Nimsaliti mpenzi wangu?

Nimsaliti mpenzi wangu?

kumbe humu kuna wanafunzi wa sekondary daaa adm ondoa huyo mtoto akasome
 
Kwani mtu huwezi kuchagua msichana wa kuoa ukiwa unasoma?????.
 
Yaan uko sekondari unaahidi kuoa haaaaaa

Mkuu umeona! !!!
ahadi hizi zinatolewa wakati huyo anayetaka kuowa hajitambui, hivi akiwa makini sana anaweza kusoma kwanza Akimaliza ndiyo hiyo biashara sasa.

Nimeona Dada Kasoma kuanzia shule ya Msingi hadi Elimu ya Masters lakini muda huu hana Mchumba
inaweza kuwa wahioahidi walikuwa na uamuzi kila uchao.
 
Me nishasema hapa,hili jukwaa wakat wakujiandikisha kuwa member inatakiwa vyeti vyakuzaliwa viambatanishwe...
 
Kusoma Nasoma Na Niko Vizuri Darasan Kwa Masomo Yang Nakimbiza Darasan,bt Ukwel Nampenda Sana Yule Mdada

Kukimbiza darasani hakiwezi kuwa kipimo cha wewe kuwa bright.

What if unawakimbiza vilaza wenzako yaani wewe pengine ndo kilaza anayejitutumua.

Msema kweli NECTA tu kijana kwa hiyo level yako nakushauri achana na hizo makitu utazungusha tu.
 
Soma kwanza mapenzi baadaye kuongoza darasani haimaanishi utayaongoza mapenzi.
 
Kukimbiza darasani hakiwezi kuwa kipimo cha wewe kuwa bright.

What if unawakimbiza vilaza wenzako yaani wewe pengine ndo kilaza anayejitutumua.

Msema kweli NECTA tu kijana kwa hiyo level yako nakushauri achana na hizo makitu utazungusha tu.

ni kweli bt kwa level yang am sure niko vizuri
 
Jamani Mwaka Jana Mwez Wa 5 Nilifanikiwa Kupata Mpenzi Ambaye Ni Mzuri Sijawah Ona.Alikuwa Anagombaniwa Na Kila Mt Mtaan.Alikuwa Ananipenda Sana,tulikubaliana tutaoana.Alikuwa N Mgen Mtaa Coz Alifiwa Na Bab Ake Mbeya So Akaja Kwa Sista Ake Songea Mara 1.Alikuwa O Lvl,had Mama Alijua Kama Tuna Mahusiano Na Alikuwa B.k Coz Nilishawah Kuingia Nae Geto Nikajarib Kusex Bt Ilishndkana Coz Alikuwa Muoga Pia Hakuwah Kabisa Had Tukagombana Baada Ya Mda Tukapatana.Tulikuwa Pamoja Kama Miez Miwili Kabla Ya Mimi Kupata Nafas Ya Kwenda Kusoma A Level .Yeye Alibak Mtaan Had Pale Alipoondoka Mwez Baada Ya Mim Kuondoka Kaenda Kwa Mam Ake Kusoma.Nilirud Likzo Sikumkuta Niliumia Sana Na Sijawah Kuwasiliana Nae Toka Mda Ule Kaondoka Ilihal Nilwah Mpa Namba Yang Cidhan Kama Aliitunza.Lakin Nikiwa Hku Shule Nimekutana Na Wadada Wengne Wazur Ila Hawamzid Yey Ambao Nimeanza Kushawishka Kuwa Nao Coz Nahc Ciwez Onana Nae Tena .Naomben Ushaur Nimsalit Au Nimsubir Had Pale Siku Tutakapoonana Tutimize Ahad Yet Ya Kuoana??

hazikutoshi
 
Jamani Mwaka Jana Mwez Wa 5 Nilifanikiwa Kupata Mpenzi Ambaye Ni Mzuri Sijawah Ona.Alikuwa Anagombaniwa Na Kila Mt Mtaan.Alikuwa Ananipenda Sana,tulikubaliana tutaoana.Alikuwa N Mgen Mtaa Coz Alifiwa Na Bab Ake Mbeya So Akaja Kwa Sista Ake Songea Mara 1.Alikuwa O Lvl,had Mama Alijua Kama Tuna Mahusiano Na Alikuwa B.k Coz Nilishawah Kuingia Nae Geto Nikajarib Kusex Bt Ilishndkana Coz Alikuwa Muoga Pia Hakuwah Kabisa Had Tukagombana Baada Ya Mda Tukapatana.Tulikuwa Pamoja Kama Miez Miwili Kabla Ya Mimi Kupata Nafas Ya Kwenda Kusoma A Level .Yeye Alibak Mtaan Had Pale Alipoondoka Mwez Baada Ya Mim Kuondoka Kaenda Kwa Mam Ake Kusoma.Nilirud Likzo Sikumkuta Niliumia Sana Na Sijawah Kuwasiliana Nae Toka Mda Ule Kaondoka Ilihal Nilwah Mpa Namba Yang Cidhan Kama Aliitunza.Lakin Nikiwa Hku Shule Nimekutana Na Wadada Wengne Wazur Ila Hawamzid Yey Ambao Nimeanza Kushawishka Kuwa Nao Coz Nahc Ciwez Onana Nae Tena .Naomben Ushaur Nimsalit Au Nimsubir Had Pale Siku Tutakapoonana Tutimize Ahad Yet Ya Kuoana??

Kwa mwandiko huu kweli unawakimbiza dogo

Mkimbizaji = yupo nyuma
Mburuzaji = yupo mbele
 
Kwani mtu huwezi kuchagua msichana wa kuoa ukiwa unasoma?????.

Usichokijua kwa sasa ni kwamba kuna wanawake zaidi ya watano mbele yako ambao watakusahaulisha kabisa huyo mrembo wako. You are just infatuated bwana mdogo. Atakutoka utasahau hadi sura yake
 
Back
Top Bottom