Kiranja Mkuu
JF-Expert Member
- Feb 18, 2010
- 4,219
- 4,608
Mpenzi wangu amechanganyikiwa,
anahitaji msaada wangu wa mawazo.
Nimeshindwa kumpa kwa kuwa hata mie nimechanganyikiwa.
Juzi kapata barua ya kufukuzwa kazi.
Kaenda nssf kufuatilia mafao yake, akaambiwa arudi na barua ya mwajiri.
Mwajiri kagoma kumsainia, kasema kwa kuwa alikuwa na mkopo kazini basi mafao yake yanachukuliwa na mwajiri.
Amekuwa akilia tu tangu asubuhi mpaka sasa, kila baada ya dakika tatu ananipigia.
Sina hata maneno mazuri ya kumpa moyo.
Naomba mnisaidie ushauri ili mama watoto apunguze maumivu.
Nampenda sana, akilia yeye na mimi naumia sana rohoni.
anahitaji msaada wangu wa mawazo.
Nimeshindwa kumpa kwa kuwa hata mie nimechanganyikiwa.
Juzi kapata barua ya kufukuzwa kazi.
Kaenda nssf kufuatilia mafao yake, akaambiwa arudi na barua ya mwajiri.
Mwajiri kagoma kumsainia, kasema kwa kuwa alikuwa na mkopo kazini basi mafao yake yanachukuliwa na mwajiri.
Amekuwa akilia tu tangu asubuhi mpaka sasa, kila baada ya dakika tatu ananipigia.
Sina hata maneno mazuri ya kumpa moyo.
Naomba mnisaidie ushauri ili mama watoto apunguze maumivu.
Nampenda sana, akilia yeye na mimi naumia sana rohoni.