Nimuanzeje ?

Nenda straight kwa point ila lugha iwe nyepesi na yenye upendo. halafu msikilizie,lol
Please Belinda unweza kuni PM mfano wa hiyo lugha nyepesi. u mfano wa lugha ambayo wewe mwenewe ukisikia hata kama utanikatalia lakini utapenda kuisikia?
usinicheke sina kigugumizi lakini kujieleza ndo issue.

Preta said:
hashy beeebi....jeeeeeez...is this you....my my my......you are killing softly you know
Usishangae hayo mashairi ukiyakuta kwenye kwenye dawati lako kesho. teh teh teh kuna watabiri kina sheikh yahya hapa.

Mallaba said:
duh yaani kumbe inaonyesha kuwa jamaa yuko serious kabisa,halafu wala hajui hata jinsia yake ni ipi? hujui kuwa wengi hapa wanatumia avatar za ajabu tu ambazo hazina uhusiano kabisa na jinsia zao? ila kwa wewe kazi ipo sio mchezo..
Lete mawazo basi kamanda. huyu kwa hisia ninazozopata atakuwa ni wa kike tu.
 

kwa jinsi JF ilivyo muhimu sizani kama atakusababisha ukose JF.....bila JF life inasuasua
 
i clap 4 u good boy!!
 

hali yako ni zaidi ya ulemavu...!!!
 
hali yako ni zaidi ya ulemavu...!!!

Hahahhahah

R u sure u wewe Mkeshahoi uko honest? Ukiulizwa what is your bigeest weakness utasemaje?

otherwise ni wachache sana mmejaliwa u perfect. Hongera.........!!!

 
hatimaye nimeupata cheki PM yako. mlengwa mwenyewe ni wewe

teh teh teh

Wacha weee.......ngoja nikaone kaa umeweza kulitendea haki shairi ulopewa kutumia!:tongue:

Kaa nini tunakulazimisha wende shule kwa Kimbweka ......hahahha
 
teh teh, mweleze tu - ukikataliwa utaugua mwezi mmoja, usipomuambia utaugua zaidi ya mwezi mmoja!
kwanza kwa kuweka bayana kama hivi "ushamlegeza" tayari- hivyo probability kubwa utampata (sijui wamtaka kwa long ama short term!)
 

hapo umetuweza sie wambeya!LOL
 
AU akilete hapa JF wana GT watamsaidia ku-translate

hahahahahah lol wewe acha utundu...
hapa si kila mtu ata translate kwa ujuzi wake..
halafu Mtazamaji atabaki kuchanganyikiwa .....lol
hapo alipo amesha changanyikiwa vya kutosha...lol
 

Jitoe ufahamu kisha ingiza timu....There is no guarantee for success if you try, but there is a guarantee for failure if you don't try and failure is not an acceptable option.
 


Mwambie wataka urafiki wa keyboardy!!!!!!!!!!!!!ah aha ah (Wakumbuka Urafiki wa kalamu...siku zile..utandawazi ulikuwa bado!)
 
Kwa hiyo bado unaogopa kumwambia hahah nautia shaka uanaume wako ...
usharahishisha njia na kuwa mteremko lakini mwenyewe hujiamini
 

...ha ha ha,

Haya maradhi ya kupenda "lakini naogopa kumwambia!" naona yanashika kasi tukielekea sikukuu ya Noeli mwaka huu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…