Nimsomeshe kisha nimuoe aje kua mke(akimaliza form four)

Nimsomeshe kisha nimuoe aje kua mke(akimaliza form four)

Definitely, and God bless you my Smart911 am so grateful for your help and support the time I needed them.

Thank you so much Smart911 [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]
No worries my super dear...

Anytime count on me...
 
Safari ya kusomesha inaendelea, sasa tunaenda A-level, yatakayoyokea kabla sijaoa nitawajuza panapo uhai. Tukifanikiwa kua pamoja nitakuja mpa hii thread aisome.
Kwa bahati mbaya au nzuri bado hatuna physical contact ila naamini yaliomo yamo wahuni hawajalamba asali.
 
Ujasiri ulionao hata kuzimu unapamudu.

Kila la kheri...[emoji847][emoji847]
 
Kumsomesha mchumba najua kumewaliza na kuwatesa wengi, bahati mbaya au nzuri nami nimeangukia katika mtego huo.

Kutokana na hali ya kiuchumi najua sitaoa kwa miaka miwili mitatu ijayo.

Nimeona nimlee mtoto ambae kwa kweli ni mzuri na anazidi kupendeza.

Yeye hajui chochote, nimeongea na mlezi wake kakubali. Ila najua kuna mawili, ukiacha kifo kututenganisha, ni aje abadilike awe na tabia mbaya au anikatae.

Najipanga kisaikolojia kwa yote huku nikimuomba Mungu kwangu na kwa huyu mtoto asibadilike na aje anipende.

Dua zenu pia ushauri nini naweza fanya kudhibiti tabia na mengineyo kwa wenye uzoefu na wajuzi.
Usije kulialia hapa akikwambia wewe sio type yake
 
Safari ya kusomesha inaendelea, sasa tunaenda A-level, yatakayoyokea kabla sijaoa nitawajuza panapo uhai. Tukifanikiwa kua pamoja nitakuja mpa hii thread aisome.
Kwa bahati mbaya au nzuri bado hatuna physical contact ila naamini yaliomo yamo wahuni hawajalamba asali.
Siyo mbaya,hata ikitokea tofauti.Utalipwa na Mungu.Kikubwa imani.
 
Kumsomesha mchumba najua kumewaliza na kuwatesa wengi, bahati mbaya au nzuri nami nimeangukia katika mtego huo.

Kutokana na hali ya kiuchumi najua sitaoa kwa miaka miwili mitatu ijayo.

Nimeona nimlee mtoto ambae kwa kweli ni mzuri na anazidi kupendeza.

Yeye hajui chochote, nimeongea na mlezi wake kakubali. Ila najua kuna mawili, ukiacha kifo kututenganisha, ni aje abadilike awe na tabia mbaya au anikatae.

Najipanga kisaikolojia kwa yote huku nikimuomba Mungu kwangu na kwa huyu mtoto asibadilike na aje anipende.

Dua zenu pia ushauri nini naweza fanya kudhibiti tabia na mengineyo kwa wenye uzoefu na wajuzi.
Huna akili
 
Ukweli hajui kma ninania hiyo, ila akiniona anaaibu sana na muda mwengine hujificha , sijajua kma hanipendi au nini, ila mimi namkubari sana ingawa najua safari sio ndogo mana four years ahead apo kati kunamengi
Kama mwanamke anashawishiwa akiwa kwenye ndoa anachepuka sembuse huyo ambaye hajakutana na vishawishi

Hizo hela naamini huna kazi nazo na ni bora upoteze hela kwa kumsomesha kuliko uje umkose hao viumbe usiwaamnini otherwise msainishe mkataba kwa mwanasheria.
 
Back
Top Bottom