Mkono is right,
Kazi ya Law Firm yoyote ni exactly hiyo... sio kazi ya Law firm kuangalia mtu atakuwa guilt or not.
so there is no wrong doing for him to help Balali tuache unazi!
wewe kweli KASHESHE!
Sasa huo unazi unatoka wapi tena wakati watu wanatoa mawazo yao?
Sual hapa sio right to legal representataion ya Balali wala right to work ya wakili Mkono; suala ninaliliona mimi ni hili
1. Mkono mwenyewe ni mtuhumiwa wa the same case..tangu lini mtuhumiwa mmoja akamtetea mwenzie kama wakili? labda tubadili kwanza sheria
2. Mkono ni mwanasiasa ndani ya chama tawala. Ikiwa raisi wa nchi amemuondoa kazini kiongozi wa ngazi za juu kwa tuhuma nzito za ufisadi; je, unafikiri ni sahahi kwa kiongozi mwingine wa serikali hiyohiyo kusimama mahakamani kumtetea? mimi nafikiri kufanya hivyo ni kuidhalilisha raisi ambaye yeye Mkono ameapa kumheshimu na kumtii yeye kama Mbunge.
3. Kaulizwa?
Kama yeye ni wakili, asijitangazie kuwa yuko tayari kumtetea mtuhumiwa; why, every other lawyer in the world is ready and willing if approached with a good case and fee; kwanini anajieleza; he may be jumping the gun here for good many reason
4. Kwanini Mkono ndiye awe mtetezi wa watuhumiwa ambao wananchi wote wa Tanzania wana interest na kuona wanatiwa hatiani..bado kumbukumbu zetu za kesi ya Ditto ziko fresh; WHY HIM? Is this a syndicate of some sort; where the big boy says ;let me do this to cool their steam off but i will find you a good lawyer friend of mine to get you out? What Is this game?
5. Mkono + the other guys implicated in this dirty scandal are moving freely simply because the powers that be decided to keep the dirty report to themselves; but worse still; they decided to limit the terms of reference of those who did the auditing. Hii amount inayopigiwa kelele hapa is but a peanut compared to what is actually taken; What is Mkono's share in that? nani hajui kuwa jambazi mwenye pesa ni vigumu kumfunga? tena kwenye hii nchi ambayo majaji wanapigiwa simu na kupigia wenzao wanaposoma hukumu? nani hajui role ya viongozi waliobaki na washirika wao amabao walitajwa kwenye ile mafioso tree iliyotolewa hapa JF na kufika bungeni; so, WHO IS PAYING WHO TO DEFEND WHO?
My conclusion: Mkono anawakilisha kile walichopanga hata kabla ripoti haijatolewa. Tena sitashangaa kama iko kamati inawasoma maoni yenu ili kupima joto kabla hawajaja na The Way Forward
Tena nawapongeza wale wananchi waliojichukulia sheria mkononi na kujigawia hayo mashamba; it goes to show that wananchi wameshoshwa na the whole legal process which is full of political pressure and is suffering from
rushwaism
Mkono's statement, if we may call it that, is evidence of how stupid our leaders and their fisadi group think Tanzanians are.
They should tune their TV channels to Kenyan side to get a glimpse of a poor man's expression of hatred to the ruling powers
Wasicheze na akili za watu!