Nimsaidieje kisaikolojia atoke kwenye hii hali?

Umeshamuita mchepuko ajabu unataka umpe msaada wa kisaikolojia, kwani kabla ya kutoka nae mliokotana wapi?

Mwanamke umekutana nae barabarani akiwa na tabia zake, unataka umbadilshe is it possible?
 
Umeshamuita mchepuko ajabu unataka umpe msaada wa kisaikolojia, kwani kabla ya kutoka nae mliokotana wapi?

Mwanamke umekutana nae barabarani akiwa na tabia zake, unataka umbadilshe is it possible?
Najua nikikaa kimya, itamtesa sana
 
UZINZI NI ZAIDI YA DHAMBI...DHAMBI UIFANYAYO JUU YA MWILI WAKO.

UZINZI NI LAANA...UNASUMBUA FAMILIA YAKO NA WATOTO WAKO KWA UPUMBA** WAKO
 
UZINZI NI ZAIDI YA DHAMBI...DHAMBI UIFANYAYO JUU YA MWILI WAKO.

UZINZI NI LAANA...UNASUMBUA FAMILIA YAKO NA WATOTO WAKO KWA UPUMBA** WAKO
Tatizo wanawake ni wengi kuliko wanaume, tusipojitolea wapo wanawake watakosa wapenzi kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…