Nimsaidieje kisaikolojia atoke kwenye hii hali?

Ila we jamaa inaonekana mzinzi sana.
 
Tatizo nyie wanaume uwa mnazingua mtu anaweza akakuomba elf50 unamwambia Leo Sina ngoja ngoja lkn mnatoka mnaenda bar mnakunywa na kuwanunulia friends zako pombe zaidi ya hiyo elf50 na mm nipo hapo sa hapo nikiona hela zinazubaa kwanini nisichomoe Mungu mwenyewe atanisamehe hapo
 
Mwanamke unaekunywa nae mpaka saa tisa hafai kuoa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…