Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Wewe msaidie tu ila usijiwekee lengo la kumpata 100% kama mke
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha huyu anasumbuliwa na genye wala si muoaji.Fanya maisha yako achana naye bado anasafar ndefuu ya masomo pia hawez kuwa mwanamke wa maisha yako kwani hata umri wa reasoning ukifka utakuwa muhenga kwake wazur wapo wengi
Kumsomesha mchumba najua kumewaliza na kuwatesa wengi, bahati mbaya au nzuri nami nimeangukia katika mtego huo.
Kutokana na hali ya kiuchumi najua sitaoa kwa miaka miwili mitatu ijayo.
Nimeona nimlee mtoto ambae kwa kweli ni mzuri na anazidi kupendeza.
Yeye hajui chochote, nimeongea na mlezi wake kakubali. Ila najua kuna mawili, ukiacha kifo kututenganisha, ni aje abadilike awe na tabia mbaya au anikatae.
Najipanga kisaikolojia kwa yote huku nikimuomba Mungu kwangu na kwa huyu mtoto asibadilike na aje anipende.
Dua zenu pia ushauri nini naweza fanya kudhibiti tabia na mengineyo kwa wenye uzoefu na wajuzi.
Mkuu huoni hilo ni kisa kisheria kuwa na mahusiano ya kimapenzi na mtoto wa shule tena umekiri mwenyewe kuwa yupo under 18, naona km 30years ya kukaa segerea inakunyemelea.Yuko under 18 na anaanza form one mwakani
Sina mahusiano nae wala hajui hili,Mkuu huoni hilo ni kisa kisheria kuwa na mahusiano ya kimapenzi na mtoto wa shule tena umekiri mwenyewe kuwa yupo under 18, naona km 30years ya kukaa segerea inakunyemelea.
Sasa km nia nikusomesha baadae umuoe, vipi asijue kuwa unamsomesha kwa lengo gani, huoni kuwa unatengeneza mazingira ya yeye kuja kulipa fadhila na so mapenzi kwako,Sina mahusiano nae wala hajui hili,
Niayangu ni kumsomesha then nije nioe akimaliza. Au nia pia ni kosa kisheria
Akifika secondary atapata boyfriend na kwakua haujamwambia malengo ya kumuoa....Kumsomesha mchumba najua kumewaliza na kuwatesa wengi, bahati mbaya au nzuri nami nimeangukia katika mtego huo.
Kutokana na hali ya kiuchumi najua sitaoa kwa miaka miwili mitatu ijayo.
Nimeona nimlee mtoto ambae kwa kweli ni mzuri na anazidi kupendeza.
Yeye hajui chochote, nimeongea na mlezi wake kakubali. Ila najua kuna mawili, ukiacha kifo kututenganisha, ni aje abadilike awe na tabia mbaya au anikatae.
Najipanga kisaikolojia kwa yote huku nikimuomba Mungu kwangu na kwa huyu mtoto asibadilike na aje anipende.
Dua zenu pia ushauri nini naweza fanya kudhibiti tabia na mengineyo kwa wenye uzoefu na wajuzi.
Nyie wote bado watoto. Usipoteze muda.Niko twenty 23 she is 14
Siwez kumgusia sasa, at least akifika form three , kwa nnavyoona mimiSasa km nia nikusomesha baadae umuoe, vipi asijue kuwa unamsomesha kwa lengo gani, huoni kuwa unatengeneza mazingira ya yeye kuja kulipa fadhila na so mapenzi kwako,
Hapo unakosea mkuu, upendo wako kwake hautoshi pasipo yeye kukupenda, namaanisha dhamira yako ni njema kwa unachokitarajia mbeleni lkn kwake itakuwa tofauti kwakuwa inawezekana yeye hajakupenda, akalazimika kuwa na wewe kwa shinikizo la kumsomesha, My take hakikisha upendo wake kwako ndio ufanye maamuzi.Siwez kumgusia sasa, at least akifika form three , kwa nnavyoona mimi
[emoji15] [emoji15] [emoji15] anasumbuliwa na nn??Hahaha huyu anasumbuliwa na genye wala si muoaji.
Yaani anaweka order utafikiri chakula?