocheni. Achana na wale wapale makumbusho. Kwahiyo usikariri utendaji wao, wanaweza kuingia popote wakati wowote!
 
Dogo ebu kua basi..we unadhani wanao lipa mshahara pale muhimbili ni madaktari..wanao endesha IT ni manesi..kua na akili hizi ni taasisi zinachukua watu wa taaluma mbalimbali ili kuwezesha utoaji wa huduma.

#MaendeleoHayanaChama
Mkuu jiwe angavu huyu jamaa anachosha sana aisee! Sidhani kama hajui hilo, tatizo anapenda ubishani usio na tija.
 
hii ndio shida ya mataifa yaliyochagua kufata sera za ujamaa. kujaza mashushu kila kona ili wapeleke umbeya kwa watawala.

sasa hao TISS waliosomea linguistic hapo ofisi za nimr wanafanya kazi gani kama sio uchawa na kuwabughudhi watafati wa masuala ya medical research?.

ni upuuzi mtupu


Mkuu smarte_r sijasema wale pale NIMR ni mashushushu waliosomea linguistic,

Ukisoma vizuri hoja yangu nimesema, "huenda wakawa kitengo" "may be" "perhaps" ,,, au pia pengine kweli ni "nepotism" tu imetumika kuajiri vimeo, yote mawili yanawezekana.
au labda ni kweli yuko kitengo, lakini ninadoubt angekuwa kitengo mpaka ujue vyeti vyake sio rahisi namna hiyo! Na anaweza akawepo kwakazi nyingine sio lazima iwe ya medical.

So hapo yote mawili yanawezekana mkuu! Sijaondoa uwezekana huo!
 
1. Miaka yote zaidi ya 40 ya uwepo wa NIMR, wameongeza nini katika ufahamu wa mambo ya tiba Tanzania? Ni utafiti gani waliowahi kuufanya ukaleta tija katika kupunguza au kuondoa tatizo lolote la kiafya? Jibu ni zero.

2. Hivi kuna dawa yoyote sokoni (dawa ya maana yenye viwango stahiki, na siyo ile michanganyiko ya pilipili kichaa na tangawizi waliyoiga kutoka kwa waganga wa kienyeji) au vifaatiba hospitalini au maarifa mapya yoyote ya tiba yaliyowahi kugunduliwa na NIMR? Jibu ni hakuna.

3. Nina jamaa zangu nimesoma nao History na English pale Mlimani, eti nao wanafanya kazi NIMR wananiambia wanaitwa "Research Scientist". Hiki ni kituko! Scientist wa history, English, Kiswahili, sociology na Political Science anafanya nini kwenye MEDICAL research? Ingekuwa HEALTH research ningewaelewa kwa kuwa afya ni suala mtambuka lenye mambo ya kisiasa, kiuchumi na kijamii yanayoathiri afya, lakini medical research ni mambo ya maabara, madawa, mawodini huko wanakotibiwa wagonjwa, operations mpya mpya kama hizi za moyo na figo nk. Tunasikia huko Jakaya Kikwete institute, Benjamin Mkapa Hospital na hata MOI wakifanya innovations mpya mpya, lakini mchango wa NIMR kwenye hizi innovations uko wapi?

4. Mkurugenzi wa NIMR ni profesa wa Marine Biology. Hii ndiyo medical research? Hakuna medical researcher nchi hii mwenye sifa ya kuwa mkurugenzi wa NIMR? Sasa marine biologist na medical research wapi na wapi? Ndio chanzo cha kwenda kudesa michanganyiko ya waganga wa kienyeji na kutuambia ni dawa za korona!

5. Kwa ujumla NIMR ni kimeo, haina faida kwa nchi, ifutwe tu.
Evil!!! Malecela team typical hii!! na wenzako wote ndiyo mnao iponda NIMR !!! sababu tu mlitumbuliwa sasa mnachuki na walee walio baki NIMR, mnaanza kuchombeza fitna kwa uongozi wa sirikali ujao!! lengo ni ili wafikirie kuifuta NIMR eti haina faida!!

kumbuka nyie na kundi lenu lile la ulaji ndo mmeifikisha NIMR hapo ilipo mliifanya kuwa Mali yenu binafsi ya kufadisha marafiki na familia zenu mnachaguana! chaguana tu kindugu kirafiki na kulindana kimaslahi!! mliifanya km kijiwe binafsi!

Ulikwa ukiwa na msimamo tofauti tu na huyu mtoto wa Malecela unafutwa kazi! sasa amefukuzwa kitambo ana kinyongo na hii hali anaona km ameonewa kijicho anataka rudi imeshindikana!! wewe na mnao fanana na hao tunawajua vizuri sana hapa NIMR.

Baada ya wana NIMR kuona hamfai kuongoza Organisation hii!! na kuwaambia wazi wazi mkachukukia, baadhi yao mkawapiga chini!! baadae tuliobaki mkaona km tumewachongea kwa Rais, tuna roho mbaya, chuki, hatuwapendi tuna chuki binafsi!!

Kutumbuliwa kwenu ndo sababu za chuki zooote hizi zenye chokochoko mlima!! kuwa NIMR haina maslahi kwa taifa wakati nyie mpo mbona Maneno km haya hayakuwepo haya yoote??? nchi kama Nchi Medical research ni uhai wa taifa!!! chunguza Duniani poote!

Uta chunguza vipi magonjwa na tiba muafaka ya watu wa jamii yako pendwa yaani wananchi bila chombo hiki? pia kumbuka NIMR inaushirika na mashirika mengi ya kimataifa Duniani km CDC tunashirikiana nao kufikia lengo letu la kitabibu !!

kifupi ni uhai wa Dunia, siyo uhai wa Tanzania tu pekeyake!!! Dunia ya leo tunahitajiana mno kitiba, ki afya !! kiuchumi pia Kuliko unavo dhani kibinafsi yako! umeeleza kiwivu wivu sana!! labda ungesema tuifanyie mabadiliko inapo bidi! hapo ningekuelewa!

Ndg Rais utakaekuja na uliepo sasa!! jiulize kwa nini NIMR ipondwe kwa wakati huu wa utumbuaji moto moto na si kabla? hao hao waliokuwa wanaiyumbisha NIMR ndo wanaleta za kuleta sasa , sababu wanaijua mwanzo mwisho! Malecela Group!

NIMR haitafutwa ila tutawafuta watendaji/ wafanyakazi/washirika wasio kuwa na tija, wabovu wavivu, wazembe wasio wabunifu!! wala hatuna mpango wa kujaza tu Medical personel kwenye chombo hiki pendwa hayo siyo malengo ya NIMR!!!

Lengo letu kitaaluma ni sisi kama NIMR watu wenye;

Mtizamo chanya

Nidhamu za kitafiti

Upeo!

Ari!

Uwezo wa kitafiti!

Nia! sababu

capacity

Malengo,
Nidhamu nk kwa ajili ya kufikia malengo yetu muanana ya kitafiti!! hatukurupuki kuajili wafanyakazi wa kufanya tafiti tuliyo yafanya ni mengi sina haja ya kuyaorodhesh hapa! umesema kwa ajili uko full jazba .kisasi mtuache tufanye kazi!

Uhai wa Idara ya Afya ni Muhimu sana kuliko unavodhani, na tuna tabia ya kuwakaribisha Madaktari wote TZ kufanya nao majadiliano ya research za kiafya Mfano EBOLA walikuja Madaktari wote TZ Kina Dr Manyonyi, Dr kingu. Dr Mnzava, Dr Ulusubisya, Dr Liburu, L. Chipata, Dr Liwa na

Wengine weeengi kutoka kila kanda sasa wewe kwa mawazo yako unawaza usawa wa kinywa! na chuki fupi fupi!! utafiti wa afya ni wa kila kada ili mradi tu umeonyesha nia na mwelekeo chanya wa kufikia malengo ya Taifa,

Usitufundishe kazi iliyokushinda!! kaa pembeni!!! daima humu NIMR ni ya wote tuko hivo na tutakuwa hivo, kikubwa zingatia nidhamu zaa kitafiti!! utakaa nasi!! usijaribu kutupangia wala kuingiza siasa za maji taka!

Sisi ni wataalamu!! yes!! tuko hivo kwani nini bana!! hata Rubani. Mwanasiasa!! Mwanga, mwenye maono ya Kitabibu au kiujumla kiafya tunamkaribisha kwa mikono miwili! tunajua tunakokwenda na tunako toka!

Hatuyumbi na kila upepo unao vuma eti kwa sababu tulikufukuza weee!! thubutu!! fikiria mara mbili ndivo tulivo! kazi yetu sisi ni utafiti wa magonjwa ndo tulivo amua! tuna tambaa na ruzuku tofauti na unavo fikiria! chapa kazi acha majungu!!

Tunacho jali ni uwezo wa mtu yeyote, mwenye nia na sababu za kutatua tatizo la kiafya Duniani, kuna mpaka waganga wa kienyeji humu, hata wewe km ukijirekebisha na umekuja na wazo jipya tutakurudisha tena!

Tatizo lenu waswahili mnaendekeza ulaji wa kishamba mnooo!! kisa vijisenti!
NIMR ISIFUTWE KAMWE, ILA IFANYIWE MAREKEBISHO TUUUU!! NARUDIA SIJAKOSEA...........IKITOKEA imefutwa kwa chuki za kisiasa na ujinga wa ki tz KM HUU itakuja kwa umbo lingine tofauti Kabisaa!!
 
NIMR wanafanya kazi nzuri ila kwasababu vitu wanavyofanya siyo vya level yako ya intelligence unahisi hawafanyi kitu. Research inasaidia kusuluhisha matatizo na kuleta ugunduzi. Hapa issue ni visibility, wanapaswa kuuambia umma mafanikio yao. Nina question uwezo wako wa akili,huwezi kushawishi taasisi ya utafiti ifutwe, kama ni performance wawekewe malengo na wayatimize. Unashawishi taasisi ya utafiti ifutwe ili tuanzishe taasisi ya kukuza utamaduni na kulinda historia? Leo kwa mara ya kwanza nimesoma upumbavu mwingi sana ukiwa sehemu moja.
Hebu tuorodheshee tafiti ambazo NIMR imefanya na faida ambazo nchi imepata kwa tafiti hizo. Usilete madesa utaumbuka, watu wanayo majibu hapa.
 
Evil!!! Malecela team typical hii!! na wenzako wote ndiyo mnao iponda NIMR !!! sababu tu mlitumbuliwa sasa mnachuki na walee walio baki NIMR, mnaanza kuchombeza fitna kwa uongozi wa sirikali ujao!! lengo ni ili wafikirie kuifuta NIMR eti haina faida!!

kumbuka nyie na kundi lenu lile la ulaji ndo mmeifikisha NIMR hapo ilipo mliifanya kuwa Mali yenu binafsi ya kufadisha marafiki na familia zenu mnachaguana! chaguana tu kindugu kirafiki na kulindana kimaslahi!! mliifanya km kijiwe binafsi!

Ulikwa ukiwa na msimamo tofauti tu na huyu mtoto wa Malecela unafutwa kazi! sasa amefukuzwa kitambo ana kinyongo na hii hali anaona km ameonewa kijicho anataka rudi imeshindikana!! wewe na mnao fanana na hao tunawajua vizuri sana hapa NIMR.

Baada ya wana NIMR kuona hamfai kuongoza Organisation hii!! na kuwaambia wazi wazi mkachukukia, baadhi yao mkawapiga chini!! baadae tuliobaki mkaona km tumewachongea kwa Rais, tuna roho mbaya, chuki, hatuwapendi tuna chuki binafsi!!

Kutumbuliwa kwenu ndo sababu za chuki zooote hizi zenye chokochoko mlima!! kuwa NIMR haina maslahi kwa taifa wakati nyie mpo mbona Maneno km haya hayakuwepo haya yoote??? nchi kama Nchi Medical research ni uhai wa taifa!!! chunguza Duniani poote!

Uta chunguza vipi magonjwa na tiba muafaka ya watu wa jamii yako pendwa yaani wananchi bila chombo hiki? pia kumbuka NIMR inaushirika na mashirika mengi ya kimataifa Duniani km CDC tunashirikiana nao kufikia lengo letu la kitabibu !!

kifupi ni uhai wa Dunia, siyo uhai wa Tanzania tu pekeyake!!! Dunia ya leo tunahitajiana mno kitiba, ki afya !! kiuchumi pia Kuliko unavo dhani kibinafsi yako! umeeleza kiwivu wivu sana!! labda ungesema tuifanyie mabadiliko inapo bidi! hapo ningekuelewa!

Ndg Rais utakaekuja na uliepo sasa!! jiulize kwa nini NIMR ipondwe kwa wakati huu wa utumbuaji moto moto na si kabla? hao hao waliokuwa wanaiyumbisha NIMR ndo wanaleta za kuleta sasa , sababu wanaijua mwanzo mwisho! Malecela Group!

NIMR haitafutwa ila tutawafuta watendaji/ wafanyakazi/washirika wasio kuwa na tija, wabovu wavivu, wazembe wasio wabunifu!! wala hatuna mpango wa kujaza tu Medical personel kwenye chombo hiki pendwa hayo siyo malengo ya NIMR!!!

Lengo letu kitaaluma ni sisi kama NIMR watu wenye;

Mtizamo chanya

Nidhamu za kitafiti

Upeo!

Ari!

Uwezo wa kitafiti!

Nia! sababu

capacity

Malengo,
Nidhamu nk kwa ajili ya kufikia malengo yetu muanana ya kitafiti!! hatukurupuki kuajili wafanyakazi wa kufanya tafiti tuliyo yafanya ni mengi sina haja ya kuyaorodhesh hapa! umesema kwa ajili uko full jazba .kisasi mtuache tufanye kazi!

Uhai wa Idara ya Afya ni Muhimu sana kuliko unavodhani, na tuna tabia ya kuwakaribisha Madaktari wote TZ kufanya nao majadiliano ya research za kiafya Mfano EBOLA walikuja Madaktari wote TZ Kina Dr Manyonyi, Dr kingu. Dr Mnzava, Dr Ulusubisya, Dr Liburu, L. Chipata, Dr Liwa na

Wengine weeengi kutoka kila kanda sasa wewe kwa mawazo yako unawaza usawa wa kinywa! na chuki fupi fupi!! utafiti wa afya ni wa kila kada ili mradi tu umeonyesha nia na mwelekeo chanya wa kufikia malengo ya Taifa,

Usitufundishe kazi iliyokushinda!! kaa pembeni!!! daima humu NIMR ni ya wote tuko hivo na tutakuwa hivo, kikubwa zingatia nidhamu zaa kitafiti!! utakaa nasi!! usijaribu kutupangia wala kuingiza siasa za maji taka!

Sisi ni wataalamu!! yes!! tuko hivo kwani nini bana!! hata Rubani. Mwanasiasa!! Mwanga, mwenye maono ya Kitabibu au kiujumla kiafya tunamkaribisha kwa mikono miwili! tunajua tunakokwenda na tunako toka!

Hatuyumbi na kila upepo unao vuma eti kwa sababu tulikufukuza weee!! thubutu!! fikiria mara mbili ndivo tulivo! kazi yetu sisi ni utafiti wa magonjwa ndo tulivo amua! tuna tambaa na ruzuku tofauti na unavo fikiria! chapa kazi acha majungu!!

Tunacho jali ni uwezo wa mtu yeyote, mwenye nia na sababu za kutatua tatizo la kiafya Duniani, kuna mpaka waganga wa kienyeji humu, hata wewe km ukijirekebisha na umekuja na wazo jipya tutakurudisha tena!

Tatizo lenu waswahili mnaendekeza ulaji wa kishamba mnooo!! kisa vijisenti!
NIMR ISIFUTWE KAMWE, ILA IFANYIWE MAREKEBISHO TUUUU!! NARUDIA SIJAKOSEA...........IKITOKEA imefutwa kwa chuki za kisiasa na ujinga wa ki tz KM HUU itakuja kwa umbo lingine tofauti Kabisaa!!
Sasa nyie wachapakazi wazalendo mbona hamruhusu tafiti za COVID-19?
 
Tatizo ambalo lipo kwenye taasisi zetu za utafiti ni low funding, serikali inatakiwa itoe 6% ya GDP iende kwenye utafiti, badala yake pesa kibao wanapewa viongozi wa kisiasa na kiserikali kama posho, gari, marupurupu, mishahara mfano wale wagonga meza. Badala yake watafiti wanabaki wakiwa hawana la kufanya hata kama ana kitu cha kufanyia utafiti, anakaa ofisini na kupiga miayo. Kwenye nchi zilizoendelea mbali na serikali sekta binafsi inajihusisha na ku-fund research ambazo zitawasaidia kupata products, mfano kwenye upande wa sekta ya afya, madawa, chanjo na vifaa tiba. Mfano, kampuni la madawa linaweza kutoa hadi billions of money kwenye taasisi ya utafiti, mfano chuo kikuu kwa ajili ya kupata aina mpya ya dawa, chanjo au technology ambayo watapata hati miliki na kuuza kwa faida kubwa....
Hapo umekuja vizuri.
  1. Kama NIMR haipewi hizo 6%, inapewa % ngapi? Imefanyia nini hicho ilichopewa miaka yote hii? Imeleta majibu ya changamoto zipi katika masuala ya tiba?
  2. Tanzania pia kuna sekta binafsi. Je, NIMR haizioni hizo sekta binafsi ikaziendea for funding, au inakatazwa?
 
Nakumbuka mwaka flani tuliwapa NIMR pesa ili wakatafiti cases za cholera mtaani. It was more of an assessment na sio “research” as such. Professor ndio alitaka kulead hiyo assessment

Hii ndio NIMR yetu.
pesa hapo ndiyo maana prof alijiweka mbele
 
Back
Top Bottom