Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
- #21
Nini kifanyike?Mr.Heka heka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nini kifanyike?Mr.Heka heka
Tatizo amegundua kuwa wewe hufai kuwa baba wa mtoto wake na wala hutoweza hata kumlea na kumtunza mtoto ndiyo maana ameamua kukuibia ili ajipange vyake baada ya kumlewesha ilihali akiwa mjamzito.Ili kumsaidia, nini kifanyike?
Mtu mdokozi wa nini? piga chini akadokoe kwao.Nini kifanyike?
Ha...una date jimaza...kwani watoto wa efu mbili huwaoni!!Mtu wa miaka 40 si mtoto
Najua nikikaa kimya, itamtesa sanaUmeshamuita mchepuko ajabu unataka umpe msaada wa kisaikolojia, kwani kabla ya kutoka nae mliokotana wapi?
Mwanamke umekutana nae barabarani akiwa na tabia zake, unataka umbadilshe is it possible?
Vitoto hivi vidogo ni visumbufu sana 😀Ha...una date jimaza...kwani watoto wa efu mbili huwaoni!!
Kuhusu tumbo inakuwaje?Mtu mdokozi wa nini? piga chini akadokoe kwao.
Ungelikuwa ni wewe, ungefanya nini?Mama Amefungua Nchi, Uchumi unazidi kukua
😀😀😀Mungu amekupa wa kufanana nae, jikunguze labla ulikuwa mdokozi zamani
Huna ht huruma kwa mwanamke mwenzio 😂Mtu mdokozi wa nini? piga chini akadokoe kwao.
Si ni mchepuko huyo lea tu hiyo mimba.Kuhusu tumbo inakuwaje?
[emoji23] Aende akajifunze kwanza tabia njema ndio arudi. Mwanamke anakuaje mdokozi anatutia aibu wanawake wenzake.Huna ht huruma kwa mwanamke mwenzio [emoji23]
🙌🙌🙌Hii ni hatari sana, au yule nyoka wa eden ndio amewaachia madhambi?😀
UZINZI NI ZAIDI YA DHAMBI...DHAMBI UIFANYAYO JUU YA MWILI WAKO.Wakuu habari?
Jana mida ya saa tatu usiku, niliamua kutoka na mpenzi wangu (mchepuko) na kwenda naye katika kiwanja kimoja angalau kujiburudisha pamoja na kupunguza msongo wa mawazo ya hapa duniani.
Tukiwa kwenye hicho kiwanja, tulikula, kunywa pamoja na kucheza mziki; ilipofika saa tisa na nusu usiku tuliamua kurudi nyumbani kwa sababu tulikuwa tumechoka sana pamoja na kulewa.
Baada ya kufika nyumbani na kujisachi kwenye mifuko yangu ya koti, nikagundua kuna kiasi fulani kimebaki na sijakitumia. Nikazihesabu na baada ya kujiridhisha nikaziweka kabatini.
Mwenzangu akajua labda nilikuwa nimelewa na sina kumbukumbu yoyote; sasa leo jioni akawa anajiandaa ili aweze kuondoka, ikanibidi niende kabatini ili niweze kumpatia chochote.
Ile nafika tu, nikakuta salio liko pungufu; ndipo nilipoanza kuhoji, akawa mpole kiasi na kuanza kulalamika hawezi kuchukua chochote bila kuniomba. Mbaya zaidi nikawa namtajia kiasi halisi ya fedha zilizokuwepo, na kumthibitishia sikupoteza kumbukumbu.
Nikawa kidogo mkali, na nikasema sipendi kuwa kwenye mahusiano na mtu mdokozi; ndipo nikaamua kutoka nje ili nimuachie nafasi apumue.
Ile nimekaa nje kama dakika tano hivi, akaniita na kuniambia, ''hela zako ni hizi hapa nimezikuta hapa chini, na huwa sipendi mimi kuitwa mwizi''
Nikamwambia abaki nazo tu, kwa sababu nilishajua zimepotea katika mazingira ya kutatanisha.
Baada ya hapo akawa mkimya na kununa, kuongea hataki; mpaka jamaa wa boda akaja kumchukua na akaondoka bila ata kuniaga.
Nahisi atakuwa ameona aibu na nafsi inamsuta kwa alichokifanya,ingawa mimi nimemsamee na sijamtuhumu kuwa yeye ni mdokozi; mbaya zaidi ana ujauzi wangu.
Najua hii hali itamtesa kisaikolojia, baada ya kugundulika yeye ni mdokozi.
Sasa wakuu, nimsaidieje kisaikolojia atoke kwenye hii hali?
Vitoto vya afu mbili ukivijulia hutasumbuka na mishangazi TENA!!Vitoto hivi vidogo ni visumbufu sana 😀
Tatizo wanawake ni wengi kuliko wanaume, tusipojitolea wapo wanawake watakosa wapenzi kabisaUZINZI NI ZAIDI YA DHAMBI...DHAMBI UIFANYAYO JUU YA MWILI WAKO.
UZINZI NI LAANA...UNASUMBUA FAMILIA YAKO NA WATOTO WAKO KWA UPUMBA** WAKO
Umeshakapenda hako katoto, vuta kaweke ndani muanze maisha. Acha kuzunguka mkuu.Najua nikikaa kimya, itamtesa sana