Smart911
Platinum Member
- Jan 3, 2014
- 135,167
- 160,806
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah!anaanza form one mwakan na wew una umri gan?Yuko under 18 na anaanza form one mwakani
Tafuta size yako,huyo sawa na mwanao 23-14=9Niko twenty 23 she is 14
Mkuu huu uzi unaonakana ni wa 2017, waongezee miaka 5 katika hiyo uloandikaTafuta size yako,huyo sawa na mwanao 23-14=9
Usije kulialia hapa akikwambia wewe sio type yakeKumsomesha mchumba najua kumewaliza na kuwatesa wengi, bahati mbaya au nzuri nami nimeangukia katika mtego huo.
Kutokana na hali ya kiuchumi najua sitaoa kwa miaka miwili mitatu ijayo.
Nimeona nimlee mtoto ambae kwa kweli ni mzuri na anazidi kupendeza.
Yeye hajui chochote, nimeongea na mlezi wake kakubali. Ila najua kuna mawili, ukiacha kifo kututenganisha, ni aje abadilike awe na tabia mbaya au anikatae.
Najipanga kisaikolojia kwa yote huku nikimuomba Mungu kwangu na kwa huyu mtoto asibadilike na aje anipende.
Dua zenu pia ushauri nini naweza fanya kudhibiti tabia na mengineyo kwa wenye uzoefu na wajuzi.
Siyo mbaya,hata ikitokea tofauti.Utalipwa na Mungu.Kikubwa imani.Safari ya kusomesha inaendelea, sasa tunaenda A-level, yatakayoyokea kabla sijaoa nitawajuza panapo uhai. Tukifanikiwa kua pamoja nitakuja mpa hii thread aisome.
Kwa bahati mbaya au nzuri bado hatuna physical contact ila naamini yaliomo yamo wahuni hawajalamba asali.
Huna akiliKumsomesha mchumba najua kumewaliza na kuwatesa wengi, bahati mbaya au nzuri nami nimeangukia katika mtego huo.
Kutokana na hali ya kiuchumi najua sitaoa kwa miaka miwili mitatu ijayo.
Nimeona nimlee mtoto ambae kwa kweli ni mzuri na anazidi kupendeza.
Yeye hajui chochote, nimeongea na mlezi wake kakubali. Ila najua kuna mawili, ukiacha kifo kututenganisha, ni aje abadilike awe na tabia mbaya au anikatae.
Najipanga kisaikolojia kwa yote huku nikimuomba Mungu kwangu na kwa huyu mtoto asibadilike na aje anipende.
Dua zenu pia ushauri nini naweza fanya kudhibiti tabia na mengineyo kwa wenye uzoefu na wajuzi.
Kama mwanamke anashawishiwa akiwa kwenye ndoa anachepuka sembuse huyo ambaye hajakutana na vishawishiUkweli hajui kma ninania hiyo, ila akiniona anaaibu sana na muda mwengine hujificha , sijajua kma hanipendi au nini, ila mimi namkubari sana ingawa najua safari sio ndogo mana four years ahead apo kati kunamengi
We 😁 nyoko sana huo umri ye bado ni mtoto hana akili sawaNiko twenty 23 she is 14
🤣🤣RIP in advance
😂😅😅 Nilijua tu mtaachana chezea tumbua weeTuachane na iyo mada