Nimuonavyo Timbulo

Nimuonavyo Timbulo

best naso sura yake imekaa kikanda ya ziwa sana
 
Nimekaa sehemu hapa, zinapigwa nyimbo za Timbulo, let's be fair for a while, Timbulo has percuriar way of singing, hafanani na msanii yeyote yule, kuna watu wanamdharau na kumchukulia poa.

Kuna nyimbo za kwanza kweli alikopi lakini ule wimbo aliouimba na Rich Mavoko pamoja na huu naku-miss miss ni mizuri sana, they were supposed to be hit songs, ila kwa bahati mbaya kwa kuwa ni Timbulo hatuwezi kuliona hilo.

Si shabiki wa Timbulo ila hizi nyimbo ni zuri mno kwa mtazamo wangu, na ana staili ya kipekee kabisa.

aisee mimi ninampenda balaaa, nyimbo zake awe anacopy au lah! lakini zinaladha jamani, yeye na mavoko dah! sijui kwanini hawahit kivile japo nyimbo zao ni tamu maskioni.
 
Ngojeni siku si nyingi atasema yeye ni team kinyesi ili apate promo kama munavyomshauri
 
Nimekaa sehemu hapa, zinapigwa nyimbo za Timbulo, let's be fair for a while, Timbulo has percuriar way of singing, hafanani na msanii yeyote yule, kuna watu wanamdharau na kumchukulia poa.

Kuna nyimbo za kwanza kweli alikopi lakini ule wimbo aliouimba na Rich Mavoko pamoja na huu naku-miss miss ni mizuri sana, they were supposed to be hit songs, ila kwa bahati mbaya kwa kuwa ni Timbulo hatuwezi kuliona hilo.

Si shabiki wa Timbulo ila hizi nyimbo ni zuri mno kwa mtazamo wangu, na ana staili ya kipekee kabisa.
hana kipaji anabahatisha tu,msanii kanjanja yule alafu pia hana muonekano wa kisupastaa kakaa kishamba shamba hana swaggz kama watoto wa mjini wanavyosema.namshauri arudi kwenye taaluma yake ya ualimu
 
Best Nasso na Timbulo wapo vizuri Sana,Best Nasso na Mamu wa Dar Jamaa anajua ,Timbulo na wimbo wao huu mpya na Baraka ni hatari.
 
msanii utajiitaje Timbulo[emoji16][emoji16].. Gundu zingine tunajipa wenyewe...
Best nasso walimkubali kusini kipindi cha mamu waDar , nowadays sijajua maana ni mpasipasi kwakwenda mbele[emoji16]
 
Back
Top Bottom