Multiple choice;
a). Waoe wote kwa maana umejitakia kwa tamaa zako, na uwe tayari kumuongeza na mwingine....! Lakini ujue kuwa kila mwanaume akiwa na wanawake wawili, basi pembeni ana mume mwenzie.....!
b). Waache wote, na hivyo pia uwe tayari kuendelea na maisha ya ukapera daima huku ukiwa na laana zisizo na suluhisho hadi motoni.....!
c). Kaa kimya, kwa maana when the time is over, it will tell who you have to marry.....! Na kwa vyovyote uaminifu hautakuwepo kwenye ndoa hiyo daima maishani mwako....!
d). Yote hayo yakikushinda basi jiue aidha kwa sumu au kwa kamba, ili wote wakukose na uzikwe ukiwa na amani kama ndio kusudio lako....!
d) hili hapanaaaaaaaa