Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kumbe humu kuna wanafunzi wa sekondary daaa adm ondoa huyo mtoto akasome
Jifunze kuandika kiswahili/kiingereza kwa ufasaha kwanza ndipo uje uombe ushauri!
It is so Pathetic to have an Advanced Level Student writing like that!
Yaan uko sekondari unaahidi kuoa haaaaaa
Yaan uko sekondari unaahidi kuoa haaaaaa
Kusoma Nasoma Na Niko Vizuri Darasan Kwa Masomo Yang Nakimbiza Darasan,bt Ukwel Nampenda Sana Yule Mdada
Kukimbiza darasani hakiwezi kuwa kipimo cha wewe kuwa bright.
What if unawakimbiza vilaza wenzako yaani wewe pengine ndo kilaza anayejitutumua.
Msema kweli NECTA tu kijana kwa hiyo level yako nakushauri achana na hizo makitu utazungusha tu.
Jamani Mwaka Jana Mwez Wa 5 Nilifanikiwa Kupata Mpenzi Ambaye Ni Mzuri Sijawah Ona.Alikuwa Anagombaniwa Na Kila Mt Mtaan.Alikuwa Ananipenda Sana,tulikubaliana tutaoana.Alikuwa N Mgen Mtaa Coz Alifiwa Na Bab Ake Mbeya So Akaja Kwa Sista Ake Songea Mara 1.Alikuwa O Lvl,had Mama Alijua Kama Tuna Mahusiano Na Alikuwa B.k Coz Nilishawah Kuingia Nae Geto Nikajarib Kusex Bt Ilishndkana Coz Alikuwa Muoga Pia Hakuwah Kabisa Had Tukagombana Baada Ya Mda Tukapatana.Tulikuwa Pamoja Kama Miez Miwili Kabla Ya Mimi Kupata Nafas Ya Kwenda Kusoma A Level .Yeye Alibak Mtaan Had Pale Alipoondoka Mwez Baada Ya Mim Kuondoka Kaenda Kwa Mam Ake Kusoma.Nilirud Likzo Sikumkuta Niliumia Sana Na Sijawah Kuwasiliana Nae Toka Mda Ule Kaondoka Ilihal Nilwah Mpa Namba Yang Cidhan Kama Aliitunza.Lakin Nikiwa Hku Shule Nimekutana Na Wadada Wengne Wazur Ila Hawamzid Yey Ambao Nimeanza Kushawishka Kuwa Nao Coz Nahc Ciwez Onana Nae Tena .Naomben Ushaur Nimsalit Au Nimsubir Had Pale Siku Tutakapoonana Tutimize Ahad Yet Ya Kuoana??
Jamani Mwaka Jana Mwez Wa 5 Nilifanikiwa Kupata Mpenzi Ambaye Ni Mzuri Sijawah Ona.Alikuwa Anagombaniwa Na Kila Mt Mtaan.Alikuwa Ananipenda Sana,tulikubaliana tutaoana.Alikuwa N Mgen Mtaa Coz Alifiwa Na Bab Ake Mbeya So Akaja Kwa Sista Ake Songea Mara 1.Alikuwa O Lvl,had Mama Alijua Kama Tuna Mahusiano Na Alikuwa B.k Coz Nilishawah Kuingia Nae Geto Nikajarib Kusex Bt Ilishndkana Coz Alikuwa Muoga Pia Hakuwah Kabisa Had Tukagombana Baada Ya Mda Tukapatana.Tulikuwa Pamoja Kama Miez Miwili Kabla Ya Mimi Kupata Nafas Ya Kwenda Kusoma A Level .Yeye Alibak Mtaan Had Pale Alipoondoka Mwez Baada Ya Mim Kuondoka Kaenda Kwa Mam Ake Kusoma.Nilirud Likzo Sikumkuta Niliumia Sana Na Sijawah Kuwasiliana Nae Toka Mda Ule Kaondoka Ilihal Nilwah Mpa Namba Yang Cidhan Kama Aliitunza.Lakin Nikiwa Hku Shule Nimekutana Na Wadada Wengne Wazur Ila Hawamzid Yey Ambao Nimeanza Kushawishka Kuwa Nao Coz Nahc Ciwez Onana Nae Tena .Naomben Ushaur Nimsalit Au Nimsubir Had Pale Siku Tutakapoonana Tutimize Ahad Yet Ya Kuoana??
Kwani mtu huwezi kuchagua msichana wa kuoa ukiwa unasoma?????.