#COVID19 NIMR: Tunafanyia utafiti dawa 7 za Kitanzania kama zinatibu Covid 19, chanjo za Magharibi bado hazijathibitika kukinga

#COVID19 NIMR: Tunafanyia utafiti dawa 7 za Kitanzania kama zinatibu Covid 19, chanjo za Magharibi bado hazijathibitika kukinga

Kabla ya chanjo ulikuwa umewahi kuona shida yoyote kwako binafsi wewe kama wewe?
Sikupata shida yoyote niliona ni wasaa mzuri pia wa kujilinda kwa siku za usoni nikapata chanjo as long as nilishasoma na mechanism of action ya vaccine so haikunipa shida kutumia maana kila kitu kiko wazi na chanjo hii hata Rais ametumia...
 
acha kubetua makalio juu kwa jambo usilolijua, kitaalam (sayansi) magonjwa yote yenye tabia za mlipuko kama korona, kipindupindu nk yana nyakati huwa maambukizi na madhara huwa ni makubwa zaidi, so sio nyakati zote madhara huwa juu...kutegemeana na mazingira ya nyakati hizo.

magonjwa hayo ya milipuko hushambulia sana kuanzia miezi ya novemba hadi machi

so msianze kumpamba huyo mshamba wenu kwa sifa asizostahili, automatically kasi ya korona itapungua sana kuanzia sasa...ila muambieni apunguze ujinga ahimize wananchi wasiache kuchukua tahadhari maana dalili zinaonesha tatizo bado litarudi tena kwa kasi hapo baadae, hasa kutokana na njia alizoamua kuchukua ktk kukabiliana nalo.
Bichwa lako,
 
Huyu Prof ni kama anacheza na akili za watu kuwalazimisha kinamna kutumia nyungu, kuwaambia watu kinga za ulaya hazijathibitishwa na hawalipi fidia kwa madhara yatakayotokana na matumizi yake ni ujanja ujanja, mbona hajasema kama wao watalipa fidia kwa madhara yatakayosababishwa na nyungu, yaani mgonjwa wa Corona akipiga nyungu au akinywa juice ya malimao na asipopona mumlipe fidia.
Wewe siku ukishuka ulaya ni rahisi sana kupasuliwa mali......nd
Maana hutaona ugumu wa kushusha suruari,
Na.kwa kuea jambo hilo kwa wazungu ni haki basi hutaona shida kupata hiyo haki.
 
Ongelea nafsi yako..usiongelee sisi.. inawezekana kuna mbumbumbu wengine kama wewe ila usitumie kauli za sisi watanzania, kuna wengine tunajielewa!
huo ndio msimamo wa sisi watanzania, wewe mtanzania wa marekani unaweza endelee na taratibu za chanjo huko ulipo.
 
Ondoa porojo zako hapa. Watu wanazungumza Sayansi wewe unaleta za kuleta ili mradi umeandika. Leta hoja kwa nini tukatae chanjo, madhara yake au athari tokezi kisayansi siyo porojo zisizo na mashiko
huo ndio msimamo wa nchi ya Tanzania, sasa nakushangaa wewe unazungumza kutoka nchi gani?
hatutaki kusika chanjo za majaribio hapa kwetu.Tz
 
huu ndio muda muwafaka wakuchuma pesa kama kikombe cha babu
 
Walizindua dawa yao ya NIMRICAF bila ya kufanya utafiti wowote.

Nashauri utoaji wa chanjo zote usitishwe Tz na tujikite katika tiba za asili.
 
Huyu Prof ni kama anacheza na akili za watu kuwalazimisha kinamna kutumia nyungu, kuwaambia watu kinga za ulaya hazijathibitishwa na hawalipi fidia kwa madhara yatakayotokana na matumizi yake ni ujanja ujanja, mbona hajasema kama wao watalipa fidia kwa madhara yatakayosababishwa na nyungu, yaani mgonjwa wa Corona akipiga nyungu au akinywa juice ya malimao na asipopona mumlipe fidia.
angalia tbc
 
suala hapa sio "population" , tatizo ni juu ya ubora na uhakika wa chanjo zenyewe bado hakuna uhakika, ndio maana hata marekani yenyewe hawana uhakika juu ya chanjo gani raia wake watumie, Ujerumani, Ufaransa bado kuna "debate" juu ya chanjo gani ndio ya uhakika zaidi.

Naipongeza sana Nchi yangu ya Tanzania kwa kuchukua tahadhari na umakini juu ya kupokea chanjo kutoka mataifa mengine.

Sawa, nipe chanjo zilizoingia kwenye soko na 100% perfection unazozijua na ziliingia sokoni na percent ngapi? Just looking for impossible. Kasomeni ugunduzi wa chanjo mbalimbali ulivyokuwa, msihamishiwe U-paranoid tu.
 
Sawa, nipe chanjo zilizoingia kwenye soko na 100% perfection unazozijua na ziliingia sokoni na percent ngapi? Just looking for impossible. Kasomeni ugunduzi wa chanjo mbalimbali ulivyokuwa, msihamishiwe U-paranoid tu.
kwa kifupi chanjo za korona zilizo gunduliwa ktk kipindi hiki kuanzia 2020/2021 bado haziwezi kuwa "salama" na pia hazina uhakika wa kutibu kilicho kusudiwa.
kuna changamoto nyingi za kisayansi bado zina maswali mengi kuliko majibu. ndio maaana sisi watanzania tunasema hatutaki chanjo za majaribio kwetu, halafu badae tuanze kujilaumu.
kinacho fanywa na mataifa makubwa hivi sasa haswa yale yaliyo gundua ni kujaribu kutuliza tu hali ilivyo sasa duniani lkn kwa sasa bado hakuna chanjo ya uhakika na salama kwa maisha ya binaadamu.

hadi sasa chanjo zilizopo
1. BioNTech
2. Moderna
3. JJJ
zote hizo magumashi,
 
kwa kifupi chanjo za korona zilizo gunduliwa ktk kipindi hiki kuanzia 2020/2021 bado haziwezi kuwa "salama" na pia hazina uhakika wa kutibu kilicho kusudiwa.
kuna changamoto nyingi za kisayansi bado zina maswali mengi kuliko majibu. ndio maaana sisi watanzania tunasema hatutaki chanjo za majaribio kwetu, halafu badae tuanze kujilaumu.
kinacho fanywa na mataifa makubwa hivi sasa haswa yale yaliyo gundua ni kujaribu kutuliza tu hali ilivyo sasa duniani lkn kwa sasa bado hakuna chanjo ya uhakika na salama kwa maisha ya binaadamu.

hadi sasa chanjo zilizopo
1. BioNTech
2. Moderna
3. JJJ
zote hizo magumashi,

Jibu swali langu la msingi.
Don't be jumpy jumpy!
 
Ni mstaafu, lazima atetee contract yake. Otherwise akitumbuliwa hana cha kufanya zaidi ya kufuga samaki. Professor of aquatic science .....hahahaha
Kuna jamaa humu jf amesema mpaka uviko-19 tuagane nayo waTz wengi itawaacha uchi kielimu. Nikakumbuka na nchi fulani iliyofungulia simba kudhibiti wakiukaji wa lockdown!
Swali la kujiuliza mtaalamu wa wanyama kuongoza taasisi ya utafiti wa magonjwa na tiba ya binadamu. Hakuna wataalamu watafiti wa tiba ya binadamu? Bin Adam ni mnyama kweli lakini ni mnyama pekee anayeweza kusoma wanyama kiwango cha utaalamu. Utabibu wake umetenganishwa na wa wengine. Au waTz ni sahihi kama Reagan alivyosema kuwa ni ngedere?
Uviko-19 kweli ni zoonosis lakini pandemic hii ni ya binadamu. Prof yupo kwa mkataba. Angemtuma kijana kama ilikuwa lazima mtu atoke nimr. Wapate uzoefu. Aidha hiyo kazi ni yao wao wataalamu wa tiba ya binadamu. Au wote nimr ni zoologists? Kule veterinary kuna nani? Nchi ya uchumi wa kati lower wa vi-wonder!
 
kwa kifupi chanjo za korona zilizo gunduliwa ktk kipindi hiki kuanzia 2020/2021 bado haziwezi kuwa "salama" na pia hazina uhakika wa kutibu kilicho kusudiwa.
kuna changamoto nyingi za kisayansi bado zina maswali mengi kuliko majibu. ndio maaana sisi watanzania tunasema hatutaki chanjo za majaribio kwetu, halafu badae tuanze kujilaumu.
kinacho fanywa na mataifa makubwa hivi sasa haswa yale yaliyo gundua ni kujaribu kutuliza tu hali ilivyo sasa duniani lkn kwa sasa bado hakuna chanjo ya uhakika na salama kwa maisha ya binaadamu.

hadi sasa chanjo zilizopo
1. BioNTech
2. Moderna
3. JJJ
zote hizo magumashi,
Kwanza aliyekuambia chanjo ni dawa kuwa inatibu?

Pia kusema hamtaki means mnazo zenu je ziko wapi zileteni tufanye analysis za kitaalam..

Pia mbona chanjo kama BCG, Rotavirus, Mumps nk ziligunduliwa bila approval ya watanzani na zinatimika ila hakuna ya Tanzania?


Mbona ARV bado zinapokelewa kwa shehena za kutosha na hazitegenezwi Tanzania na hataviongozi wapo wanatumia
 
Inapendeza sana... nasi tuwe na dawa zetu kwa matakwa yetu..
 
Mkurugenzi mtendaji wa NIMR Prof Yunus Mgaya amesema taasisi yake inafanyia utafiti dawa 7 za Kitanzania zikiwemo 4 za kufukiza kama zinatibu Covid 19.

Utafiti wa dawa hizo za asili ambazo zimetumika toka enzi za mababu zetu zinafanyiwa utafiti na wanasayansi wetu kupitia baadhi ya hospitali zetu, amesema.

Prof Mgaya amesema chanjo za magharibi zinazotumika sasa huko duniani hazijathibitisha kukinga covid 19 kwahiyo nazo ziko kwenye utafiti ila zikileta madhara hakuna taasisi itakayolipa fidia.

Prof Mgaya amewataka wananchi watakaofanikiwa kuona kichupa cha chanjo za ulaya wasome kwa makini maandishi yote wataona namna wawekezaji wanavyokana kulipa fidia endapo tatizo lolote litatokea.

Prof Yunus Mgaya alikuwa skiwakilisha mada chuo kikuu cha Dar es salaam katika kongamano linaloongozwa na Dr Rioba na kurushwa mubashara na TBC.

Maendeleo hayana vyama!
Prof mjinga kuliko kabugi,toka lini huo uharo wake ukatibu covid..awamu hii imejaza maprof wenye akili za chikumbalanga
 
Kuna mtaalamu mmoja alieleza kuwa utafiti wa dawa au chanjo unahitaji miaka takriban 10 kupitia hatua zote muhimu na kuthibitishwa kama zinafanya kazi na hazina madhara kwa mwanadamu. Hivyo kama wameanza utafiti kwa dawa 7 kama wanavyodai basi tutarajie matokeo ya utafiti wao mwaka 2030.
 
Prof mjinga kuliko kabugi,toka lini huo uharo wake ukatibu covid..awamu hii imejaza maprof wenye akili za chikumbalanga
Hapana ndugu umetumia maneno makali sana! Ni habari njema kuwa wameanza utafiti wa hizo dawa 7 tuendelee kuwatia moyo wakamilishe utafiti huo na watupatie majibu.
 
Back
Top Bottom