Nimsaidieje kisaikolojia atoke kwenye hii hali?

Hiyo ni tabia yake huenda amekuwa anafanya hivyo siku zote na itamchukua muda kuiacha kama mgodi unatema muanzishie mradi ili aweze kujikimu
 
WACHA UFALA MKUU INAMANA TAA YA NJANO HUIONI.
 
Mkuu inaonesha huyu mdokozi mzoefu. Hakuna haja ya kutafuta namna ya kumtoa huko aliko. Mwache mwenyewe ajitoe hiyo hali. Ukute huko aliko anawasimulia mashoga zake jinsi alivyomkosakosa boya. Chezea wanawake wewe.....huwajui vizuri. Mwanamke usimzoeshe hela....ni afadhali kumzoesha ndizi nyani kuliko kumzoesha pesa mwanamke. Hutoboi.
 
Mtaalamu anajaribu kukueleza kwamba, POMBE sio nzuri kwa mama mjamzito..sio suala la umri ..
Tayari ana mtoto mkubwa na yuko sekondari; ni sawa na kwenda kumshauri mzee wa pale kijijini mwenye miaka 85 kuwa maji anayotumia sio mazuri wakati ndio ameishi nayo na yamemkuza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…