P pilipili kichaa JF-Expert Member Joined Sep 3, 2013 Posts 18,406 Reaction score 14,643 Mar 9, 2021 #161 leo hii wataalamu wetu wanafanyia utafiti chanjo ya covid19! Piriton hadi leo hawajaweza kutengeneza😀
leo hii wataalamu wetu wanafanyia utafiti chanjo ya covid19! Piriton hadi leo hawajaweza kutengeneza😀
Shing Yui JF-Expert Member Joined Aug 8, 2015 Posts 15,168 Reaction score 38,049 Jun 26, 2021 #162 Ngoja nikatafute nimricaf maana naona hali sio nzuri
B brazaj JF-Expert Member Joined Jul 26, 2016 Posts 31,698 Reaction score 41,733 Jun 26, 2021 #163 Kijana wa jana said: Ngoja nikatafute nimricaf maana naona hali sio nzuri Click to expand... Watakuwa walisha pumzika kwa amani.
Kijana wa jana said: Ngoja nikatafute nimricaf maana naona hali sio nzuri Click to expand... Watakuwa walisha pumzika kwa amani.
Shing Yui JF-Expert Member Joined Aug 8, 2015 Posts 15,168 Reaction score 38,049 Jun 26, 2021 #164 brazaj said: Watakuwa walisha pumzika kwa amani. Click to expand... Nimetengeneza yangu ikawa kama chai
brazaj said: Watakuwa walisha pumzika kwa amani. Click to expand... Nimetengeneza yangu ikawa kama chai
B brazaj JF-Expert Member Joined Jul 26, 2016 Posts 31,698 Reaction score 41,733 Jun 26, 2021 #165 Kijana wa jana said: Nimetengeneza yangu ikawa kama chai Click to expand... Kuiga ku*ya kwa tembo ni shughuli pevu. Uliza babu wa Loliondo.
Kijana wa jana said: Nimetengeneza yangu ikawa kama chai Click to expand... Kuiga ku*ya kwa tembo ni shughuli pevu. Uliza babu wa Loliondo.
C chikambabatu JF-Expert Member Joined Dec 29, 2015 Posts 1,339 Reaction score 1,318 Jun 26, 2021 #166 Mnawadanganya watu na majuisi yenu, inapelekea kupukutika tu! Hata kuigusa sita jaribu!