Nimuanzeje ?

Nimuanzeje ?

Mwmambie hulali usiku unamuota, ukinywa maji unamuona kwenye glasi, yeye ndo pumzi yako iliyoko kwene maandishi, muulize hobbies zake halafu conclude kwa kumwambia kua, una kiwango kikubwa cha Uzinzi kiasi kwamba hata avatar na comment tu unachanganyikiwa!!! just kidding Mpwa, jaribu tu kuanzisha kauhusiano ka kawaida ili ujiridhishe kwanza kwamba kweli utakapo-introduce issue atakuelewa!! ili kuepuka fedheha, kama vipo nipe mm hio tender yakukuwekea mambo sawa....Halafu uniruhusu nitesti kama amekubali!!
 
Kupitia hii Sredi malalamiko yako ameshayapata ni njia tosha ya kupeleka ujumbe
Sasa unaweza kumwambia Kidude Binti Kiroboto sijui umeona sread yangu pale ubaoni ..
Baby am here for you :A S-alert1😛M
 
Kupitia hii Sredi malalamiko yako ameshayapata ni njia tosha ya kupeleka ujumbe
Sasa unaweza kumwambia Kidude Binti Kiroboto sijui umeona sread yangu pale ubaoni ..
Baby am here for you :A S-alert1😛M

Now it's easy .....................lkn mnakumbuka GS alisema muhusika wake alikuwa hapiti jukwaa hili? Sasa kama na Mtazamaji wa kwake pia hapiti hapa itakuwa haijasaidia 🙁
 
Mtazamaji kama lilivyo jina lako kama umeshindwa jinsi ya kuanza ni bora ulitumie jina lako kwa kuendelea kutazama tu! Jina mtazamaji leo unataka uaze kuchakachua huoni kazi uliyonayo ni kubwa? baki kama Mtazamaji tu
:A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S thumbs_up:
 
am pm haya maneno
m your secret admirer,
Your the one I desire..
From the first time i saw you comment, my feelins for you sparked like fire
Please try to understand,
Im afraid to let my feelins show,
But I dont want to be left alone...
I just want to hold you close and never let you go..
But so far all I have are dreams of you
I never thought it was possible to fall in love with you..
Your so sweet and caring..
I must be dreaming..
Im your secret admirer,
If only you knew that my love for you has been set on fire
But im trying to be careful,
I dont want to be left heartbroken..
Im just your secret admirer,
And thats all I'll ever be..

SALUTIIIIIIIIIIIIIIIIIIII WE MKALIII:A S crown-1:
 
Kupitia hii Sredi malalamiko yako ameshayapata ni njia tosha ya kupeleka ujumbe
Sasa unaweza kumwambia Kidude Binti Kiroboto sijui umeona sread yangu pale ubaoni ..
Baby am here for you :A S-alert1😛M

FL1 amemaliza nenda PM ndugu mtazamaji.
Kika la kheri:hungry:
 
Watalaam wa mahusiano wa kiume na kike

Siku za karibuni nimeanza kuvtiwa "kihisia" na member 1ja wa kike.

Tatizo langu ni domo zege sijui nianzeje .lakini kila nikiona comment yake roho inasuuzika.teh teh teh . KIla nikiona Avatar Uwiiiiiii bababe udenda ndo unanitoka kabisa

Imetokea tu ghafla sijui umbo lake ,hobbies zake dini yake wala kabila lake.

Kibaya au kizuri zaidi naogopa kumwambia sababu sipendi na nachukia kukataliwa. Naweza kuugua mwezi mzima au nikakimbia hata hapa JF .

Nimuanzeje?

Nawasilisha kwa ushauri nasaha

Angalia dogo na tabia yako ya kupenda penda watu usiowafahamu iko siku utakuja kupenda jini ujute kuzaliwa. Kama jina lako lilivyo, endelea kutazama tu, sio vyote ving'aavyo ni dhahabu.
 
am pm haya maneno
m your secret admirer,
Your the one I desire..
From the first time i saw you comment, my feelins for you sparked like fire
Please try to understand,
Im afraid to let my feelins show,
But I dont want to be left alone...
I just want to hold you close and never let you go..
But so far all I have are dreams of you
I never thought it was possible to fall in love with you..
Your so sweet and caring..
I must be dreaming..
Im your secret admirer,
If only you knew that my love for you has been set on fire
But im trying to be careful,
I dont want to be left heartbroken..
Im just your secret admirer,
And thats all I'll ever be..




mtu wangu we mkali!! nimevutiwa na mashairi yako
 
Nimeona nikianzisha shule ya kujifunza utongozaji itanilipa sana
naanzisha , itakuwa pale migomigo
maombi yatummwe haraka
shule inaanza januari mapema iwezekanavyo
woooooote mnakaribishwa


kwa kweli nauhakika utapata wanafunzi kibao ...
kwa hiyo una PHD ya utongozaji???
maana kuna watu tayari wataalum lakini wanataka kuongezea kidogo tu..
kwa hiyo wewe unatakiwa uwe mtaalum zaidi yao...
 
Nenda straight kwa point ila lugha iwe nyepesi na yenye upendo. halafu msikilizie,lol
 
Umuanze nini? unachokitaka kwake nini kwani? eleza bayana unachokitaka tukueleze namna ya kuanza!!!
 
Kama hatakua preta, ni Rose. Nshakuahisishia apo.
kimbweka said:
hahhahhaa nimeomba ushauri nyie mnaleta u sheikh yahyha.

Ila kimbweka nimeona cooment yako shule lakini kwa mujibu wa thread hii inaonekan tatizo hili tunalo waachache. sasa hao wanafunzi utawapata wapi ? Teh teh teh
 
Nashukuru sana great thinkers wote.
Nashukuru vile vile sababu hata mlengwa naye kaja hapa sasa njaribu kuchakacua lile shairi nililopewa nimtumie.

Mwisho wa Sinema . Cha mbavu niakachopigwa itkuwa siri yangu.
Mtanisamehe sitaweza kuendelea kushare info nanyi wajumbe

Long live JF.
 
Umuanze nini? unachokitaka kwake nini kwani? eleza bayana unachokitaka tukueleze namna ya kuanza!!!

Mhhhh Anold Kama hujelewa inawezekana wewe na mimi hatuchekani.
 
duh yaani kumbe inaonyesha kuwa jamaa yuko serious kabisa,halafu wala hajui hata jinsia yake ni ipi? hujui kuwa wengi hapa wanatumia avatar za ajabu tu ambazo hazina uhusiano kabisa na jinsia zao? ila kwa wewe kazi ipo sio mchezo..
Aksante mkuu .Sasa kwenye PM Nisemeje?Zaidi ya mara tatu kila nikifungua window ya pm nakaa saa nzima bila kujua niandike nini? nianzeje. Je mtaaalam Unaweza kuni pm shairi gani nalozweza kuanza nalo. Nitashurkuru.


Ach utani kaka yaani nimuulize wewe jinsia gani si nitakuwa nimearibu mwanzo kabisa. Ebu nipe wazohata kwa PM mstari wa kwanza kumuandikia uweje. Tusaidiane jamani. Sijawai kupata hisia hizi lazima atakuwa ni mdada tu. labda kam ana mwenza
 
am pm haya maneno
m your secret admirer,
Your the one I desire..
From the first time i saw you comment, my feelins for you sparked like fire
Please try to understand,
Im afraid to let my feelins show,
But I dont want to be left alone...
I just want to hold you close and never let you go..
But so far all I have are dreams of you
I never thought it was possible to fall in love with you..
Your so sweet and caring..
I must be dreaming..
Im your secret admirer,
If only you knew that my love for you has been set on fire
But im trying to be careful,
I dont want to be left heartbroken..
Im just your secret admirer,
And thats all I'll ever be..

hashy beeebi....jeeeeeez...is this you....my my my......you are killing softly you know
 
Back
Top Bottom