Kantalandwa
Member
- Jul 25, 2020
- 24
- 9
Kwani umeambiwa limao ni chanjo?Mkurugenzi wa taasisi ya utafiti dawa za chanjo (NIMR) Profesa Yunus Mgaya amesema kuwa chanjo dhidi ya ugonjwa wa Corona haikufuata taratibu zinazotakiwa....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani umeambiwa limao ni chanjo?Mkurugenzi wa taasisi ya utafiti dawa za chanjo (NIMR) Profesa Yunus Mgaya amesema kuwa chanjo dhidi ya ugonjwa wa Corona haikufuata taratibu zinazotakiwa....
Sayansi inapingwa kwa sayansi sio siasa.
Prof Kabudi, Prof Kitila Mkumbo, Prof Mgaya na Mchumi Wa Daraja la Kwanza Dkt Mwigulu wote ni products za jalala according to Kabudi1: Mtu ambaye ameshindwa kujua kuwa chanjo iko exempted kwenye madhara kwa mchanjwaji kulipwa na kampuni inayotengeneza chanjo na hiyo ni SERA kwa chanjo zote hata hanisumbui. Na huyu ni Profesa na mkurugenzi mkuu wa tasisi ya utafiti...
Na huo ndio ukweliMkurugenzi wa taasisi ya utafiti dawa za chanjo (NIMR) Profesa Yunus Mgaya amesema kuwa chanjo dhidi ya ugonjwa wa Corona haikufuata taratibu zinazotakiwa...
chanjo gani hiyo ya kulazimishana?!!!Sio majaribio yametekelezwa? Mamilioni walipata chanjo nchini Israeli. Vifo vya Covid vya wazee vimepungua sana (kabla ya chanjo walijaa hospitali). mamilioni wengine wamepata chanjo Ulaya na marekani. Kila sehemu tunasikia matokeo ya kawaida ya chanjo: Idadi ya maambukizi zinashuka, watu wachache sana wanpata madhara (jinsi ilivyo kila chanjo).
Kwani miaka yote ya Uhuru tuliwahi kutengeneza chanjo yoyote wanaccm wenzangu.Mkurugenzi wa taasisi ya utafiti dawa za chanjo (NIMR) Profesa Yunus Mgaya amesema kuwa chanjo dhidi ya ugonjwa wa Corona haikufuata taratibu zinazotakiwa....
DuuuhProf Kabudi, Prof Kitila Mkumbo, Prof Mgaya na Mchumi Wa Daraja la Kwanza Dkt Mwigulu wote ni products za jalala according to Kabudi
NotedKwani miaka yote ya Uhuru tuliwahi kutengeneza chanjo yoyote wanaccm wenzangu...
Prof. Mgaya namheshimu sana. Lakini akubali kuwa tafiti za chanjo zilizofanyika duniani zimefanywa na wataalam kama yeye. Sasa hoja yake ya kuzidharau inaanzia wapi? Teknolojia zinaongezeka kila leo duniani. Tafiti za kuchukua miaka 10 ili kuokoa maisha zimepitwa sana na wakati. NIMR nawapongeza kwa dhati kwa kutupatia products (natural) ambazo zinatufaa katika kipindi kifupi (chini ya miezi 6). Tafiti za Ki-Sayansi zinapingwa kwa tafiti za kisayansi na si vinginevyo. Porojo za Kisiasa uchwara tuziache katika hoja kubwa jamaniMkurugenzi wa taasisi ya utafiti dawa za chanjo (NIMR) Profesa Yunus Mgaya amesema kuwa chanjo dhidi ya ugonjwa wa Corona haikufuata taratibu zinazotakiwa.
Na kwamba ilitakiwa ifanyiwe majaribio ya kutosha kupitia kwa wanyama kama vile sokwe na panya kujiridhisha na baadae kwa kundi dogo la Binadamu katika baadhi ya nchi na kama ikiwa na matokeo mazuri ndipo inatolewa kwa kundi kubwa la watu na kutangazwa rasmi na kwamba mchakato huo unaweza kuchukua miaka kumi.
Pia amepongeza msimamo wa serikali wa kuendelea kula limao na tangawizi na kupiga nyungu kwa sana huku tukiendelea kusubiri NIMR wakamilishe utafiti wao wa chanjo dhidi ya COVID 19 ili tupate chanjo bora kuliko hiyo iliyoanza kutumika bila kupitia michakato yote aliyoitaja, akidai kwamba chanjo hizo zinazotolewa hazifai.
Sasa kama kula ndimu, tangawizi na kupiga nyungu ndiyo kinga dhidi ya Corona utafiti huo ulifanywa kwa muda gani na NIMR?
Na ikiwa tutasubiri miaka kumi kupata chanjo sahihi kwa mjibu wa NIMR ni madhara kiasi gani yatakuwa yamejitokeza?
Nawasilisha!
Chanzo: HabariLeo
Wewe na nani? wengine tuko tayari hata kuinunua kwa bei yoyote ileSisi Watanzania hatutaki kabisa kuziona hizo chanjo zao za majaribio.
chanjo gani hiyo ya kulazimishana?!!!
inamaaana sisi tumekuwa watoto wadogo?!!
inamaaana kuna mtu mwengine anapenda sana uhai wetu sisi watanzania kuliko sisi wenyewe?!! kiasi kwamba wanatulazimisha tupate chanjo ili tuendelee kuishi?!
hapana sisi watanzania hatutaki hizo chanjo za majaribio, .
sisi watanzania hatutaki chanzo ambazo ni za kulazimishwa! hivi hao wanao tushinikiza kutumia hiyo chanjo ndio wana thamini zaidi uhai wetu kuliko sisi wenyewe?! tafakari kwa makini.Wewe na nani? wengine tuko tayari hata kuinunua kwa bei yoyote ile
Asante sana kwa genuine comments1: Mtu ambaye ameshindwa kujua kuwa chanjo iko exempted kwenye madhara kwa mchanjwaji kulipwa na kampuni inayotengeneza chanjo na hiyo ni SERA kwa chanjo zote hata hanisumbui. Na huyu ni Profesa na mkurugenzi mkuu wa tasisi ya utafiti.
2: Mkurugenzi mkuu, ambaye hajui kuwa kuna emergency permit provision ya vaccine baada ya watu kukaa na kufanya analysis dhidi ya kusubiri miaka 15-18 ili chanjo iingie sokoni. Na utaratibu huu upo, kitu kama hicho pia kilihusisha chanjo ya Ebola ilipoonyesha ufanisi.
Angekuja na facts kuwa sababu zilizotumika kisayansi hazijitoshelezi au NIMR tumegundua:
A: Kwenye drug discovery/molecules and development kuna hiki kitu kwenye zile chanjo na hazifai.
B: Uwezo wake tulielezwa ni kiasi hiki na sisi kwa uwezo wetu tumegundua uwezo wake ni kiasi hiki, hivyo hazifai.
C: Kuna molecule hii inaleta shida hii, hivyo hazifai.etc.
D: Kwenye clinical trails, chanjo ilionyesha WEAKNESS hii na haikurekebishwa mpaka inaenda sokoni.
Na tukumbuke kadri muda unavyoenda, wakati sisi tunalala sana, wenzetu wanazidi kugundua more sophisticated tools kumaliza kazi zao mapema na kwa ufanisi.
Lakini, wanakuja mbele yetu kama wanasiasa tu. Please, let's invest in science and technology.
Tuache ku-mbwela mbwela tu.
Ondoa porojo zako hapa. Watu wanazungumza Sayansi wewe unaleta za kuleta ili mradi umeandika. Leta hoja kwa nini tukatae chanjo, madhara yake au athari tokezi kisayansi siyo porojo zisizo na mashikosisi watanzania hatutaki chanzo ambazo ni za kulazimishwa! hivi hao wanao tushinikiza kutumia hiyo chanjo ndio wana thamini zaidi uhai wetu kuliko sisi wenyewe?! tafakari kwa makini.
Jaribu kufanya kautafiti kadogo tu;Hakuna aliyelazimisha ila kila ukifanyacho kwa mtizami mkubwa baadaye unaweza kuathiri wenzio.
Nu sawa na kuwa na mgonjwa wa kipindupindu na ni paranoid hataki kumeza dawa na unajua baadaye anaweza kuambukiza wengine au yeye kufa.
Je utamwacha? Kwa kuwa ni yeye?
Baadaye, utasikia mbona nyie wenye akili timamu hamkutumia busara zenu kumsaidia mgonjwa. Utajisikiaje?
Kwa hiyo watu wanatimiza wajibu wao.
Rudia kusoma tena inaonekana umechangia bila kusoma kwa makiniKwani umeambiwa limao ni chanjo?
Hii si sababu ya kutosha.Jaribu kufanya kautafiti kadogo tu;
1. je, hizo nchi zilizo gundua chanjo na kisha kuanza kuchanja watu wake, je? maambukizi ya corona na vifo vimepungua? au ndio kwanza maambukizi yanazidi na vifo vinazidi...