DocJayGroup
JF-Expert Member
- Jan 17, 2020
- 1,654
- 3,346
Nafikiri kama ni mtu wa kubadilika vibaya na kuharibika kitabia, atakuwa hivyo tu hata akienda wapi. Na kama ni mtu wa kujifunza, basi atajifunza vizuri pia. Kama ataanza kushika vihela itakuwa poa sana. Juhudi itakuwa kumuongezea uwezo, ufanisi, au mtaji kwa hio fani inayomuingizia vihela kidogo.Ushauri mzuri,
Lakini akishakaa mtaani anawezq kubadilika na kujiunga na makundi hapo ni habari yake inaisha,huwezi kumpeleka chuo kijana ambae ashazoea kushika viela
Ni kweli. Fundi wiring wa magari ni fani nzuri japo inahitaji mtu mwenye urahisi wa kujifunza sababu engine wiring iko very complex na magari ni mengi na tofauti. Ingekuwa vema aende kwanza gereji akae karibu na fundi mzoefu wa wiring apate mentor na mkufunzi wa awali.Usisikilize hadithi za Abunuasi. Angalia kipaji chake kimeelekea upande gani, au mapendezi yake ni nini, maana ni dhahiri uwezo wake darasani ni mdogo sana.
Mfano:
1. Mpeleke akasomee umeme wa magari, atapata pesa sana.
Vijana wengi wa kisasa akinunua gari yeye anajua kuwasha na kuweka gia tu, hata kucheki oil hajui!!
2. nk, nk, nk
Hivi TZ suluhisho ni veta tu? Sasa demand si itakuja kushuka kama ualimu.Kuna kipindi ualimu ndio ilikuwa suluhisho sasa ni nyuma geuka. Tusitafute njia rahisirahisi za kutatua mambo.Kwani biashara Hamna,kilimo je, ufugaji je. Veta veta veta!!!!!!????Pole kwa bwana mdogo wako kwa ufaulu huo,maisha lazima yasonge.Mpeleke vyuo vya veta apate ujunzi ambao anaupenda,ili aweze kujitegemea.
Na vijana wengi walioenda VETA wanakuwaga vilaza tu. Ujuzi wa kazi wanakuwa hawana. Inakuwa waliunguza tu hela ya wazazi.Hivi TZ suluhisho ni veta tu? Sasa demand si itakuja kushuka kama ualimu.Kuna kipindi ualimu ndio ilikuwa suluhisho sasa ni nyuma geuka. Tusitafute njia rahisirahisi za kutatua mambo.Kwani biashara Hamna,kilimo je, ufugaji je. Veta veta veta!!!!!!????
Mm nilfanya hivi kwa mdogo wangu. Sasa ni fundi mzuri.yaani unapata zero form four???? GhhhhhhhKwa nini mnabeba sana watu? Na ww ulipata division 0? Kama haukupata, ni kwa nini yeye apate?
Inabidi watu muwe wakali. Ni uzembe tu na kutoweka juhudi. Mwambie sasa basi. HAUTAMSAIDIA TENA. AENDE KIJIJINI AKAKAE HUKO.
Akae huko hadi apate akili. Sasa hivi hata hajui anataka nini. Utampeleka VETA kupoteza hela zaidi na juhudi zako
Achana naye kwanza. Mpe hata miaka mitatu akue kiakili. Ajue maisha sio lele mama. Atambue akipata msaada asiufanyie mzaha. Atambue ni ninianakitaka maishani. Atafanya fanya kazi kuna moja ataipenda. Akikua kiakili ndio umsaidie
Word!Ni kweli. Fundi wiring wa magari ni fani nzuri japo inahitaji mtu mwenye urahisi wa kujifunza sababu engine wiring iko very complex na magari ni mengi na tofauti. Ingekuwa vema aende kwanza gereji akae karibu na fundi mzoefu wa wiring apate mentor na mkufunzi wa awali.
Safi hii naitumia kwa mdogo wangu atapumzika miaka 2 mtaani kwanzaKwa nini mnabeba sana watu? Na ww ulipata division 0? Kama haukupata, ni kwa nini yeye apate?
Inabidi watu muwe wakali. Ni uzembe tu na kutoweka juhudi. Mwambie sasa basi. HAUTAMSAIDIA TENA. AENDE KIJIJINI AKAKAE HUKO.
Akae huko hadi apate akili. Sasa hivi hata hajui anataka nini. Utampeleka VETA kupoteza hela zaidi na juhudi zako
Achana naye kwanza. Mpe hata miaka mitatu akue kiakili. Ajue maisha sio lele mama. Atambue akipata msaada asiufanyie mzaha. Atambue ni ninianakitaka maishani. Atafanya fanya kazi kuna moja ataipenda. Akikua kiakili ndio umsaidie
Mshikamano, kiluvya, jj mungai hapo hakuna cha kishua.Kisa tu mwanao kasoma kwa kishua.
Ndo uwaseme watoto wengine?
Safi sana mkuuNasoma coment nacheka sanaa almost wote mnaomshauri hamjawahi kupitia hiyo situation ndo maana kila mtu ana shauri lake labda niwambie kitu hakuna kitu kibaya kama kujiona au wewe mwenyewe kujiona umechelewa ktk maisha hakuna kuchelewa wala kuwahi katika maisha wakati wakupambania maisha yako binafsi mda wote ni sawa tu ili mradi uwe na afya njema tu.
Mimi ni mhanga mwa wahitimu ambao sikufanya vizuri o level unajua kwanini hata mimi sijui kwanini ? Nachojua nilisoma kwa juhudi na maarifa lakini mwisho nikaambulia cr 2 tu na masifuri kibao ni katupwa 4 ya mwisho kabisa so advance nisingeweza kwenda kabisa niende wapi sasa? Hata nilipomwambia mzee wangu hakukata wala hakukubali swala la kurudia au kutafuta taaluma nyingine unajua why? Aliniachia uwanja mpana nichague mwenyewe pakwenda na chakufanya . Nikawaza nikawazua lakini bado nikajiona sinachakufanya zaidi ya kukaa nyumbani sawa kukaa nyumbani hadi lini ?
Nikajiwazia bora nikasomee ufundi wa umeme hicho ndo nilikiona na kipenda lakini sikuwa na uhakika kama nakiweza nikamwambia wazo langu mzee hakupinga akaniuliza tu kuna mkakati mwingine siku za mbeleni au ndo ukitoka huko kwenye umeme ndo umemaliza nikamwambia bado ntakuwa na angalia uwezekana wakurudia pepa la 4 akasema powa akalipa ada nikawa nasoma pale cha ng'ombe Veta ..(electrical installation) trust me veta ni chuo kikubwa cha kukufamya ukue kiakili nimakutana na eatu wazima walionizidi miaka kibao darasa moja wako very serous nikaanza kuaddapt tabia zao za kuwa serous na maisha ni kila kitu unachokifanya watu wanafamilia zao wapo darasani duu! Hapo ni full maushauri tu ya kiutu uzima .
Kwa umri wa wale jamaa nikajiona bado sanaa mimi kusongesha kitabu nikachapa miaka miwili pale nikaondoka na grade 2 yangu safi kwa jinsi umeme ulivyo mgumu kwa theory masoma ya o level yakasome
Hapo ndo nikaona ngoja ni text kurudia pepa .mzee akasema poaa nikaanza twiti mwenge nikachukua masoma yote nilifali isipokuwa hesabu nikarudia kama PC nikasoma kwa fujo huku nafanya ishu zangi za umeme kumbuka kwanza na vihela vya kula kutokana vikazi vyangu vya mtaani si huduma ndogo ma kuomba omba hakupa nikapiga kitabu mwisho pepar nmatokeo nikapa cR mbili tena na mi f kibao kumbuka sikurudia yale masoma nilifauli so jamaa tukamasishana tupige advance sasa cr si ninazo nne tukaanza twiti tena ya nguvu kuja kutoboa nina 2 safii nikajiunga na chuo kwa pesa yangu 3yrs nikatoboa nikarudi kwenye ishu zangu za umeme hadi nilipopata ajira 2011 ndo kiaachana na shughuri za umeme nikaendelea na taaluma yangu ya chuo .hii ni story yangu ya kweli kabisa .nilichojifunza nikwamba baba aliniacha niamuwe mwenyewe kuhusu maisha yangu nami nikafanya kweli .asante baba asante marafiki wote tulistuggle pamoja kwa kupeana moyo.
Acha upumbavu na ushauri wako wa kikatili. Asipomsaidia saizi atakua mzigo huko mbeleni. Kama sio kwa ndugu zake basi hata kwa familia ya huyo mwenyewe aliyefeli. Inaishi kikoloni dunia ya leo?Kwa nini mnabeba sana watu? Na ww ulipata division 0? Kama haukupata, ni kwa nini yeye apate?
Inabidi watu muwe wakali. Ni uzembe tu na kutoweka juhudi. Mwambie sasa basi. HAUTAMSAIDIA TENA. AENDE KIJIJINI AKAKAE HUKO.
Akae huko hadi apate akili. Sasa hivi hata hajui anataka nini. Utampeleka VETA kupoteza hela zaidi na juhudi zako
Achana naye kwanza. Mpe hata miaka mitatu akue kiakili. Ajue maisha sio lele mama. Atambue akipata msaada asiufanyie mzaha. Atambue ni ninianakitaka maishani. Atafanya fanya kazi kuna moja ataipenda. Akikua kiakili ndio umsaidie
Mpumbavu ni ww. Unamtetea sababu hata ww unataka vya dezo tu. Najua hata ww ulifeli kabisa maisha, tena utakuta ww ni mlevi na ndg hawataki kukusaidia sasa unamtetea mpumbavu mwenzako.Acha upumbavu na ushauri wako wa kikatili. Asipomsaidia saizi atakua mzigo huko mbeleni. Kama sio kwa ndugu zake basi hata kwa familia ya huyo mwenyewe aliyefeli. Inaishi kikoloni dunia ya leo?
Uzeeni mnakuaga wachawi nyie
Kama ni binti mpe mtaji wa mama ntilie....kama ni kijana mtafutie kazi ya saidia findi.... Mpe mwezi mmoja tu wa kuishi kwako ....akishapata hela baada ya siku 30 za kibarua chake basi akapange chumba hata cha giza....usiwe na chembe ya huruma maana ukifanya hivyo humsaidii chochote.Heshima kwenu wakuu.
Kama kichwa hapo juu kinavyojieleza. Nina mdogo wangu alifanya pepa ya form 4 mwaka jana (2020) lakini matokeo yametoka amepata Division Zero(0)
Nawezaje kumsaidia huyu mdogo wangu.
Ahsanteni.
πππππ. NIMEONA WW UNA-BETI SANA. UMESHAFILISIKA WW. Nimeona posts zako ni za kubet tu. SABABU UNATAKA KUKAA TU, UBET, HELA IIINGIE. Nilijua we ni boya na mzembe.Acha upumbavu na ushauri wako wa kikatili. Asipomsaidia saizi atakua mzigo huko mbeleni. Kama sio kwa ndugu zake basi hata kwa familia ya huyo mwenyewe aliyefeli. Inaishi kikoloni dunia ya leo?
Uzeeni mnakuaga wachawi nyie