Ngoja tu na mimi nikuonye braa...
Hauko peke yako ,ila na wenzako wote wenye tabia kama yako(material man)..!
Wapo wa kike wenye tabia kama zenu ambao wametanguliza mbele vitu,vitu tu,zawadi na pesa.. !!
Sitaki kusema tu SIYO VIZURI ila kwa watoto wa Kiume ni HATARI pia..
Hivi ukizungumzia Simu,pesa ndogo,ndogo na zawadi kutoka kwa wadada...
Unanitia Shaka na Hofu sana..
Hivi ukiwekewa/ukipewa GARI wewe, utausimamia kweli UWANAUME WAKO..???
Sina hakika..
Dont be material..
Be man..
Hauko peke yako ,ila na wenzako wote wenye tabia kama yako(material man)..!
Wapo wa kike wenye tabia kama zenu ambao wametanguliza mbele vitu,vitu tu,zawadi na pesa.. !!
Sitaki kusema tu SIYO VIZURI ila kwa watoto wa Kiume ni HATARI pia..
Hivi ukizungumzia Simu,pesa ndogo,ndogo na zawadi kutoka kwa wadada...
Unanitia Shaka na Hofu sana..
Hivi ukiwekewa/ukipewa GARI wewe, utausimamia kweli UWANAUME WAKO..???
Sina hakika..
Dont be material..
Be man..