Nimsaidieje kisaikolojia atoke kwenye hii hali?

Nimsaidieje kisaikolojia atoke kwenye hii hali?

Wakuu habari?

Jana mida ya saa tatu usiku, niliamua kutoka na mpenzi wangu (mchepuko) na kwenda naye katika kiwanja kimoja angalau kujiburudisha pamoja na kupunguza msongo wa mawazo ya hapa duniani.

Tukiwa kwenye hicho kiwanja, tulikula, kunywa pamoja na kucheza mziki; ilipofika saa tisa na nusu usiku tuliamua kurudi nyumbani kwa sababu tulikuwa tumechoka sana pamoja na kulewa.

Baada ya kufika nyumbani na kujisachi kwenye mifuko yangu ya koti, nikagundua kuna kiasi fulani kimebaki na sijakitumia. Nikazihesabu na baada ya kujiridhisha nikaziweka kabatini.

Mwenzangu akajua labda nilikuwa nimelewa na sina kumbukumbu yoyote; sasa leo jioni akawa anajiandaa ili aweze kuondoka, ikanibidi niende kabatini ili niweze kumpatia chochote.

Ile nafika tu, nikakuta salio liko pungufu; ndipo nilipoanza kuhoji, akawa mpole kiasi na kuanza kulalamika hawezi kuchukua chochote bila kuniomba. Mbaya zaidi nikawa namtajia kiasi halisi ya fedha zilizokuwepo, na kumthibitishia sikupoteza kumbukumbu.

Nikawa kidogo mkali, na nikasema sipendi kuwa kwenye mahusiano na mtu mdokozi; ndipo nikaamua kutoka nje ili nimuachie nafasi apumue.

Ile nimekaa nje kama dakika tano hivi, akaniita na kuniambia, ''hela zako ni hizi hapa nimezikuta hapa chini, na huwa sipendi mimi kuitwa mwizi''

Nikamwambia abaki nazo tu, kwa sababu nilishajua zimepotea katika mazingira ya kutatanisha.

Baada ya hapo akawa mkimya na kununa, kuongea hataki; mpaka jamaa wa boda akaja kumchukua na akaondoka bila ata kuniaga.

Nahisi atakuwa ameona aibu na nafsi inamsuta kwa alichokifanya,ingawa mimi nimemsamee na sijamtuhumu kuwa yeye ni mdokozi; mbaya zaidi ana ujauzi wangu.

Najua hii hali itamtesa kisaikolojia, baada ya kugundulika yeye ni mdokozi.

Sasa wakuu, nimsaidieje kisaikolojia atoke kwenye hii hali?​
Hiyo ni tabia yake huenda amekuwa anafanya hivyo siku zote na itamchukua muda kuiacha kama mgodi unatema muanzishie mradi ili aweze kujikimu
 
Wakuu habari?

Jana mida ya saa tatu usiku, niliamua kutoka na mpenzi wangu (mchepuko) na kwenda naye katika kiwanja kimoja angalau kujiburudisha pamoja na kupunguza msongo wa mawazo ya hapa duniani.

Tukiwa kwenye hicho kiwanja, tulikula, kunywa pamoja na kucheza mziki; ilipofika saa tisa na nusu usiku tuliamua kurudi nyumbani kwa sababu tulikuwa tumechoka sana pamoja na kulewa.

Baada ya kufika nyumbani na kujisachi kwenye mifuko yangu ya koti, nikagundua kuna kiasi fulani kimebaki na sijakitumia. Nikazihesabu na baada ya kujiridhisha nikaziweka kabatini.

Mwenzangu akajua labda nilikuwa nimelewa na sina kumbukumbu yoyote; sasa leo jioni akawa anajiandaa ili aweze kuondoka, ikanibidi niende kabatini ili niweze kumpatia chochote.

Ile nafika tu, nikakuta salio liko pungufu; ndipo nilipoanza kuhoji, akawa mpole kiasi na kuanza kulalamika hawezi kuchukua chochote bila kuniomba. Mbaya zaidi nikawa namtajia kiasi halisi ya fedha zilizokuwepo, na kumthibitishia sikupoteza kumbukumbu.

Nikawa kidogo mkali, na nikasema sipendi kuwa kwenye mahusiano na mtu mdokozi; ndipo nikaamua kutoka nje ili nimuachie nafasi apumue.

Ile nimekaa nje kama dakika tano hivi, akaniita na kuniambia, ''hela zako ni hizi hapa nimezikuta hapa chini, na huwa sipendi mimi kuitwa mwizi''

Nikamwambia abaki nazo tu, kwa sababu nilishajua zimepotea katika mazingira ya kutatanisha.

Baada ya hapo akawa mkimya na kununa, kuongea hataki; mpaka jamaa wa boda akaja kumchukua na akaondoka bila ata kuniaga.

Nahisi atakuwa ameona aibu na nafsi inamsuta kwa alichokifanya,ingawa mimi nimemsamee na sijamtuhumu kuwa yeye ni mdokozi; mbaya zaidi ana ujauzi wangu.

Najua hii hali itamtesa kisaikolojia, baada ya kugundulika yeye ni mdokozi.

Sasa wakuu, nimsaidieje kisaikolojia atoke kwenye hii hali?​
WACHA UFALA MKUU INAMANA TAA YA NJANO HUIONI.
 
Wakuu habari?

Jana mida ya saa tatu usiku, niliamua kutoka na mpenzi wangu (mchepuko) na kwenda naye katika kiwanja kimoja angalau kujiburudisha pamoja na kupunguza msongo wa mawazo ya hapa duniani.

Tukiwa kwenye hicho kiwanja, tulikula, kunywa pamoja na kucheza mziki; ilipofika saa tisa na nusu usiku tuliamua kurudi nyumbani kwa sababu tulikuwa tumechoka sana pamoja na kulewa.

Baada ya kufika nyumbani na kujisachi kwenye mifuko yangu ya koti, nikagundua kuna kiasi fulani kimebaki na sijakitumia. Nikazihesabu na baada ya kujiridhisha nikaziweka kabatini.

Mwenzangu akajua labda nilikuwa nimelewa na sina kumbukumbu yoyote; sasa leo jioni akawa anajiandaa ili aweze kuondoka, ikanibidi niende kabatini ili niweze kumpatia chochote.

Ile nafika tu, nikakuta salio liko pungufu; ndipo nilipoanza kuhoji, akawa mpole kiasi na kuanza kulalamika hawezi kuchukua chochote bila kuniomba. Mbaya zaidi nikawa namtajia kiasi halisi ya fedha zilizokuwepo, na kumthibitishia sikupoteza kumbukumbu.

Nikawa kidogo mkali, na nikasema sipendi kuwa kwenye mahusiano na mtu mdokozi; ndipo nikaamua kutoka nje ili nimuachie nafasi apumue.

Ile nimekaa nje kama dakika tano hivi, akaniita na kuniambia, ''hela zako ni hizi hapa nimezikuta hapa chini, na huwa sipendi mimi kuitwa mwizi''

Nikamwambia abaki nazo tu, kwa sababu nilishajua zimepotea katika mazingira ya kutatanisha.

Baada ya hapo akawa mkimya na kununa, kuongea hataki; mpaka jamaa wa boda akaja kumchukua na akaondoka bila ata kuniaga.

Nahisi atakuwa ameona aibu na nafsi inamsuta kwa alichokifanya,ingawa mimi nimemsamee na sijamtuhumu kuwa yeye ni mdokozi; mbaya zaidi ana ujauzi wangu.

Najua hii hali itamtesa kisaikolojia, baada ya kugundulika yeye ni mdokozi.

Sasa wakuu, nimsaidieje kisaikolojia atoke kwenye hii hali?​
Mkuu inaonesha huyu mdokozi mzoefu. Hakuna haja ya kutafuta namna ya kumtoa huko aliko. Mwache mwenyewe ajitoe hiyo hali. Ukute huko aliko anawasimulia mashoga zake jinsi alivyomkosakosa boya. Chezea wanawake wewe.....huwajui vizuri. Mwanamke usimzoeshe hela....ni afadhali kumzoesha ndizi nyani kuliko kumzoesha pesa mwanamke. Hutoboi.
 
Mtaalamu anajaribu kukueleza kwamba, POMBE sio nzuri kwa mama mjamzito..sio suala la umri ..
Tayari ana mtoto mkubwa na yuko sekondari; ni sawa na kwenda kumshauri mzee wa pale kijijini mwenye miaka 85 kuwa maji anayotumia sio mazuri wakati ndio ameishi nayo na yamemkuza.
 
Back
Top Bottom